Ni roho mbaya tu za watu kutaka jamaa azidi kuteseka zaidi wakati mateso anayopitia saizi bado yamekuwa too heavy to handle

Nina noma kama mhakama itatoa kibali cha kumfufua yule kibopa
Mahakama haiwezi kumfufua!

Tulia kama Mbowe alivyotulia! Ili uendelee kufutwa machozi na kupumua baada ya kubanwa sana kwa miaka 5
 
Kumbe hiyo miaka aliyopangua leo ni kama bonaza afu hiyo 30 ambayo bado ni kama jackpot
Swadakta, tena mwenendo wa kesi hii ndio umemkalia vibaya sana kwa mujibu wa mtiririko wa mashahidi.

Unless kuwe na order kwamba ameshanyooka asamehewe yote yanawezekana.
 

tawile ndugu mtabiri
 
Wewe ni mkewe mpaka ujue anayopitia?
 
Mmhhh, hukumu ya rufaa ilipangwa kabla ya mafuta kupanda, wala haina mahusiano na mjadala wa bei ya mafuta. Haya maneno ndio ccm huyatumia kujifanya ni wajanja kumbe upuuzi mtupu.
Ccm ni wajanja hawalingani kabisa na chama la magaidi lile!

Vipi kwanza mbona sisikii kelele za katiba mpya? Au mwamba alirambishwa nini siku ile pale ikulu kwa hangaya?

Au mmemuachia maria space tu?
 
Punguza hasira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…