Kwa hivyo,Nyumba nyingi wamebaki wabibi na wamama zaidi endapo mmoja ameondoka.Najiuliza labda huenda wanaume wanafight sana kuliko wanawake.Nyumba jirani wabibi ndio wameishi miaka mingi zaidi na unakuta kina baba walikufa miaka zaidi ya 40 iliyopita.Labda huenda wameumbwa hivyo waishi zaidi kuliko sisi,lakini ni jibu lisilojitosheleza.Wanaume tunakufa mapema mno japo kifo ni ahadi.Sababu nini hasa?
je, unafikiri kwamba uwezo wa kuishi kwa muda mrefu unategemea jinsia?
Na kama ndivyo, kwa nini wanaume wanaonekana kufa mapema kuliko wanawake?
Research yako umeifanya wapiNyumba nyingi wamebaki wabibi na wamama zaidi endapo mmoja ameondoka.Najiuliza labda huenda wanaume wanafight sana kuliko wanawake.Nyumba jirani wabibi ndio wameishi miaka mingi zaidi na unakuta kina baba walikufa miaka zaidi ya 40 iliyopita.Labda huenda wameumbwa hivyo waishi zaidi kuliko sisi,lakini ni jibu lisilojitosheleza.Wanaume tunakufa mapema mno japo kifo ni ahadi.Sababu nini hasa?
Wao hawafanyi kazi ya kuzaa ambayo huenda ikawa ni hatari?pia nao kazi wanafanya ujueKuoa ni hatari unamuangikia mtu 24/7
Tabora,Arusha,Kilimanjaro na Dar es SalaamResearch yako umeifanya wapi
Japo Tabora sio sana kule wazee wapo wengi na wanakomaa,Sijui ni zile asali za kuleTabora,Arusha,Kilimanjaro na Dar es Salaam
Ni kweli hata bila utafiti sana utagundua nyumba nyingi wamebaki wanawake na mabibi.Nyumba nyingi wamebaki wabibi na wamama zaidi endapo mmoja ameondoka.Najiuliza labda huenda wanaume wanafight sana kuliko wanawake.Nyumba jirani wabibi ndio wameishi miaka mingi zaidi na unakuta kina baba walikufa miaka zaidi ya 40 iliyopita.Labda huenda wameumbwa hivyo waishi zaidi kuliko sisi,lakini ni jibu lisilojitosheleza.Wanaume tunakufa mapema mno japo kifo ni ahadi.Sababu nini hasa?
𝙖𝙘𝙝𝙖 𝙣𝙮𝙚𝙩𝙤 𝙢𝙗𝙚𝙜𝙪 𝙣𝙞 𝙪𝙝𝙖𝙞ex-marais watatu waliotangulia wake zao bado wanadunda mpaka leo hii
𝘽𝙖𝙙 𝙣𝙤𝙩𝙞𝙤𝙣Ovyaz baba kua na umri mkubwa kuliko mama. Basi hata kufa atatangulia yule mwenye umri mkubwa.
acha kupindisha mada𝙖𝙘𝙝𝙖 𝙣𝙮𝙚𝙩𝙤 𝙢𝙗𝙚𝙜𝙪 𝙣𝙞 𝙪𝙝𝙖𝙞
Kabisaex-marais watatu waliotangulia wake zao bado wanadunda mpaka leo hii
Maeneo mengi vijijini wazee wa kutoshaJapo Tabora sio sana kule wazee wapo wengi na wanakomaa,Sijui ni zile asali za kule