Kwa Wazazi ambao watoto wenu bado hawajapokelewa shule za English Mediums kwa sababu bado hamjalipa ada, pitieni hapa

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,115
27,105
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"

Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.

Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.

Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.

Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.

Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.


Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.

Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.

Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.

Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.

Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.

So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
 
imefikia hatua sasa ubora wa elimu anayopewa mtoto unapimwa kwa yeye kuongea kiingereza fasaha akiwa na baba yake au mama yake wakiwa matembezi weekend.

maarifa na uelewa wa mambo sio kipaumbele.

ndio sababu akina matumbotumbo mmewaona wameanza kuwaandaa watoto wao kwenye stream za uongozi kupitia ccm chipukizi,miaka 10 ijayo haitakuwa tena unajua kiingereza kiasi gani tukupe kazi(hazitakuwepo).itakuwa umejifunza nini shuleni kuja kupambana na masumbwi ya maisha???

anayewekeza $$ kwenye elimu ya mwanaye,asisahau kumuandalia na walau kiwanja\biashara au shamba atakaloanzia.
 
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"

Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.

Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzako wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.

Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.

Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.

Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.


Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.

Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.

Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.

Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you but an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by an equal exchange.

Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.

So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
sijaisoma yote ila tambua kupanga ni kuchagua
 
Umeongea kwa hasira ila ndo ukweli wenyewe
Mleta mada na wewe tafuteni Hela .

Wenye Hela hawalalamiki na Wala hawahitaji mleta mada lofa awasemee au kuwashauri na vi theory vyake Koko ohh production ohh what what atafute Hela

Maskini Huwa na vi theory vya ajabu ajabu na hujitia kuvielekeza Kwa Wenye nazo Eti ohh mabwege Wanapigwa.Hela zao wanalipa halafu lofa anajitia kuwa ohh mnapigwa Wakati uwezo wa kupeleka huko mtoto Hana

Uzuri Wenye pesa Huwa hawapokei ushauri Kwa mtu lofa Huwa wanapeana ushauri wao Kwa wao

Mleta mada lofa vi theory vyako peleka Kwa malofa wenzio
 
Wazazi wengi hupenda kupeleka watoto wao shule za bei kubwa sio kwamba wapate elimu bora tu(ambayo kimsingi si kweli) ila pia wapate connection yaani kuwaandalia connection mapema. Sijui nimeeleweka hapa🤔🤔

Maisha yameshabadilika sana tokea enzi hizo aise connection ni muhimu sana.
 
Usitegemee mwanao asome senti kayumba afu aje awe na connection nzuri baadae ( hapa tunaangalia badae na sio sasa).

Kama una uwezo wa kufanya hivyo fanya maana sio kwaajili yako bali ni kwaajili yake, yaani kwaajili ya maisha yake ya badae.
 
Wazazi wengi hupenda kupeleka watoto wao shule za bei kubwa sio kwamba wapate elimu bora tu(ambayo kimsingi si kweli) ila pia wapate connection yaani kuwaandalia connection mapema. Sijui nimeeleweka hapa🤔🤔

Maisha yameshabadilika sana tokea enzi hizo aise connection ni muhimu sana.
Sahihi hata mtoto kuolewa anayesoma shule hizo za bei kubwa anakuwa kajenga connection kubwa sio Rahisi kuolewa kienyeji na kibaka au mpiga debe
 
Usitegemee mwanao asome senti kayumba afu aje awe na connection nzuri baadae ( hapa tunaangalia badae na sio sasa).

Kama una uwezo wa kufanya hivyo fanya maana sio kwaajili yako bali ni kwaajili yake, yaani kwaajili ya maisha yake ya badae.
Hajielwi ulofa na ubahili mbaya sana
Mtoto anasoma na watoto wa viongozi wakubwa serikalini, bungeni na Mahakama na WA wa wanyabiashara wakubwa na wanasiasa wakubwa nk wanaoajiri na kutoa fursa

Baadaye ndio hao huanza kupiga yowe kuwa ohh sababu mtoto Hana connection
 
Mleta mada na wewe tafuteni Hela .

Wenye Hela hawalalamiki na Wala hawahitaji mleta mada lofa awasemee au kuwashauri na vi theory vyake Koko ohh production ohh what what atafute Hela

Maskini Huwa na vi theory vya ajabu ajabu na hujitia kuviekekeza Kwa Wenye nazo Eti ohh mabwege Wanapigwa.Hela zao wanalipa halafu lofa anajitia kuwa ohh mnapigwa Wakati uwezo wa kupeleka huko mtoto Hana

Uzuri Wenye pesa Huwa hawapokei ushauri Kwa mtu lofa Huwa wanapeana ushauri wao Kwa wao

Mleta mada lofa vi theory vyako peleka Kwa malofa wenzio
Mchangia maada wewe una hela au unafoka foka tu
 
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"

Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.

Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzako wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.

Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.

Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.

Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.


Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.

Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.

Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.

Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you but an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by an equal exchange.

Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.

So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
#Capitalism Is always Characterized by an equal exchange.🤔 Ilipaswa iwe #Unequal exchange.
 
Mleta mada na wewe tafuteni Hela .

Wenye Hela hawalalamiki na Wala hawahitaji mleta mada lofa awasemee au kuwashauri na vi theory vyake Koko ohh production ohh what what atafute Hela

Maskini Huwa na vi theory vya ajabu ajabu na hujitia kuvielekeza Kwa Wenye nazo Eti ohh mabwege Wanapigwa.Hela zao wanalipa halafu lofa anajitia kuwa ohh mnapigwa Wakati uwezo wa kupeleka huko mtoto Hana

Uzuri Wenye pesa Huwa hawapokei ushauri Kwa mtu lofa Huwa wanapeana ushauri wao Kwa wao

Mleta mada lofa vi theory vyako peleka Kwa malofa wenzio
Msome upya mleta mada, mleta mada ana hoja tena hoja ya msingi sana.
Hajamlazimisha mtu asimpeleke mtoto wake kwenye English medium bali amewashauri wazazi wasio na pesa ya uhakika huku wanateseka sasa kuwapeleka watoto English medium. Ule woga itakuwaje ikiwa mtoto atakwenda St Kayumba uwaondoke.
 
Back
Top Bottom