Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
And Liverpool's 100% record of the season comes to an end as Chelsea knocks them out of the League Cup.
#LIVCHE
#LIVCHE
Hii sentensi ni lazima waitamke ...na jmoc watasema ligi sio kipaumbele chao.Msije sema carabao sio kipaumbele chenu
Hahaha sasa unafungwa na second XI ya Chelsea unategemea nin apo??kama kocha kaanza na wengi wa kikosi cha pili nadhani jibu unalo kama ni kipaumbele au sio kipaumbele
Jumamosi utasema "raundi ya pili hawaezi tufunga hawa"...I will not count this defeat
Team inakuwa na Mignolet na Moreno?
Msiwe na wasi wasi,Jumamosi hawawezi tufunga hawa
Kwaio wewe Liverpool una first XI tu huna second XI kama Chelsea??Ni wachezaji watatu tu walio anza leo ndiyo wataanza Jmos ambao ni Mane,Milner na Keita! Mashambulizi yanaongozwa na Dan?Liverpool gani hiyo?’liverpool yenye jina Loverpool utakutana nayo Jumamosi
Nakufunga easy kabisa!
Chelsea tutashindwa mlaumu caballelo kama wao wanataka mlaumu mig?na hawakumbuki mchezaji alie kwenye kikosi bora cha dunia kaamua matokeo wkt Messi kashindwa ukoMignolet kafanya kosa gani leo?
Hebu nisaidieni.
Na hapa niko kama shabiki wa mpira. Please, please, labda kwa kuwa nilikuwa na stream kwa simu..screen ni ndogo.
Cc: Malafyale King Ngwaba
Kupata kichekesho kama hiki tuma neno LIVERPOOL kwenda namba CHELSEA.
Tukutane darajani...
Chelsea 1st half possession 62% nyie 38%Mkuu Liverpool haichezi tena Mpira Wa Kutafuta Possession Bali sasahivi inacheza Attacking football tu...
Labda ungeuliza On Target Ni ngapi basi ingemake sense.
Hii sentensi ni lazima waitamke ...na jmoc watasema ligi sio kipaumbele chao.
Kipaumbele chao watakwambia ni uefa..
And Liverpool's 100% record of the season comes to an end as Chelsea knocks them out of the League Cup.
#LIVCHE
Ushakua shekhe YahyaNi wachezaji watatu tu walio anza leo ndiyo wataanza Jmos ambao ni Mane,Milner na Keita! Mashambulizi yanaongozwa na Dan?Liverpool gani hiyo?’liverpool yenye jina Loverpool utakutana nayo Jumamosi
Nakufunga easy kabisa!
Cabarello, Christensen, Cahill, Fabrigas,Barkley, Moses, hawa Wote ni kikosi cha pili Chelsea kwa hiyo usilete visingizio vya kitotokama kocha kaanza na wengi wa kikosi cha pili nadhani jibu unalo kama ni kipaumbele au sio kipaumbele
Liverpool was a big clubIts a nightmare for all the big clubs today
First Barcelona then Liverpool
Now its real madrid!
Moreno na Mignolet! Mbona hujasemea kikosi cha Chelsea kuwa na Cabarello, Cahill, Christensen, Emerson, Moses, Barkley, Fabrigas?I will not count this defeat
Team inakuwa na Mignolet na Moreno?
Msiwe na wasi wasi,Jumamosi hawawezi tufunga hawa
Usisahau Keppa, Alonso, Ludiger, Luiz, Joginho, Kante, Pedro, Hazard na Giroud hawakuanza. Kikosi kilikuwa na Azpillicueta, Kovacic na Willian kama first team playeraNi wachezaji watatu tu walio anza leo ndiyo wataanza Jmos ambao ni Mane,Milner na Keita! Mashambulizi yanaongozwa na Dan?Liverpool gani hiyo?’liverpool yenye jina Loverpool utakutana nayo Jumamosi
Nakufunga easy kabisa!
Wanabadilika Kama kinyongaHii sentensi ni lazima waitamke ...na jmoc watasema ligi sio kipaumbele chao.
Kipaumbele chao watakwambia ni uefa..
Naona Leo ndiyo umekubali kuwa mpira ni dakika 90.Nakuja kukupigia pia hapo hapo kwenu darajani na Zaidi Zaidi mechi muhimu ya kujiweka kileleni, hatujawahi kukubali kupigwa consecutively na timu moja chini ya kocha wetu huyu mjerumani. Ibakie vitendo, mpira ni dakika tisini !