Sensa ya kwenye elimu ya chuo kikuu ila hawana ajira ikifanyika. Results zitabadili mtazamo wa wazazi kulipa ada mamilioni

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,527
Habari wadau.

Najaribu kuwaza ikitokea sensa ya wenye elimu ya chuo kikuu ila hawana ajira ikafanyika. Mtazamo wa wazazi juu ya elimu utabadilika sana.

Kwa hali ya ajira ilivyo,,Ada za mamilioni tunazolipia watoto wetu ni bora tuwanunulie mashamba, mifugo, kuwajengea vyumba vya kupangisha etc

Kizazi cha sasa ajira nyingi zipo kwenye umaarufu yaani mtoto awe influencer, comedians, singer, muigizaji, mwanamichezo etc etc.

Mtu unalipa ada mamilioni kila mwaka english medium. .mtoto anafika udsm na bado ajira hapati. Akimaliza inabidi umfungulie tena duka la nguo.

Si bora hizo ada ungemtunzia kwa kumnunulia viwanja na asset zingine aje apate mtaji mbeleni
 
Elimu itabaki kuwa muhimu ,sema elimu yetu haiwezi kushindana kweny soko la dunia mbona wahindi wapo kila kona hapo Uk wanamiliki assets nyingi kuliko hata wazawa.

Kingine soko la ndani lishabuma itabidi tufikirie kuweka misingi ya elimu yenye ushindwani kidunia hapa ndipo tulipokwanza ....Moja ya sababu ni kwamba tumeshindwa hata kuajiri wachache (lecturers) kutoka nje ili kufundisha kwa uwezo mkubwa hapa ndani badala yake tuna watu wachache waliosoma nje kama wanaopata scholarship.

Nadhani hawa vijana waliosoma nje na international schoolsbuwezo wao mnaujua na wengine wanapiga mishe nje ,tusidanganywe still elimu yetu hatukidhi ushindani wa nje.
 
Back
Top Bottom