LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,115
- 27,105
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.
Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.
Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.
Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.
Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.
Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.
Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.
Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.
Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.
So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.
Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.
Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.
Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.
Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.
Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.
Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.
Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.
Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.
So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.