Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,735
- 39,836
Kwa Bei rahisi zaidi watu hutumia mini pc, cpu yoyote ya Intel kuanzia Gen ya 11 inaplay Av1 codecs na Video za 4k kwa HDR. Hivi vi mini pc ukitaka vizuri Around laki 3, ukitafuta pengine chini ya hapo kwenye sale unapata, baadae unaongeza tu ram na ssd. Uzuri wake hata umeme hauendi sana.mkuu nikitaka kuunda machine ya kuplay media za 4k hdr10+ na Dolby vision format hasa movie zile unakuta movie moja ina mpaka GB70
inatakiwa iwe specifications zipi??, kwa desktop namaanisha.
Kama unataka Machine kabisa desktop itakucost sana maana kupata Machine ya Desktop yenye Cpu mpya kama Ryzen 7xxx na intel Kuanzia gen ya 12 ni gharama.
Na kama unatumia Cpu ya zamani na Gpu mpya unatakiwa angaliu Nvidia rtx 3xxxx ama Amd radeon 6xxxx gpu pekee inaweza cost Around laki 7 ama zaidi.
Alternative Desktop yoyote hata sasa itaplay ila kqa software rendering kutumia program kama vlc, sema itatumia nguvu sana kuplay na pia utakua limited vitu kama Netflix, youtube hutapata hizo Quality.
Ushauri wangu tafuta hizo mini pc, ingia tu Aliexpress hapo search
N100 mini pc
Zitakuja.