Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,527
- 2,788
Mtu anakuombia ni ushamba kutokumuelewa huyo dada na ni haki yake. Ni kweli sio kosa kisheria na uhuru anao.
Hapa hatumpimi kwa hizo sheria anapimwa kwa mila na desturi zetu.
Siamini hata hawa wanaodai ni haki yake kama angekuwa mtoto wao wanauwezo wakumsikiliza majumbani mwao na kufurahi mtoto wao anafanya kitu sahihi
Hapa hatumpimi kwa hizo sheria anapimwa kwa mila na desturi zetu.
Siamini hata hawa wanaodai ni haki yake kama angekuwa mtoto wao wanauwezo wakumsikiliza majumbani mwao na kufurahi mtoto wao anafanya kitu sahihi