Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Mwanamke Huwa haachwi anapunguzwa kutoka kuwa important person,Kisha unamfanya kuwa Sex partner

Siku yoyote unaweza kushikwa na genye nayeye akakupa utelezi

So mae-x zangu wengi hatukuachana Kwa ubaya so Kwa style hiyo ni rahisi ukitaka kupasha kiporo unapewa tu ,

Haya mambo ya kugombana na maex Mimi nimekuja kuyaona miaka hii ya vitoto vya 2000

Sisi millennium ma-ex zetu Tulikuwa tunaishi nao vizuri tu na anytime tukitaka kugusanisha vikojoleo tunagusanishana
takataka🚮
 
Mimi Nina ma- ex zaidi ya 25.
Lakini Nina number za ma- ex kadhaa kwenye simu yangu kwa sababu hao nawachukulia kama okoa jahazi.

Yaani simu moja tu ex huyu hapa tunapasha kiporo afu kila mtu anarudi kuendelea na hamsini zake.
 
Mimi Nina ma- ex zaidi ya 25.
Lakini Nina number za ma- ex kadhaa kwenye simu yangu kwa sababu hao nawachukulia kama okoa jahazi.

Yaani simu moja tu ex huyu hapa tunapasha kiporo afu kila mtu anarudi kuendelea na hamsini zake.
Wakikupa gono ipo siku utatuliza kikojoleo!
 
Back
Top Bottom