Mkuu pole, daahhNdomana alipata matokeo mabovu dotmond kocha hatujapata bado
Mkuu pole, daahhNdomana alipata matokeo mabovu dotmond kocha hatujapata bado
Haina haja ya kuwaonea huruma. Hichi ndo walichostahili..Hah hah.. Mtaalam wa vigodoro upo hapa.. Nawaonea huruma kwa kweli
Acha uongo kikosi kimetimia hichoKlopp ni mpuuzi tu, hii ilitakiwa iwe walk over game...yeye anapanga wachezaji wa kucheza Carabao Cup kwenye Champions league!!!
Nonsense...
Haina kupoa hii mwalimu hatuna tusubili tu kitakacho tokea mbeleMkuu pole, daahh
hakuna aliyenizuia ..wakati ukifika nitakuwepo. Wewe hukustahili kuwepo, upo tu kimazabe..!!Sasa baba wewe ambaye uiabishi si uwepo basi ukapambane. Kuna aliyekuzuia kutokuwepo huko?
Kuna yule Liverpool unatusumbua sana kwenye special thread ya Arsenal. Naona yuko kitandani hoiKwani wafiwa wamejificha wapi??
Njooni atiii YOU WILL NEVER WALK ALONE..tupo hapa kuwafariji.
Wenzako wapo wapi??Haina kupoa hii mwalimu hatuna tusubili tu kitakacho tokea mbele








YNWAHata zile mlizoita "mike mouse cup" hamuwezi!!!?? ...Msimu huu hakuna kombe hata moja tunabeba. Hata FA hatuwez.
Kuna yule Liverpool unatusumbua sana kwenye special thread ya Arsenal. Naona yuko kitandani hoi










Kwani wafiwa wamejificha wapi??
Njooni atiii YOU WILL NEVER WALK ALONE..tupo hapa kuwafariji.
Mkuu mbona haupokei pole yangu??Tukifungwa ndiyo tatizo la team selection
Tukishinda Klopp is genius
Jamani hata Pep alifungwa CL tena kwake tena trash Lyon
Kufungwa kawaida mbona ktk soka?
Liverpool haijatolewa
Mimi ngoja nilale...Klopp hovyo kabisa!









.Napoli akifungwa na PSG leo Liverpool kwa heri
Wamejikunyata huko walipo...
Wajitokeze tuu watatuachaje waombolezaji tuomboleze wenyewe???
Tukifungwa ndiyo tatizo la team selection
Tukishinda Klopp is genius
Jamani hata Pep alifungwa CL tena kwake tena trash Lyon
Kufungwa kawaida mbona ktk soka?
Liverpool haijatolewa