Kwanini wanaume hufa mapema kuliko wanawake?

Kwanini wanaume hufa mapema kuliko wanawake?

Wanaume tunafikiria sana ubongo unachoka wanawake unaweza kukuta kuanzia asubuhi hajawaza kitu cha kumoasua ndonga..kingine wanaume mihamala too much inatusubiri too much control number
Kwa kawaida mwanamke anaumiza Sana kichwa wakati wa kutafuta mume. Akishampata na akaolewa anaingia ktk likizo ya maisha.

Kwa upande wa mwanaume, siku anayoingia kwenye ndoa ndiyo siku anaanza stress za maisha. Ndiyo maana tafuti zinaonesha wanaume ambao hawajawahi kuishi na wake (kuoa) huishi Sana.
 
Kwanini wanaume wanakufa mapema
20230130_175634.jpg
 
Wanaume tunafikiria sana ubongo unachoka wanawake unaweza kukuta kuanzia asubuhi hajawaza kitu cha kumpasua ndonga..kingine wanaume mihamala too much inatusubiri too much control number

Hii nayo kweli unawaza kule nitume 30K huku natakiwa kutuma 100K hujakaa sawa hela ya school bus.. ile unageuka mjomba/shangazi kakupiga ngeu bado wana kitaaa.

Hapa nimekaa nawaza fundi ataniambia kifaa kinauzwa sh ngapi maana huko chini mguu wa kulia nimeusikia unagonga mbaya. Sasa yote haya unaachaje kupata stress ha ha potelea mbali yote maisha tu acha tufe waje wengine
 
Wenzetu jamii ya Asia, walitatua hiyo changamoto kwa kuishi na watoto wao boma moja, hii inasaidia sana kutoa hiyo changamoto.

Kwa sisi wanaume ambao labda tuna nguvu kwa sasa, ni kupambana na kuweka misingi kama ya hao wenzetu; kwangu haina maana niwagharamie watoto wangu, halafu mwisho wa siku wote watukimbie.

Kama utaoa mtoto wangu, kaa kwenye boma langu; na kama utaolewa na vijana wangu kaa kwenye boma pia. Hii itapunguza ile hali ya kupata msongo wa mawazo.

Bila hivyo, mtajikuta kwenye uzee unabaki na mkeo kama mlivyokuwa wawili wakati wa kuchumbiana.
 
Apandacho mtu ndicho avunacho. Tuchunguze baba anaepitia mateso haya enzi za ujana wake alimtreat vipi mke wake. Kuna mzee amestaafu mpaka leo anamtreat mke wake vibaya mno. Na watoto wameoa na kuolewa wanaona namna mama yao anateseka. Wanamjengea nyumba kimya kimya wamuondoe hapo. Na fedha zote anatumiwaga mama yao. Baadae huyu mzee atakuja alalamike watoto wanamtenga? Hakuna namna; Atapokea 50k huku mkewe akipata 200k. Lakin wako baba zetu waliotulea sisi na mama zetu vizuri. Leo Mungu atatuhukumu tukimshit baba yetu maana kiukweli tunamtukuza Mungu kwa ajili yake. So what you deposit is what you will withdraw.
 
Hizo zote ni useless, shida n moja tu mnatumika sana enzi za ujana wenu na wengine hadi uzee wao bado wanajikuta bado wapo, sasa lazima achoke sana na mwishowe kujifia mapema ukichanganya na magonjwa ya uzeeni ndio basi tena
 
Duh kweli bhana, wengine tumeanza kuexperiece tunajiliwaza mitandaoni akili isizimike.
Kikubwa ni kujikujipenda zaid ss wnyewe (wanaume) kwanza, kutoruhusu stress zisizo za lazima, kujipa wakat wa kuburudisha nafsi zetu.....bila kuathiri majukum yetu kwa familia.....hakika tutakufa wakat wa Mungu.
 
Wanaume kama umebahatika umeajiliwa na ukafikia kustaafu,usifanye kosa
kutumia mafao yako kujenga nyumba n.k
weka pesa yako kwenye mifuko ya akiba kama vile UTT na benki kuu
siku nguvu zikiisha hata kama mkeo hakupendi atapenda pesa,utatunzwa hadi umauti ukukute,
Tatizo kubwa linalowakumba wanaume,mshahara wote unatunza familia.
unasomesha watoto,unashindwa kujenga nyumba ya ndoto yako.
kununua gari ya ndoto yako,ukipata mafao ya uzeeni unajenga nyumba na kununua gari
na pesa yote inaisha,unaanza kulaani watoto kwa kutokukutunza.

Ni kweli watoto wana wajibu wa kuwatunza wazazi wao,ila
wanaume tujitahidi kuweka akiba,tusijisahau.
Kuna projects moja enzi hizo ndio nimetoka chuo kwenye team tulikuwa na wazee , mda fulani wa jioni baada kupiga masanga. Wale wazee wakaniambia dogo hakikisha una account yako ya kutunza hela zitakazo kulea uzeeni ambayo mke wako haijui na kuna mmoja akasema ana nyumba yake ya siri ambayo mke wake haijui nikasema duu haya mapya.
 
Nyumba nyingi wamebaki wabibi na wamama zaidi endapo mmoja ameondoka.

Najiuliza labda huenda wanaume wanafight sana kuliko wanawake. Nyumba jirani wabibi ndio wameishi miaka mingi zaidi na unakuta kina baba walikufa miaka zaidi ya 40 iliyopita.

Labda huenda wameumbwa hivyo waishi zaidi kuliko sisi, lakini ni jibu lisilojitosheleza. Wanaume tunakufa mapema mno japo kifo ni ahadi.m

Sababu nini hasa?
 
Nyumba nyingi wamebaki wabibi na wamama zaidi endapo mmoja ameondoka.Najiuliza labda huenda wanaume wanafight sana kuliko wanawake.Nyumba jirani wabibi ndio wameishi miaka mingi zaidi na unakuta kina baba walikufa miaka zaidi ya 40 iliyopita.Labda huenda wameumbwa hivyo waishi zaidi kuliko sisi,lakini ni jibu lisilojitosheleza.Wanaume tunakufa mapema mno japo kifo ni ahadi.Sababu nini hasa?
Hila siku hizi mambo ni kinyume wanawake nao wanakufa na mikopo Yao kausha chupi
 
Back
Top Bottom