Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uzuri ni kuwa wakishinda leo wajue tunaenda kuwapiga kwao kwenye ligi, hatuwezi kubali eti watupige nyumbani halafu next match in row ni nyumbani kwao halafu tusiwapige

Kupata kichekesho kama hiki tuma neno LIVERPOOL kwenda namba CHELSEA.

Tukutane darajani...
 
Its a nightmare for all the big clubs today
First Barcelona then Liverpool
Now its real madrid!

Kupata kichekesho kama hiki tuma neno HISTORIA kwenda namba 1990.

Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeee big club.
 
Ni wachezaji watatu tu walio anza leo ndiyo wataanza Jmos ambao ni Mane,Milner na Keita! Mashambulizi yanaongozwa na Dan?Liverpool gani hiyo?’liverpool yenye jina Loverpool utakutana nayo Jumamosi
Nakufunga easy kabisa!

Sisi wataanza wawili tu...Azpilicueta na Kovacic.

Tumekufunga na Tutakufunga.
 
Huyo moyes ana uzoefu gani katika kunyanyau vikombe halafu anakuja na cheap words like this ....Liverpool wana nafasi kubwa zaidi kipindi hichi kuliko club yoyote ile za kunyakua kikombe
Kama Liverpool yenye world classic player wenye uchungu na timu ..Xabi Alonso, Steven Gerrard, Kuty, Torres, Lucas, Mascherano nk ...ilishindwa kubeba EPL ..je liverpool hii ya Mane, Salah na Firmino ambao hawajawahi kubeba hata vikombe vya ligi ya mchangani ndo unategemea kuchuka nao ubingwa?? Kuwa siriyaz bwana ..

Moyes anajua anachokiongea...
 
Sio Siri Hii Game Ya Leo Watu Kama Gomez, Robbo, TAA, Mane, Salah, Gini na Millie Sitaki Hata Kuwaono Wakiwarm Bench Kama Squad Player.

Ningependa Kuwaona Wakiingia Uwanjani na Suti Pamoja na Makopo ya Popcorn tu Wakiangalia Madogo Wanavyorindima Uwanjani.
Hahahahaha....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom