Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,735
- 39,836
Wacheki mkuu, google office depot Tanzania utapata Contacts zaoNaweza pata hii
Wacheki mkuu, google office depot Tanzania utapata Contacts zaoNaweza pata hii
Hamna uhakika 100% ila Laptop zina uafadhali compare na simu, uwe tu makini ule ukaguzi wa kawaida na usisahau warranty hata ya miezi kadhaa.Machine zao ni za uhakika hao jamaa au tia maji tia maji
Wakuuu za sahizi nipo Dar nilikuwa natafuta PC
Au laptop nzuri ya 2.2M kama budget yangu
Nilikuwa naomba muongozo wa sehemu nzuri ya kuipatia na pia specifications zake
Napendelea kampuni ya dell
Nipo chuo 1st year napiga IS
Shukrani 👍☺️
View attachment 2567086View attachment 2567087
mkuu inaonekana hii ndo location pekee waweza pata vifaa vya computer kwa bei rahisi bongo nzimaMpya unapata kina Celeron na Ndugu zake not worth it.
500k kwa 8th gen ni ya kutafuta, uhakika 600k ndio unapata gen ya 8 ila ukitafuta sana na kulia sana unaweza pata hadi 500k.
Duka sina uhakika 100% ila angalia Discount kubwa msimbazi pale, Machinga Complex, na Mtaa wa likoma lile jengo linaloangaliziana na benki ya Mkombozi.
Kule uhuru wanapiga sana siku hizi, unaweza kwenda kama unajua kuongeamkuu inaonekana hii ndo location pekee waweza pata vifaa vya computer kwa bei rahisi bongo nzima
maana since miaka ya nyuma unashauri mtu kma anataka vifaa afike hilo eneo.
Huko kote ulikosema mpaka kwa 480k anapata mashine haswa. Mimi miezi miwili nilinunua core i5 gen ya 7 au 8, ni touch kwa hiyo bei.Mpya unapata kina Celeron na Ndugu zake not worth it.
500k kwa 8th gen ni ya kutafuta, uhakika 600k ndio unapata gen ya 8 ila ukitafuta sana na kulia sana unaweza pata hadi 500k.
Duka sina uhakika 100% ila angalia Discount kubwa msimbazi pale, Machinga Complex, na Mtaa wa likoma lile jengo linaloangaliziana na benki ya Mkombozi.
Upo sahihi, mimi ktk michezo ya kuongea niko vizuri saana. Pia kujua machimbo watu wanayochukulia, hapo utaweza kupata PC nzuri tu.Kule uhuru wanapiga sana siku hizi, unaweza kwenda kama unajua kuongea
Kaka used hp elite book 840 G2Mpya unapata kina Celeron na Ndugu zake not worth it.
500k kwa 8th gen ni ya kutafuta, uhakika 600k ndio unapata gen ya 8 ila ukitafuta sana na kulia sana unaweza pata hadi 500k.
Duka sina uhakika 100% ila angalia Discount kubwa msimbazi pale, Machinga Complex, na Mtaa wa likoma lile jengo linaloangaliziana na benki ya Mkombozi.
5th gen inapitwa nguvu hadi na 4th gen haina issue kwa hio bei mkuu. Kama budget inastretch hadi hapo unapata 8th gen mkuu.Kaka used hp elite book 840 G2
I7 5Th gen touch screen
Kwa 550K Ina worth?
Wanakaza fuvu.5th gen inapitwa nguvu hadi na 4th gen haina issue kwa hio bei mkuu. Kama budget inastretch hadi hapo unapata 8th gen mkuu.
Endelea kutafuta mkuu, Mi kama mwezi nilienda na Mtu Discountkubwa alichukua 8th kwa 600k na tena ilikua ina mbwembwe kioo kidogo, Ultrabook, ssd, ram ya kutosha etc.Wanakaza fuvu.
8th 650
Hao hao discount kubwa PC kama hiyo uliyosema ni ultra slim like new wameanzia 750K hadi 650 wamegoma kushukaEndelea kutafuta mkuu, Mi kama mwezi nilienda na Mtu Discountkubwa alichukua 8th kwa 600k na tena ilikua ina mbwembwe kioo kidogo, Ultrabook, ssd, ram ya kutosha etc.
Mcheki huyu
Laptop HP 250 G8 8GB Intel Core I5 HDD 1T
Harddisk 1T RAM 8GB PROCESSOR core i5 10th generation battery 3hrsjiji.co.tz
10th gen anaclaim.
Sema kama Tapeli mjaribu
Chief namshauri achukue dell 7400 gen ya 8Inafaa ila kwa 2.2m kununua gen ya 11 unapigwa.
Kwa hio budget minimum Ryzen 3 tena iwe Rembrandt ama intel Gen ya 12 kupanda, ama Macbook Air M1 kwenye sale.
Kama hujali ukaaji chaji na portability Tafuta yenye Rtx 3050 ti, itakua na nguvu na itafanya majority of tasks hata nje ya programing.
Kama portability na ukaaji chaji ni priority tafuta zenye Amd Ryzen 6800u, 6600u, 6800Hs etc ama intel i5 1230u.
Hivi huzo data unazi access bure au ikoje mkuu.Model za AI kama unaanza kuzitrain from scratch zinatumia mamilion ya data so pc yako kwa processor yake haiwezi, kuna kitu kinaitwa GPU nayo angalau lakini kama transfer learning haitumii data nyingi japo utahitaji pia cloud.
Cloud tunatumia kufanya training ya model yako vingine vyote utafanyia kwenye pc yako
Zipo za freeHivi huzo data unazi access bure au ikoje mkuu.
Kama anaagizishia Nje i3 1215u ama i3 1220p unazipata kuanzia $250, ni nzuri zaidi ni mpya na perfomance kubwa kuliko 8th genChief namshauri achukue dell 7400 gen ya 8
Akiagiza from Dubai anipata kwa 1.2 au 1.3 m wakati anabaki pocket money kwenye budget Ina ssd ya 512gb na ram8 gb haishindwi kitu labda tuseme anataka display kubwa wakati hii ina 14' kwangu naitumia na naifurahia.
Yote katika yote pc yoyote ila lazima iendane na anachofanya kwa sababu kesha weka hiyo budget
Hua hatucheki tunapiga picha code iliyoexecute successfully 🤣Huruhusiwi kucheka kwenye darasa la programming😁😁😁
Programming gani mkuu ?
Mkuu unachotaka somea ulijishauri, ulishauliwa au ni mihemko.Kwaiyo hio server unai install kwenye pc yako sio eeeh 🤔 au inakuwaje
Hii 7 days replacement ikoje mkuuView attachment 2573872
View attachment 2573873
View attachment 2573874
View attachment 2573875
HP VICTUS RTX 3050ti
BEI 2,200,000
GAME ZOTE KAZI YOYOTE YA GRAPHICS HUMU UNATELEZA TU MASHINE YA KAZI BEI OFFER HIYO
Product name
Victus by HP Laptop 16-d0127TX
Microprocessor
Intel Core i5-11400H (up to 4.5 GHz with Intel Turbo Boost Technology, 12 MB L3 cache, 6 cores, 12 threads)
Chipset
Intel HM570
Memory, standard
16 GB DDR4-2933 MHz RAM (2 x 8 GB)
Video graphics
NVIDIA GeForce RTX 3050 Ti Laptop GPU (4 GB GDDR6 dedicated)
Hard drive
512 GB PCIe NVMe TLC M.2 SSD
Optical drive
Optical drive not included
Display
16.1" diagonal, FHD (1920 x 1080), IPS, micro-edge, anti-glare, 300 nits, 100% sRGB
Wireless connectivity
Intel Wi-Fi CERTIFIED 6 AX201 (2x2) and Bluetooth 5 combo (Supporting Gigabit data rate)
Network interface
Integrated 10/100/1000 GbE LAN
WARRANTY 1 year parts and labour limited warranty.
13 month Service Warranty & 7 Days Replacement
Call us
Visit our Shop
CONTACT:
0777994369
mkuu nikitaka kuunda machine ya kuplay media za 4k hdr10+ na Dolby vision format hasa movie zile unakuta movie moja ina mpaka GB70Kama anaagizishia Nje i3 1215u ama i3 1220p unazipata kuanzia $250, ni nzuri zaidi ni mpya na perfomance kubwa kuliko 8th gen