Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,213
- 48,767
Mwanaume hutafuta ili ale na mke wake
Mwanamke hutafuta ili ale peke yake
Mwanamke hutafuta ili ale peke yake
Sababu ni kuwa pamoja na kuwa wanaume wanabeba majukum mengi ya familia lkn na umri unachangia ni nani anakubali kuoa mke aliyemzidi umri? Wanaume wengi wakifanya hivyo basi miaka ya mbele nyumba nyingi watabaki wanaume.Ni kweli hata bila utafiti sana utagundua nyumba nyingi wamebaki wanawake na mabibi
Wanaume wanatangulia kufa katika familia nyingi
Sisi wanaume tunabeba matatizo mengi sana, wanawake wengi wao wanabeba matatizo yao tu,
Hii ni kwa ujumla kama nionavyo mimi, unaweza kuchambua ni mangapi unawaza kuyatatua iwe matatizo au mafanikio
Tuna mizigo mingi sana tumeibeba
kifo kipo tu ,iwe mapema au kwa kuchelewa ni kifo tuNyumba nyingi wamebaki wabibi na wamama zaidi endapo mmoja ameondoka.
Najiuliza labda huenda wanaume wanafight sana kuliko wanawake. Nyumba jirani wabibi ndio wameishi miaka mingi zaidi na unakuta kina baba walikufa miaka zaidi ya 40 iliyopita.
Labda huenda wameumbwa hivyo waishi zaidi kuliko sisi, lakini ni jibu lisilojitosheleza. Wanaume tunakufa mapema mno japo kifo ni ahadi.m
Sababu nini hasa?
Mayage yenga wa mpanda alioa watatu kwa mpigo sababu yake alisema alisha wahi kuoa mke moja alimtesa sanaa, shauri huyu rafiki yako pamoja na machungwa aongeze matunda mengine kama maembe na tikiti avute wa pili, hao wa dudu wa kianza hawatibikiIlikua jumapili Wakati Narudi toka mizunguko yangu ya kumsalimu rafiki angu anaeishi Malamba mawili. Kabla yakufika nyumbani nilipita kumsalimu rafiki yangu ambae tumefahamiana toka 2014 ofisin kwake pharmacy ni mtaalamu wa madawa. Nilifungua mlango nikamkuta kijana makamo 25-28 anajaribu kunusuru ndoa yake kwa kuomba ushauri kwa rafiki yangu muuza madawa ,kuwa afanye nini mke wake ana msaliti na amemuoa tayari akiwa na mtoto mmoja.
Kijana uyo ni mpambanaji sana anajihusisha na shughuli za uuzaji wa machungwa stendi kulingana na mujibu wa kazi yake huwa anatoka sa mbili asubuhi na kurudi sa tano ya usku. Amekua akijitahidi sana kumtimizia mkewe mahitaji yake yake muhimu napoongea ivo watu wazima wanakua wananielewa vizuri.
Siku za karibuni alikua akihisi mkewe ana mahusiano na mtu mwingine mana upendo aliouzoea umepotea hadi penzi kupoteza dira . Kijana alihisi ivo baada ya kuona dalili mbalimbali katika mahusiano yao ikiwemo kumnyima unyumba kwa siku tatu (3) , akamdanganya kuwa ana mimba yake lakini kila akimwambia twende tukapime anakataa ikumbukwe ni mke wake halali na pia mwanamke anakua yupo busy sana kuchat kipindi wapo pamoja badala yakumjali mumewe. Kila alipo ulizwa alisema yakua anawasiliana na rafiki zake waliosoma pamoja amna lolote baya.
Kadri siku zinavozidi kwenda kijana anakosa aman anakua mtu wa mawazo baada ya ndoa yake kuingia dosari. Siku ya Jumamosi alivorudi katika mizunguko yake alioga akala na akajipumzisha kitandani kutoka na hali ya msongo wa mawazo iliyokua inamkabili alishindwa kupata usningz vyema wakat huo bibie tayari alikua ashalala fofofo. Akasikia mlio wa meseji kuingia kwenye simu ya mkewe hakusita aliamua kuichukua ili ajue ni nini kinaendlea sio kawaida nyakati za usku mseji kuingia ilikua n mida ya saa 7 usku ,,meseji ilikua ikisomeka ivi "MKE WANGU NAOMBA TUKUTANE PALE TUNAPOKUTANA SIKU ZOTE" ,, Kijana alipigwa na Butwaa kubwa na mapigo ya moyo kuenda kasi Nakujiuliza kitu gani amekosa kama mahitaji yake ya msingi anampatia tena kwa wakati? Katika kuchunguza zaidi alikuja kugundua namba iliyotuma uo ujumbe ni namba ya mpenzi wake wa zamani ambae wamezaa nae huyo mtoto mmoja. Balaa linazidi kuwa zito
INAENDELEA ..............
nimeupokea ushauri wakoMayage yenga wa mpanda alioa watatu kwa mpigo sababu yake alisema alisha wahi kuoa mke moja alimtesa sanaa, shauri huyu rafiki yako pamoja na machungwa aongeze matunda mengine kama maembe na tikiti avute wa pili, hao wa dudu wa kianza hawatibiki
yamefanyajeMapenzi
ilo nalo neno ?Ukiomba lift gari la taka harufu ni lazima.
Sasa umeoa mtu ana mtoto ni vigumu kumnyima tamu baba watoto wake.
H