Je, una tabia ya kuongea na wewe mwenyewe?

Je, una tabia ya kuongea na wewe mwenyewe?

ShesRise_1

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2025
Posts
17,521
Reaction score
41,525
Je, una tabia ya kujiongelesha mwenyewe?

Mfano kujipa maoni binafsi au kujiambia: Hiki ninachofanya si sahihi sitaki tena Kuna wakati kujisemesha mwenyewe ni muhimu sana ukweli ni kwamba hakuna anayekujua zaidi ya unavyojijua wewe mwenyewe.

Kuna tabia zipo ndani yetu ambazo si rahisi mtu wa nje kuziona au hata akiziona asikuambie moja kwa moja Wengine wanaamini wewe ni mtu mzima unajitambua hivyo wanakuacha bila ushauri

Lakini ukweli ni huu tabia mbaya (wengine huiita dhambi) huanza kidogo kidogo, halafu zinakutafuna taratibu mpaka siku unakuja kushtuka tayari umechelewa Mfano wa tabia ambayo unaweza kuanza kuijirekebisha mwenyewe

1. Umalaya kwa jinsia zote
Hii ni tabia ya kuwa na wapenzi wengi bila utulivu wa kuchagua mmoja huu ni ufsika🤨

Tabia hii huleta madhara mengi
Kukosa amani ya moyo
Kuishi kwa hofu mda wote macho jujuu unahisi kufumaniwa au kuumbuka mda wowote

Hatari za kiafya
Kupoteza heshima binafsi
Ni muhimu kujithamini mwili wako
Mbali na hapo Azuma ni deilee
Badala ya kuishi maisha ya mchanganyiko usio na mwelekeo tafuta mwenza anayekufaa na utulie nae hakuna mkamilifu, lakini kuna mtu ambaye mapungufu yake unaweza kuvumilia tulia nae

Kwa wanaume pia tabia hii huathiri nguvu muda na hata uchumi wako Unajikuta unatawanya nguvu na kipato chako bila mwelekeo
Mwanaume unataka kushindana k utaweza ?

Wewe mwanamke una haribu kiungo hicho mwisho kiwe kama sikio la tembo 🙌

Jiambie leo
Nataka kubadilika Sitaki tena hii tabia

Je, wewe unajiongelesha mwenyewe ili kubadilika?
Ni tabia gani ungependa kuacha?
Karibuni
Tabia zingine nitazitaja kwenye comment 😊

It's me again ShesRise_1 🖐
 
Je, una tabia ya kujiongelesha mwenyewe?
Mfano kujipa maoni binafsi au kujiambia: Hiki ninachofanya si sahihi sitaki tena
Kuna wakati kujisemesha mwenyewe ni muhimu sana ukweli ni kwamba hakuna anayekujua zaidi ya unavyojijua wewe mwenyewe
Kuna tabia zipo ndani yetu ambazo si rahisi mtu wa nje kuziona au hata akiziona asikuambie moja kwa moja Wengine wanaamini wewe ni mtu mzima unajitambua hivyo wanakuacha bila ushauri

Lakini ukweli ni huu tabia mbaya (wengine huiita dhambi) huanza kidogo kidogo, halafu zinakutafuna taratibu mpaka siku unakuja kushtuka tayari umechelewa
Mfano wa tabia ambayo unaweza kuanza kuijirekebisha mwenyewe
1. Umalaya kwa jinsia zote
Hii ni tabia ya kuwa na wapenzi wengi bila utulivu wa kuchagua mmoja huu ni ufsika🤨

Tabia hii huleta madhara mengi
Kukosa amani ya moyo
Kuishi kwa hofu mda wote macho jujuu unahisi kufumaniwa au kuumbuka mda wowote

Hatari za kiafya
Kupoteza heshima binafsi
Ni muhimu kujithamini mwili wako
Mbali na hapo Azuma ni deilee
Badala ya kuishi maisha ya mchanganyiko usio na mwelekeo tafuta mwenza anayekufaa na utulie nae hakuna mkamilifu, lakini kuna mtu ambaye mapungufu yake unaweza kuvumilia tulia nae

Kwa wanaume pia tabia hii huathiri nguvu muda na hata uchumi wako Unajikuta unatawanya nguvu na kipato chako bila mwelekeo
Mwanaume unataka kushindana k utaweza ?

Wewe mwanamke una haribu kiungo hicho mwisho kiwe kama sikio la tembo 🙌

Jiambie leo
Nataka kubadilika Sitaki tena hii tabia

Je, wewe unajiongelesha mwenyewe ili kubadilika?
Ni tabia gani ungependa kuacha?
Karibuni
Tabia zingine nitazitaja kwenye comment 😊

It's me again ShesRise_1 🖐
Ndio
 
Ulevi kupita kiasi
Kuna tofauti kati ya mnywaji na mlevi
Mnywaji anajua mipaka yake lakini mlevi mlevi mbwaa hana ajualo
Kama unakunywa, hakikisha una mipango ikibidi kabisa
Tenga fungu maalum kwa ajili ya ulevi
Hakikisha pesa hiyo haiathiri mahitaji muhimu ya maisha yako
Sio tena ulevi unaanza kuharibu mambo yako ya msingi basi hapo si kawaida tena
Kama upo hivi jiambie
Nataka kubadilika sitaki tena kuendeshwa na ulevi

Ukikaza fuvu siku utalewa chakali
Na kuna vijana wa hovyo watakufundisha namna ya kunywa kwa staha
 
Tabia ya ugomvi na hasira kupita kiasi
Kuna watu wana tabia ya ugomvi kila wakati hata sehemu ya kuongea kwa utulivu, mtu anapayuka na kupandisha jazba bila sababu ya msingi

Tatizo la tabia hii ni kwamba hujui utakutana na nani kuna watu ni fyatu watu wana mambo mengi kichwani na wengine hawana cha kupoteza kabisa ukiwachokoza watu wa sample hii kitakulamba matokeo yanaweza kuwa mabaya sana

Kuna mtu alikua anadaiwa pesa za watu badala ya kulipa akawa jeuri na kusema kabisa kumwambia mdai kua sitakulipa na hakuna kitu utafanya
Jamaa anaedai akaona hapana
Hizi dharau tena nimemwaga jasho langu akaona hana cha kupoteza
Cha kukipoteza tayali kimepotea
akatafuta kisu akakaa chonjo sehemu fulani jama alipo katiza tu akamtia cha moyo akafa hapo hapo
ndio maana nikasema tabia mbaya matokea yake yana kuumiza wewe mwenyewe binafsi sio mtu mwingine



Nitajifunza kudhibiti hasira zangu na kuongea kwa utulivu.

Hapa kwenye hasira hata mimi binafsi baado na jiongelesha hua mtu akinichokoza wakati mwingine ni kama nakosa uvumilivu
 
huwa najiongelesha ila kiukweli sijaona impact kubwa kuna umuhimu wa kuongeleshwa au kurekebishwa na mwingine, external pressure ni muhimu
Maji ya natililika zaidi kwenye mteremko
Kwasababu tayali yapo kwenye position nzuri kuna haja ya kujiongelesha mwenyewe kwanza huyo mtu mwingine atakuja tu kutia mhuri
 
Back
Top Bottom