Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,297
Mechi za kirafiki
Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City wataelekea nchini Marekani kwa ziara ya ambayo itashirikisha mechi za kirafiki dhidi ya wapinzani wao wa Uingereza Chelsea na Liverpool.
Klabu hizo tatu zitaungana na klabu za Manchester United, Arsenal na Tottenham katika mchunao huo wa mabingwa wa kombe la kimataifa
Shindano hilo la kila mwaka pia litashirikisha mabingwa wa Uhispania, Itali, Ufaransa na Ujerumani -Bercelona, Juventus, PSG na Bayern Munich - pamoja na Benfica na Atletico Madrid.
Liverpool itakabiliana na klabu zote mbili za Manchester katika kipindi cha siku tatu, huku Chelsea ikichuana na wapinzani wao wa London Arsenal katika mji wa Dublin Agosti mosi.
Mabingwa watetezi wa kombe la FA Chelsea watakabiliana na Manchester City katika kombe la Community Shield katika uwanja wa Wembley mnamo tarehe 5 Agosti.
Wiki mbili kabla ya mechi hiyo Chelsea itasafiri maili 17,982- magharibi mwa Australia ili kuchuana na Perth Glory.
Mechi za kirafiki kabla ya msimu wa ligi ya Premier kuanza:
Liverpool
7 Julai: Chester 0-7 Liverpool (Swansway Chester Stadium)
10 Julai: Tranmere Rovers 2-3 Liverpool (Prenton Park)
14 Julai: Bury 0-0 Liverpool (Gigg Lane)
19 Julai: Blackburn v Liverpool (Ewood Park)
22 Julai: Liverpool v Borussia Dortmund (Bank of America Stadium, North Carolina)
25 Julai: Manchester City v Liverpool (MetLife Stadium, New York)
28 Julai: Manchester United v Liverpool (Michigan Stadium, Michigan)
4 Agosti: Liverpool v Napoli (Aviva Stadium, Dublin)
7 Agosti: Liverpool v Torino (Anfield)
Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City wataelekea nchini Marekani kwa ziara ya ambayo itashirikisha mechi za kirafiki dhidi ya wapinzani wao wa Uingereza Chelsea na Liverpool.
Klabu hizo tatu zitaungana na klabu za Manchester United, Arsenal na Tottenham katika mchunao huo wa mabingwa wa kombe la kimataifa
Shindano hilo la kila mwaka pia litashirikisha mabingwa wa Uhispania, Itali, Ufaransa na Ujerumani -Bercelona, Juventus, PSG na Bayern Munich - pamoja na Benfica na Atletico Madrid.
Liverpool itakabiliana na klabu zote mbili za Manchester katika kipindi cha siku tatu, huku Chelsea ikichuana na wapinzani wao wa London Arsenal katika mji wa Dublin Agosti mosi.
Mabingwa watetezi wa kombe la FA Chelsea watakabiliana na Manchester City katika kombe la Community Shield katika uwanja wa Wembley mnamo tarehe 5 Agosti.
Wiki mbili kabla ya mechi hiyo Chelsea itasafiri maili 17,982- magharibi mwa Australia ili kuchuana na Perth Glory.
Mechi za kirafiki kabla ya msimu wa ligi ya Premier kuanza:
Liverpool
7 Julai: Chester 0-7 Liverpool (Swansway Chester Stadium)
10 Julai: Tranmere Rovers 2-3 Liverpool (Prenton Park)
14 Julai: Bury 0-0 Liverpool (Gigg Lane)
19 Julai: Blackburn v Liverpool (Ewood Park)
22 Julai: Liverpool v Borussia Dortmund (Bank of America Stadium, North Carolina)
25 Julai: Manchester City v Liverpool (MetLife Stadium, New York)
28 Julai: Manchester United v Liverpool (Michigan Stadium, Michigan)
4 Agosti: Liverpool v Napoli (Aviva Stadium, Dublin)
7 Agosti: Liverpool v Torino (Anfield)
KEY THE DON