OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,389
- 24,504
Usijali mkuu mtashinda goli nyingi sana.Hivi Kwa SarriBall hile Ya Pasi 900 bila Ya Goli tarehe 29 utatokea wapi?
Nyie ndo mabingwa msimu huu, sisi wengine tunafukuza upepo tu.
Usijali mkuu mtashinda goli nyingi sana.Hivi Kwa SarriBall hile Ya Pasi 900 bila Ya Goli tarehe 29 utatokea wapi?
MaskinSaw a mkuu jumatano sio mbali.
Jumamosi pia.
Mkuu sijapanic mbona niko furesh tu!eden kimario njoo msaidie mwenzio Ollachuga Oc kujenga hoja humu naona kama amepanic haelewi anazungumza nini.
Sasa kwanini unashindwa kutofautisha 'draw na ushindi'.Mkuu sijapanic mbona niko furesh tu!
Huu ni mpira bwana...
Na Ukumbuke Kuwa Barca aliyokuwanayo Hakuwa na Sababu ya Kutokushinda CL Back2Back ingawa Hakufanya Hivyo.. Na aliiacha Barca ikiwa Tayari Kuna Wachezaji ambao Ni Key Players (Xavi, Puyol, David Villa, Eric Abidal) Umri umeshaanza Kupinduka that is Makocha Waliomfuatia Walikuwa Ni Vigumu Kushinda CL.
Na Kuhusu Bayern ilikuwa na Kikosi Bora alipopewa Chenye Nusu ya Wachezaji Wake World Class Kwahiyo Alikuwa na Jukumu la Kujifanya Timu ishinde CL na si Kusema Kuwa Hata Makocha Wengine Hawajashinda.. Yeye Tunaaminishwa Kuwa Ni Kocha Bora Kwahiyo aoneshe Ubora Wake Kwa Kuibadilisha Bayern Yenye World Class Players ishinde CL.
Pia Jukumu la Kuibadilisha City ishinde CL Ni yeye Pep.
Lakini ukweli usiopingika Ni Kuwa Pep Hawezi shinda CL akiwa na City.
Saw a mkuu jumatano sio mbali.
Jumamosi pia.
Anatia huruma balaaMaskin
Kinyoooooonge mwenyewe
Kwani nyie nafasi yenu huwa ni ipi?
Hahaha dah! Mnajiamini sana.Maskin
Kinyoooooonge mwenyewe
Nafasi inajieleza Wenyewe kulingana Na Msimamo Ulivyo
Dharau zenu kwa Liverpool zinawaponza. Mlijiaminisha Liverpool atafungwa.badala yake ameshinda na nyie mmezipoteza pwenti 2.Hahaha dah! nyie shabiki mnafurahisha. Kwaiyo nyie mtaendelea kuongoza mpaka mwisho?
pole sana kwa kuzuiwa na the Hammers japo ulituaminisha ushindi ni wenu...Sio Mane?
September bado hijaisha ..unaweza kumaliza vibaya.
Usijali mkuu mtashinda goli nyingi sana.
Nyie ndo mabingwa msimu huu, sisi wengine tunafukuza upepo tu.
Ahahaha hata kumfunga huyu WHU huwezi ndiyo umfunge Liverpool?Leo tunacheki game pia sio siku ya kazi tumepumzika