Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna swali najiuliza ila sipati jibu, Klopp atamchukua nani kati ya Joe Gomez na Lovren?
 
Ila nina mashaka Willian anaweza akatufunga maana golikipa mwenyewe majanga tu
 
Willian katoka kaingia Haza

Willian katoka, wameingia Kante na Hazard ila nao wanaruka tu.

Huyo Kipa namjua, ni mbovu sana. Nikawa nawashangaa waliokuwa wanaongea kuwa eti huyu Mignolet ni afadhali kuliko Karius! Wakati Klopp anamuopt Loris over huyo jamaa ni kama alikuwa kichwani mwangu vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom