Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 516
- 854
- Thread starter
- #41
Nimesema dell mkuu hayo ma hp baki nayo tuNina HP 1030G3
RAM 8
STORAGE SSD 512GB
View attachment 2568644View attachment 2568645View attachment 2568643
Nimesema dell mkuu hayo ma hp baki nayo tuNina HP 1030G3
RAM 8
STORAGE SSD 512GB
View attachment 2568644View attachment 2568645View attachment 2568643
Cheki hiiWakuuu za sahizi nipo Dar nilikuwa natafuta PC
Au laptop nzuri ya 2.2M kama budget yangu
Nilikuwa naomba muongozo wa sehemu nzuri ya kuipatia na pia specifications zake
Napendelea kampuni ya dell
Nipo chuo 1st year napiga IS
Shukrani
View attachment 2567086View attachment 2567087
Sio kweli kama huamini tafuta pc ya kidosho alafu run flutter kule alafu uje hapa uniambie usipotoshe watu
Mkuu chief nina Ryzen 5 3500U vp ni pc nzuri ambayo naweza ku run games?Inafaa ila kwa 2.2m kununua gen ya 11 unapigwa.
Kwa hio budget minimum Ryzen 3 tena iwe Rembrandt ama intel Gen ya 12 kupanda, ama Macbook Air M1 kwenye sale.
Kama hujali ukaaji chaji na portability Tafuta yenye Rtx 3050 ti, itakua na nguvu na itafanya majority of tasks hata nje ya programing.
Kama portability na ukaaji chaji ni priority tafuta zenye Amd Ryzen 6800u, 6600u, 6800Hs etc ama intel i5 1230u.
3500u sio? Cpu si mbaya mkuu ni Equivalent i5/i7 ya gen ya 10, kwq standard za sasa bado ni ya kisasa.Mkuu chief nina Ryzen 5 3500U vp ni pc nzuri ambayo naweza ku run games?
Nije wapi sasa pm au
Rtx 3050ti kwa hio bei ni fair kabisa mkuu, assume laptop ipo katika hali nzuri[mention]Chief-Mkwawa [/mention] vipi tukimuweka hapo kwa bajet yake au tutakuwa tumemuonea
Rtx 3050ti kwa hio bei ni fair kabisa mkuu, assume laptop ipo katika hali nzuri
Office depot walikua wanafanya clearence machine ya i3 1005G1 kwa 680,000 mpya, kama unaweza ku Afford.Chief-Mkwawa je laptop Gani nzuri naweza pata kwa 500K?
680 parefu Nina hiyo 500 tu.Office depot walikua wanafanya clearence machine ya i3 1005G1 kwa 680,000 mpya, kama unaweza ku Afford.
Otherwise tafuta used same Cpu. Kwa Laki 5 komaa upate angalau gen ya 8 kupanda.
Je mpya kwa 500 hupati?680 parefu Nina hiyo 500 tu.
Je sehemu Gani naweza pata hiyo 8 gen Kwa hapa Dar
Mpya unapata kina Celeron na Ndugu zake not worth it.Je mpya kwa 500 hupati?
Machine zao ni za uhakika hao jamaa au tia maji tia majiMpya unapata kina Celeron na Ndugu zake not worth it.
500k kwa 8th gen ni ya kutafuta, uhakika 600k ndio unapata gen ya 8 ila ukitafuta sana na kulia sana unaweza pata hadi 500k.
Duka sina uhakika 100% ila angalia Discount kubwa msimbazi pale, Machinga Complex, na Mtaa wa likoma lile jengo linaloangaliziana na benki ya Mkombozi.
Naweza pata hiiOffice depot walikua wanafanya clearence machine ya i3 1005G1 kwa 680,000 mpya, kama unaweza ku Afford.
Otherwise tafuta used same Cpu. Kwa Laki 5 komaa upate angalau gen ya 8 kupanda.