Kwanini wanaume hufa mapema kuliko wanawake?

Kwanini wanaume hufa mapema kuliko wanawake?

Hizo zote ni useless, shida n moja tu mnatumika sana enzi za ujana wenu na wengine hadi uzee wao bado wanajikuta bado wapo, sasa lazima achoke sana na mwishowe kujifia mapema ukichanganya na magonjwa ya uzeeni ndio basi tena
wee sio kwl
 
Ilikua jumapili Wakati Narudi toka mizunguko yangu ya kumsalimu rafiki angu anaeishi Malamba mawili. Kabla yakufika nyumbani nilipita kumsalimu rafiki yangu ambae tumefahamiana toka 2014 ofisin kwake pharmacy ni mtaalamu wa madawa. Nilifungua mlango nikamkuta kijana makamo 25-28 anajaribu kunusuru ndoa yake kwa kuomba ushauri kwa rafiki yangu muuza madawa ,kuwa afanye nini mke wake ana msaliti na amemuoa tayari akiwa na mtoto mmoja.

Kijana uyo ni mpambanaji sana anajihusisha na shughuli za uuzaji wa machungwa stendi kulingana na mujibu wa kazi yake huwa anatoka sa mbili asubuhi na kurudi sa tano ya usku. Amekua akijitahidi sana kumtimizia mkewe mahitaji yake yake muhimu napoongea ivo watu wazima wanakua wananielewa vizuri.

Siku za karibuni alikua akihisi mkewe ana mahusiano na mtu mwingine mana upendo aliouzoea umepotea hadi penzi kupoteza dira . Kijana alihisi ivo baada ya kuona dalili mbalimbali katika mahusiano yao ikiwemo kumnyima unyumba kwa siku tatu (3) , akamdanganya kuwa ana mimba yake lakini kila akimwambia twende tukapime anakataa ikumbukwe ni mke wake halali na pia mwanamke anakua yupo busy sana kuchat kipindi wapo pamoja badala yakumjali mumewe. Kila alipo ulizwa alisema yakua anawasiliana na rafiki zake waliosoma pamoja amna lolote baya.

Kadri siku zinavozidi kwenda kijana anakosa aman anakua mtu wa mawazo baada ya ndoa yake kuingia dosari. Siku ya Jumamosi alivorudi katika mizunguko yake alioga akala na akajipumzisha kitandani kutoka na hali ya msongo wa mawazo iliyokua inamkabili alishindwa kupata usningz vyema wakat huo bibie tayari alikua ashalala fofofo. Akasikia mlio wa meseji kuingia kwenye simu ya mkewe hakusita aliamua kuichukua ili ajue ni nini kinaendlea sio kawaida nyakati za usku mseji kuingia ilikua n mida ya saa 7 usku ,,meseji ilikua ikisomeka ivi "MKE WANGU NAOMBA TUKUTANE PALE TUNAPOKUTANA SIKU ZOTE" ,, Kijana alipigwa na Butwaa kubwa na mapigo ya moyo kuenda kasi Nakujiuliza kitu gani amekosa kama mahitaji yake ya msingi anampatia tena kwa wakati? Katika kuchunguza zaidi alikuja kugundua namba iliyotuma uo ujumbe ni namba ya mpenzi wake wa zamani ambae wamezaa nae huyo mtoto mmoja. Balaa linazidi kuwa zito

INAENDELEA ..............

Inaendelea imekuwa mto?
 
Ilikua jumapili Wakati Narudi toka mizunguko yangu ya kumsalimu rafiki angu anaeishi Malamba mawili. Kabla yakufika nyumbani nilipita kumsalimu rafiki yangu ambae tumefahamiana toka 2014 ofisin kwake pharmacy ni mtaalamu wa madawa. Nilifungua mlango nikamkuta kijana makamo 25-28 anajaribu kunusuru ndoa yake kwa kuomba ushauri kwa rafiki yangu muuza madawa ,kuwa afanye nini mke wake ana msaliti na amemuoa tayari akiwa na mtoto mmoja.

Kijana uyo ni mpambanaji sana anajihusisha na shughuli za uuzaji wa machungwa stendi kulingana na mujibu wa kazi yake huwa anatoka sa mbili asubuhi na kurudi sa tano ya usku. Amekua akijitahidi sana kumtimizia mkewe mahitaji yake yake muhimu napoongea ivo watu wazima wanakua wananielewa vizuri.

Siku za karibuni alikua akihisi mkewe ana mahusiano na mtu mwingine mana upendo aliouzoea umepotea hadi penzi kupoteza dira . Kijana alihisi ivo baada ya kuona dalili mbalimbali katika mahusiano yao ikiwemo kumnyima unyumba kwa siku tatu (3) , akamdanganya kuwa ana mimba yake lakini kila akimwambia twende tukapime anakataa ikumbukwe ni mke wake halali na pia mwanamke anakua yupo busy sana kuchat kipindi wapo pamoja badala yakumjali mumewe. Kila alipo ulizwa alisema yakua anawasiliana na rafiki zake waliosoma pamoja amna lolote baya.

Kadri siku zinavozidi kwenda kijana anakosa aman anakua mtu wa mawazo baada ya ndoa yake kuingia dosari. Siku ya Jumamosi alivorudi katika mizunguko yake alioga akala na akajipumzisha kitandani kutoka na hali ya msongo wa mawazo iliyokua inamkabili alishindwa kupata usningz vyema wakat huo bibie tayari alikua ashalala fofofo. Akasikia mlio wa meseji kuingia kwenye simu ya mkewe hakusita aliamua kuichukua ili ajue ni nini kinaendlea sio kawaida nyakati za usku mseji kuingia ilikua n mida ya saa 7 usku ,,meseji ilikua ikisomeka ivi "MKE WANGU NAOMBA TUKUTANE PALE TUNAPOKUTANA SIKU ZOTE" ,, Kijana alipigwa na Butwaa kubwa na mapigo ya moyo kuenda kasi Nakujiuliza kitu gani amekosa kama mahitaji yake ya msingi anampatia tena kwa wakati? Katika kuchunguza zaidi alikuja kugundua namba iliyotuma uo ujumbe ni namba ya mpenzi wake wa zamani ambae wamezaa nae huyo mtoto mmoja. Balaa linazidi kuwa zito

INAENDELEA ..............

Inaendelea imekuwa mto?
 
Apandacho mtu ndicho avunacho. Tuchunguze baba anaepitia mateso haya enzi za ujana wake alimtreat vipi mke wake. Kuna mzee amestaafu mpaka leo anamtreat mke wake vibaya mno. Na watoto wameoa na kuolewa wanaona namna mama yao anateseka. Wanamjengea nyumba kimya kimya wamuondoe hapo. Na fedha zote anatumiwaga mama yao. Baadae huyu mzee atakuja alalamike watoto wanamtenga? Hakuna namna; Atapokea 50k huku mkewe akipata 200k. Lakin wako baba zetu waliotulea sisi na mama zetu vizuri. Leo Mungu atatuhukumu tukimshit baba yetu maana kiukweli tunamtukuza Mungu kwa ajili yake. So what you deposit is what you will withdraw.
WaNawake ni wabinafsi
 
Ndugu zangu ikiwa ni siku nyingine iliyo zungukwa na hali ya hewa nzuri pamoja na haya maua tuliyoumbiwa huku duniani nawatakia siku njema na majukumu mema

Ndugu kama kichwa cha somo kinavyo ainisha katika jamii zetu hawa wanawake wetu tunao wapenda na kuhangaika nao sana wanaamini kabisa pasi na mashaka yeyote kwamba mwanaume ndiye anayetangulia kufa siku zote hivyo atabaki mwenyewe na siyo vinginevyo,

pia tunavyoenda kwenye majukumu yetu wakati mwingine wanaamini tutafia huko na inawezekana kutorudi nyumbani , jambo linalowafanya wakati mwingine tunapo aga wake zetu kwenda kwenye majukumu ya kutafuta ugali wanatuangalia mara mbili mbili kwa mashaka sana

Ndugu zangu jambo hili huwafanya wanawake kuweka tamaa sana ya mali kuliko utu kwa lengo la kujitajirisha binafsi yake na kujihudumia ikitokea mwanaume umekufa na kumwacha peke.

Je, ni kwanini basi wanawake wetu hawa wazuri , mawaridi ya mioyo yetu na inayotupa utelezi murua pamoja na burudani hasa hasa wakati huu wa mvua na baridi za hapa na pale wanaamini sisi wanaume wao ndiyo tunakufa mapema kuliko wao.?

Nakaribisha maoni yenu
 
Through experience.Mf, mimi nimesoma chuo fulani miaka 20 iliyopita.Nilipomaliza chuo nilifanya kazi maeneo yale yale karibu na hicho chuo.Tangu mwaka huo walimu wa kiume waliotufundisha wameishakufa zaidi ya walimu 10 na wakike 2 tu.
 
Through experience.Mf, mimi nimesoma chuo fulani miaka 20 iliyopita.Nilipomaliza chuo nilifanya kazi maeneo yale yale karibu na hicho chuo.Tangu mwaka huo walimu wa kiume waliotufundisha wameishakufa zaidi ya walimu 10 na wakike 2 tu.
Je, nini chanzo cha vifo vyao?
 
Sababu ni nyingi mno. Ila chache ni kuwa tunamichezo hatarishi, umalaya, maisha magumu, mishe nyingi hatutulii nyumbani, hatusali, kukimbiza magari nk
 
Ndugu zangu ikiwa ni siku nyingine iliyo zungukwa na hali ya hewa nzuri pamoja na haya maua tuliyoumbiwa huku duniani nawatakia siku njema na majukumu mema

Ndugu kama kichwa cha somo kinavyo ainisha katika jamii zetu hawa wanawake wetu tunao wapenda na kuhangaika nao sana wanaamini kabisa pasi na mashaka yeyote kwamba mwanaume ndiye anayetangulia kufa siku zote hivyo atabaki mwenyewe na siyo vinginevyo,

pia tunavyoenda kwenye majukumu yetu wakati mwingine wanaamini tutafia huko na inawezekana kutorudi nyumbani , jambo linalowafanya wakati mwingine tunapo aga wake zetu kwenda kwenye majukumu ya kutafuta ugali wanatuangalia mara mbili mbili kwa mashaka sana

Ndugu zangu jambo hili huwafanya wanawake kuweka tamaa sana ya mali kuliko utu kwa lengo la kujitajirisha binafsi yake na kujihudumia ikitokea mwanaume umekufa na kumwacha peke.

Je, ni kwanini basi wanawake wetu hawa wazuri , mawaridi ya mioyo yetu na inayotupa utelezi murua pamoja na burudani hasa hasa wakati huu wa mvua na baridi za hapa na pale wanaamini sisi wanaume wao ndiyo tunakufa mapema kuliko wao.?

Nakaribisha maoni yenu
kwasababu mwanaume likimkaa kooni, moyoni au akilini haliachi wala kulitoa akapata nafuu, hung"ang"ana nalo kibabe na polepole humtafuna na kumlemea na hatimae humchosha na mwishowe hufa na kijiba cha roho, lakini mwanamke aanweza liachia, akasemehe na kusahau, akasonga mbele na maisha yakasonga....
 
Sehemu ya maisha.

BTW Kuna faida / hasara yyt ya kuishi miaka mingi?

Kifo kipo palepale haijalishi
 
ukikubali kunyanyasika sababu eti watoto watapata shida utakufa asubuhi tu. Mtume IBrahim alimwacha Sarah na ismai jangwani akajikataa, akarudi Ismail kashakua. Sasa wewe endelea kuteseka sababu ya watoto, kikubwa hakikisha unatuma pesa za matumizi na gharama zake za maisha, mama yake mpige chini.
 
ukikubali kunyanyasika sababu eti watoto watapata shida utakufa asubuhi tu. Mtume IBrahim alimwacha Sarah na ismai jangwani akajikataa, akarudi Ismail kashakua. Sasa wewe endelea kuteseka sababu ya watoto, kikubwa hakikisha unatuma pesa za matumizi na gharama zake za maisha, mama yake mpige chini.
Umemaliza kila kitu wewe jamaa hayo ndio maamuzi ya kiume na huu uzi uishie hapa.
 
Back
Top Bottom