Mkuu unajua Kuwa Klopp Tayari Ameshakuprove Wrong?

Sisi Tulimlalamikia Sana Msimu Wa Mwaka Juzi Kuwa Hafanyi Usajili na alikuwa na Kikosi Kibovu.
Hatimae wewe ulitupinga sana na Kumkingia Kifua Kuwa Klopp hana Kikosi Kibovu na Ukajigamba Kuwa Kikosi cha Kina Klavan, Moreno, Clyne, Lallana, Origi, Sturridge, Mignolet, Milner, Lucas na Can Kuwa Kingelichukua [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG].

Sasahivi Klopp kakuprove Wrong, na sisi Katuprove right Kuwa Ameshajua Kumbe Hile Liverpool ya Misimu iliyopita ambayo wewe uliinadia Ubingwa Mara Kadhaa Kuwa Si lolote Bali Ni Nyoko tu.

Sasa Ameamua Kusajili Wachezaji Wa Maana Ambao Tulipiga Kelele Kwa Muda Mwingi Kuwa Waletwe Kwani Waliopo Kabla Walikuwa Hawafai ingawa Kwa Upande Wako Walikuwa Ni Bora.

Sasa Nakushangaa Wewe Unaegeukageuka Kwa Kumsifia Klopp Kuwa Anasajili! Huoni Kuwa Wachezaji Wako Wazuri Kina Moreno, Clyne, Lallana, Origi, Milner, Klavan Wataishia Kupotea?
Wewe Ulikuwa Umlaumu Klopp Kwa Kufanya Usajili Mpya Wakati Wachezaji Wazuri uliowaamini Kuwa Wangebeba EPL Liverpool tunao.

Mkuu usigeuke! Ukweli Ni Kwamba Klopp Kakuumbua Fikra Zako Za Kusifia Wachezaji Wabovu Kwani Fikra ya Usajili Haikuwa Yako Bali ilikuwa Ni Fikra Yetu Sisi Ambayo Ulituona Kuwa Tunakosea Tunapolalamikia Usajili.

Alipokuwa Na Kikosi Kibovu Ulimsifia Kikosi Chake Kuwa Ni Bora na Kutupinga Sisi Tuliosema Klopp anaongoza Timu Mbovu.
Sasahivi Amefanya Usajili Tayari Umeshaachana na Fikra Za Kupenda Kikosi Kibovu, badala Yake Unasifia Kikosi Kipya Walichoongezwa Kina SALAH, OX, ROBERTSON, VVD, KEITA, FABINHO, ALLISON na XHAQIRI.

Asante Klopp Kwa Kutukubalia Mitazamo Yetu Tuliyokuwa Tukiinadi Kuwa Liverpool Ni Timu mbovu inayohitaji Usajili Mkubwa! Na Sasa Umeshafanya Kwa Asilimia 90% Yale Tuliyoyadai kwahiyo Kwasasa Hatuna Cha Kukulaumu Katika Usajili Hata Usiposajili tena Kwa Dirisha Hili.
Aliye wa prove wrong ni WW na wenzako na slogan yenu ya Klopp OUT
Mm na watu wachache sana ndiyo tulikuwa tunawafundisha kuwa Kopp anajenga tema,kama Klopp kakuta team yote mbovu na hawezi badiri team yote ktk msimu mmoja!
Team imeanza kukaa vyema sasa naona mnaanza rundikia watu wengine maneno yenu yawe yao!
Klopp out yenu bado ipo?
 
Aliye wa prove wrong ni WW na wenzako na slogan yenu ya Klopp OUT
Mm na watu wachache sana ndiyo tulikuwa tunawafundisha kuwa Kopp anajenga tema,kama Klopp kakuta team yote mbovu na hawezi badiri team yote ktk msimu mmoja!
Team imeanza kukaa vyema sasa naona mnaanza rundikia watu wengine maneno yenu yawe yao!
Klopp out yenu bado ipo?


Hiyo [HASHTAG]#KLOPP[/HASHTAG] OUT ulitubunia na Kutubambikia Wewe, Lakini hatukusema Sisi.....

Sisi Tulikuwa Tukimlalamikia na Kumlaumj Klopp Kuwa Kakumbatia Wachezaji Wabovu tu.

Na wewe Ndiye Uliyekuwa Ukitetea Hao Wachezaji Wabovu.

Na Ukishatetea Unakuja Na Maneno ya Kutusingizia Kuwa eti tunasema [HASHTAG]#KLOPOUT[/HASHTAG].

Hebu Pitia Post zetu Kuanzia Mechi ya Kwanza August 2017 Mpaka mechi ya Mwisho May 2018 uone kama Utakuta hicho Kitu Klopp Out.

Bali Ndani Ya Post Zako ndiyo Muna Hiyo Klopp Out uliyotubambikizia Kuwa eti tunasema Sisi.
 
Aliye wa prove wrong ni WW na wenzako na slogan yenu ya Klopp OUT
Mm na watu wachache sana ndiyo tulikuwa tunawafundisha kuwa Kopp anajenga tema,kama Klopp kakuta team yote mbovu na hawezi badiri team yote ktk msimu mmoja!
Team imeanza kukaa vyema sasa naona mnaanza rundikia watu wengine maneno yenu yawe yao!
Klopp out yenu bado ipo?


Na istoshe Kama Utakuwa Unahifadhi Kumbukumbu! Baada Ya Mourinho Kumnunua Pogba Klopp Alitamka Maneno Ya Kuwa Hatotumia Pesa Nyingi Kwa Kununua Wachezaji.. Na Badala Yake Alishikilia Msimamo Wa Kuboresha Wachezaji aliowakuta na Kununua Average Players ili Kuwaboresha.

Hapo Ndiyo Tukaanza Kumlaumh Mpaka Alipobadilisha Msimamo Kwani Sisi Hatukutaka Kuwa Ni Academy ya Kuboresha Wachezaji ili Kina Barcelona Waje Wachukue.. Bali Tulichotaka Sisi Ni Makombe tu.
 
Mane Tayari ameshapewa Namba Halisi inayomfaa!
Kuna Wachezaji Kama Robertson na TAA pia Wanahitaji Wafanyiwe Marekebisho Ya Namba Zao Kwani Walizonazo Hazimake Sense.

Pia Fabinho naye itambidi Apatiwe Hile Namba 6 Kwani inatosha Kwa LOVREN kuvaa Jezi Namba 3 ambayo Mpaka Sasa Haina mtu anayeivaa ndani Ya Liverpool.
Pia Alisson apatiwe Jezi yenye Namba 1 Kwani Karius Hajaitendea Haki Hiyo Namba.
Karius anaweza vaa Hata hiyo 19 aliyoiacha Sadio Mane.

[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]


Ninakubaliana nawe kwa zaidi ya 100%


Mtu beki unakuwa unavaa jersey namba 6 kweli? Wakati anaecheza namba sita anahangaikia namba ya jezi?
 
IMG_3150.JPG
 
Ok guyss. that's great in here!
Naomba kupata more info kuhus ishu ya Fekir..

we're so happy kuhusu Allison but personally nadhani deal ya Allison inaweza ikawa ni kigezo kikubwa cha kumpata Fekir, tumespend more than 60m kwa keeper, cant see FSG spend another 50m kwasasa unless wauze baadhi ya deadwoods.

Then, nilisoma sehemu kuwa Lyon wants 2 installments kwenye malipo but we want 5 installments, hence Aulas anagoma kurudi kwenye table ya mazungumzo.

We have had the best window but if hatutampata Fekir au a complete number 10, then i won consider this window as a 10/10 window, we need a number 10 (PC replacement) and a good CB.

the issue of Ward getting tiped to be LFC no 1 goalie and getting sold 4 days later, bado inanipa matumaini kuhusu Fekir, but kama tukimiss out, then i dont know how nitarecover from that.
 
Jamani inamaana huyo Dogo Rhian Brewster ndio kawa promoted na kuingia kwenye squad moja kwa moja au bado ni Academy member ? Huwa niko shallow kidogo kwenye issues hizi CC: MosDef

kishakuwa promoted, his agent ameplay part kubwa sana.

Wilson ataondoka kwa mkopo nadhani, naona Klopp bado hajaridhishwa na huyu kijana, but nadhani kama ni loan apelekwe kwenye team ambayo inashiriki EPL pia,

youngsters ambao naona wanaweza kufata nyayo za Trent, ni Brewster, Curtis Jones na Camacho. i'd say masterson too, but hao watatu ni the most talented hasa Curtis Jones.

nadhani Klopp will use Brewster a lot this season kutokea Bench.
 
mimi bado nadhani shida yetu ipo kwa Archberg kuliko kwa hawa mapika wetu hata huyu Allison labda aje na vitu vyake vya ziada ila akifuata mafundisho ya huyu jamaa atarudia mistake za Migs na Karius


let's hope he is going to be good addition to our squad

kama Allison akiflop nadhani he will be sacked

pia niliona mahali kuwa Archterbeg is the reason why Buvac left LFC. dont know if its true though
 
kishakuwa promoted, his agent ameplay part kubwa sana.

Wilson ataondoka kwa mkopo nadhani, naona Klopp bado hajaridhishwa na huyu kijana, but nadhani kama ni loan apelekwe kwenye team ambayo inashiriki EPL pia,

youngsters ambao naona wanaweza kufata nyayo za Trent, ni Brewster, Curtis Jones na Camacho. i'd say masterson too, but hao watatu ni the most talented hasa Curtis Jones.

nadhani Klopp will use Brewster a lot this season kutokea Bench.
Wilson kashaenda derby kwa mkopo na Ryan Kent pia kashatua rangers
 
Back
Top Bottom