Uzi uendelee!Umemaliza kila kitu wewe jamaa hayo ndio maamuzi ya kiume na huu uzi uishie hapa.
Hizo pesa unatuma za nini, nunua mahitaji peleka mkabidhi watoto wako wakiona. Kama ni ada shika mkono mwanao nenda nae shule lipa ada. Hawa kina mama wanatake advantage sana ya wanaume, wazee wanakufa wakiwa wapweke kanakwamba hawana damu zao walizozipigania. Toto limehudumiwa kila kitu na baba mpaka elimu ila halina mda na baba yake kazi ni kuimba nani kama mama.ukikubali kunyanyasika sababu eti watoto watapata shida utakufa asubuhi tu. Mtume IBrahim alimwacha Sarah na ismai jangwani akajikataa, akarudi Ismail kashakua. Sasa wewe endelea kuteseka sababu ya watoto, kikubwa hakikisha unatuma pesa za matumizi na gharama zake za maisha, mama yake mpige chini.
Michepuko ni gharama ila inaondoa sumu mwilini,jaribu utanishukuru.Stress za wanawake na watoto wa damu yao.
Mwanaume angeamua kuachana na mwanamke bila shida, tatizo ni pale mwanamke akileta shobo na mume kuwaza athari zitakazowapata watoto pale anapoamua kuiacha familia.
Hii humuondoa mapema sana mwanaume.
Hivi ni kwanini wanaume kwa asilimia kubwa wengi hufa mapema or hutangulia kufa kuliko wanawake? Najiuliza swali hili sana kwa kutumia experience zangu tu katika maisha yetu haya ya nyumbani TZ na hata nje ya Tz.
wakiendelea hivi watakufa haraka kufa haraka sana wakalipe matendo yaoWanawake nao washajua yaani wametulia hawana presha, wanamiliki mijengo...
ndiyo ila hakufa ..kuna kufa kwa aina nyingiHata Yesu alikufa akiwa na miaka 30+
Wapalestina WA kaskazini washajigundulia hiyo formula😊Wanawake nao washajua yaani wametulia hawana presha, wanamiliki mijengo...
ila hakufa kama wengine wanapokufa kiakili na kimwili Yesu alikufa ila akafufukaHata Yesu alikufa akiwa na miaka 30+
ila hakufa kama wengine wanapokufa kiakili na kimwili Yesu alikufa ila akafufukaHata Yesu alikufa akiwa na miaka 30+
wanaume wanajiroga wenyeweWapalestina WA kaskazini washajigundulia hiyo formula😊
Hapo kwenye maneno makali ni ya wanaume wa wapi?! Hayo ni mambo ya wanawake bhanafanya utafiti wale wanaopiga wanawake au kutoa maneno makali
Duh,hata ukimfumania mwanamke. Bora ubaki kimya ukafungua mdomo wako ndio kifo chako wewe
1.kumbuka wanawake ukiongea neno lolote analiweka haya nyie mnaotukana unafikiria yanakwenda hivi hivi? no unaamsha dubwashaa .2.usilolijua usiku wa kiza na giza hivi unajua mwanamke wako ametoka wap? haya mfano ametokea katika utawala wa giza umemtukana au umempiga nakuambia unakufa hauchukui muda unakufaHapo kwenye maneno makali ni mambo ya wanawake bhana
Duh,
Ya kweli hayo?
Kwa hiyo uwe unapigwa pipe mumeo umetulia tuliii ?!!! Hapo si atakata moto kwa stress?
Nadhani kuna sababu zingine za msingi hujazingatia. Mfano unywaji pombe uliokithiri, sigara, ulaji mbovu, kazi ngumu sana zinazoumiza viungo, baadhi ya magonjwa hatari ya zinaa, msongo wa mawazo kutokana na kelele za mke au ugumu wa maisha, ukosefu wa tiba nzuri, nk..