Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,527
- 2,784
Shukran mkuuAi zinatumia NPU, Neural processing unit.
Shukran mkuuAi zinatumia NPU, Neural processing unit.
Hizo NPU zinapatikana kwenye laptop zenye uwezo gani mkuuuAi zinatumia NPU, Neural processing unit.
Naona currently pc pekee ni surface pro X ndio wana NPUAi zinatumia NPU, Neural processing unit.
Surface pro x ni kampuni gani hiyo kwani 🤔Naona currently pc pekee ni surface pro X ndio wana NPU
Ndio hiyo hiyoSurface pro x ni kampuni gani hiyo kwani 🤔
Nime google hapa naona price ni 3.8M daah ni haki yake assee kuwa na NPUNdio hiyo hiyo
PambanaNime google hapa naona price ni 3.8M daah ni haki yake assee kuwa na NPU
Cloud in online storage...like ondrive..google drive...icloudCloud ndo nn sasa mkuuu sijaelewa na inataka pc yenye uwezo gani 🤔😁
Dedicated ndio, Cpu za sasa za pc hazina ila inategemewa Gen ya 14 intel kuja na dedicated NPU built in ndani ya cpu.Naona currently pc pekee ni surface pro X ndio wana NPU
Pia haikufai wewe hio, ina Arm cpu, processor kama simu, Arm bado haijamature kwenye Windows mpaka Oryon cores za Qualcomm zitoke.Nime google hapa naona price ni 3.8M daah ni haki yake assee kuwa na NPU
Daaah kwaiyo intel wanapenda kuchomekewa chomekewa kam,,,,Dedicated ndio, Cpu za sasa za pc hazina ila inategemewa Gen ya 14 intel kuja na dedicated NPU built in ndani ya cpu.
Intel wana stick kama hizi unachomeka kama flash unapata NPU.
Duuuh sawasawa mkuuu shukraniPia haikufai wewe hio, ina Arm cpu, processor kama simu, Arm bado haijamature kwenye Windows mpaka Oryon cores za Qualcomm zitoke.
Sawa sawa mkuuDedicated ndio, Cpu za sasa za pc hazina ila inategemewa Gen ya 14 intel kuja na dedicated NPU built in ndani ya cpu.
Intel wana stick kama hizi unachomeka kama flash unapata NPU.
Hapana mkuu
Hii inategemea na unachofanya kuchagua computer hata yale madesktop ya Dell ya stationery yanayofanana na scania Ila unakuta ram ni gb2 na hdd 160gb.Hivi AI inataka pc yenye uwezo gani mkuuuu
Nije wapi sasa pm auNjoo nikupe sample za laptop kali kwa hajet yako na imani utazipenda