Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hamna haja ya kulaumiana,ndiyo soka!
Hata Man City alifungwa na Lyon kwake,ndiyo soka
Na leo imethibitishwa kuwa tatizo la Liverpool sio Hendo wala Lovren
Tunarudi nyumbani tunajipanga kwa mechi zijazo
Liverpool HAIJATOLEWA
hii ndio huwa sifa ya mashabiki
 
Hamna haja ya kulaumiana,ndiyo soka!
Hata Man City alifungwa na Lyon kwake,ndiyo soka
Na leo imethibitishwa kuwa tatizo la Liverpool sio Hendo wala Lovren
Tunarudi nyumbani tunajipanga kwa mechi zijazo
Liverpool HAIJATOLEWA
Lakini ipo kwenye hatari ya KUTOLEWA.
 
Huyu kocha licha ya kua ni mzuri sometime naona anaweza kukaa miaka kumi liver bila kombe, muda mwingine naona bora atimuliwe tu mbona ukame tushazoea maana huwezi kua na timu imekamilika kwa karibu asilimia 85 halafu haueleweki lengo lako lipi?


Mwanangu viungo Gini, Milner, Hendo hadhi yao wote kutokea Sub sasa kocha wetu ye lazima Gini awepo, na lazima kati ya Hendo au Milner awepo. Watu kama Lallana, Hendo ni wa kuuzwa. Kocha muoga anawaogopa waingereza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom