Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Hahahahah, pmj na hiyo striker wa papatu papatu hata mmoja atafaa sana, Sturudge angekuwa bado ana akili kama kipindi yuko na akina Suarez tungesema ngoja ataongoza jahazi lkn siku hizi kawa kiumbe wa pacha tu na mwoga mwoga
Sturridge Ni injuries ndizo zilizomuondoshea Confidence Yake