LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Hili ni dongo la kiutu uzima mjue? Linasadifu uhalisia kwenye jamii yetu..
Halafu ndugu zangu wabongo mbona mnapenda kujistress sana aisee???
Wabongo tunakuwaga na ujinga mwingi sana.
Kuna wabongo huwaga wana amini mtu mzima lazima uwe na mawazo mawazo hivi na stress ndio maana wanapenda kujistress kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.
Ishi na kanuni hii👇
If your money is not bigger enough to buy you a house, then you have to eat that money.
English Medium ambayo at least unatakiwa kumpeleka mtoto wako ni ile inayo toza ada ya kuanzia at least sh.milioni kumi kwa mwaka na iwe chini ya taasisi. Lakini hizi za kulipa milioni moja na nusu mpaka 3 kwa mwaka au laki tatu kila baada ya miezi mitatu ma zenye kumilikiwa na kina Mr. And Mrs. MUGETTA , ni Kayumba zilizo changamka.. Yani nilipe hela mtoto wangu asomeshwe kiingereza na mtu ambae anaongea kiswahili kama lugha yake ya mawasiliano + kiingereza sio lugha yake ya kwanza? 🤣🤣🤣
Mwisho wa siku unaishia kumsumbua mtoto wako to atakapofika chuo kikuu. Atanyimwa mkopo na wewe hautokuwa na uwezo wa kulipa hayo mamilioni ya chuo..
To be honest, Hizi English Mediums ni kama brands tu na kumsomesha mtoto wako hasa mtoto wa kike kwenye shule hizo ni sawa na " ku mbrand tu" 🤣🤣🤣
Kwa wewe baba ambae bado hujasanuka let me remind you of one thing 👇
The most biggest challenge of being a father is that everyone want it NOW.
The children want to eat now. The children need to go to the hospital now. Their mother want to saloon Now. Their mother want you to have sex with her now. Etc.
Everything about a father is revolving around the word NOW.
And NOW
1. The schools are opened now.
2. Your children want to go to school now.
3. Your wife want to call her friends now boosting yo them ,that you have finished paid for the school fees.
4. And the teachers need the money now.
5. If you don't pay the money now.
6. Your children won't be allowed to go school now.
WHAT ARE YOU WAITING NOW GO AND PAY THE SCHOOL FEES NOW
Halafu ndugu zangu wabongo mbona mnapenda kujistress sana aisee???
Wabongo tunakuwaga na ujinga mwingi sana.
Kuna wabongo huwaga wana amini mtu mzima lazima uwe na mawazo mawazo hivi na stress ndio maana wanapenda kujistress kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.
Ishi na kanuni hii👇
If your money is not bigger enough to buy you a house, then you have to eat that money.
English Medium ambayo at least unatakiwa kumpeleka mtoto wako ni ile inayo toza ada ya kuanzia at least sh.milioni kumi kwa mwaka na iwe chini ya taasisi. Lakini hizi za kulipa milioni moja na nusu mpaka 3 kwa mwaka au laki tatu kila baada ya miezi mitatu ma zenye kumilikiwa na kina Mr. And Mrs. MUGETTA , ni Kayumba zilizo changamka.. Yani nilipe hela mtoto wangu asomeshwe kiingereza na mtu ambae anaongea kiswahili kama lugha yake ya mawasiliano + kiingereza sio lugha yake ya kwanza? 🤣🤣🤣
Mwisho wa siku unaishia kumsumbua mtoto wako to atakapofika chuo kikuu. Atanyimwa mkopo na wewe hautokuwa na uwezo wa kulipa hayo mamilioni ya chuo..
To be honest, Hizi English Mediums ni kama brands tu na kumsomesha mtoto wako hasa mtoto wa kike kwenye shule hizo ni sawa na " ku mbrand tu" 🤣🤣🤣
Kwa wewe baba ambae bado hujasanuka let me remind you of one thing 👇
The most biggest challenge of being a father is that everyone want it NOW.
The children want to eat now. The children need to go to the hospital now. Their mother want to saloon Now. Their mother want you to have sex with her now. Etc.
Everything about a father is revolving around the word NOW.
And NOW
1. The schools are opened now.
2. Your children want to go to school now.
3. Your wife want to call her friends now boosting yo them ,that you have finished paid for the school fees.
4. And the teachers need the money now.
5. If you don't pay the money now.
6. Your children won't be allowed to go school now.
WHAT ARE YOU WAITING NOW GO AND PAY THE SCHOOL FEES NOW