Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,455
- 27,101
Ukitaka kujua liverpool ni ya kawaida sana na wachezaji wa kawaida angalia kikosi cha wanaume 11 waliopigiwa kura
Hata kisalah wamekichinjia baharini
Liverpool Ni Timu Ya Kawaida Kweli na Wachezaji Wake Ni Wa Kawaida lakini Siku Kama Ya Leo Wiki iliyopita imemfunga Huyo aliyetoa Mwanamme Katika Hao Wanaume 11.
Na Msimu uliopita Kwenye EPL na Kwenye CL imemaliza juu ya Timu yako iliyotoa Wanaume Wawili Katika Hao 11.
Na Msimu Huu Pia tupo juu yako.
Kwa ukawaida Huu Basi Ni neema Kwetu wala hautukeri.