Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Tafasri ya ex ni yule mtu alieacha alama kwenye maisha yako so unatamani lolote baya limkute, kwa upande wangu me sina ex sababu wanawake nilioachana nao mpaka leo tunasalimiana nao kiroho safi kabisa, sometime mpaka tunapasha na kiporo
 
Endeleeni kutunza namba za simu za maex wenu ili waje kuwavunjia mahusiano yenu mapya, na ili;

Waje kuwaambukiza magonjwa, mlitengana na ex wenu mkiwa negative miaka 5 iliyopita

Leo miaka 5 baadaye mwenzio kaukwaa then anakutafuta mje kupasha kiporo


Alikuona hauna Uchumi mzuri wa kuweza kuishi naye, leo hii miaka 7 baadaye umefanikiwa kununua gari yako ya kwanza, huku uwanja wako wa Makongo mafundi wapo site, anakuja mpashe kiporo

Kama hakuna sababu za maana za kutunza mtoto/watoto pamoja msitunze namba za ma-ex wenu


Kwa utafiti usio rasmi, kwa Kila ma-ex 10 wanaotafutana kupasha viporo, 9 kati ya 10 wanakubali

Na kwa Kila maambukizi mapya 10 ya HIV, 4 hutokana na viporo vya ma-ex girlfriend/boyfriend/wife/husband 🙌
 
Endeleeni kutunza namba za simu za maex wenu ili waje kuwavunjia mahusiano yenu mapya, na ili;

Waje kuwaambukiza magonjwa, mlitengana na ex wenu mkiwa negative miaka 5 iliyopita

Leo miaka 5 baadaye mwenzio kaukwaa then anakutafuta mje kupasha kiporo


Alikuona hauna Uchumi mzuri wa kuweza kuishi naye, leo hii miaka 7 baadaye umefanikiwa kununua gari yako ya kwanza, huku uwanja wako wa Makongo mafundi wapo site, anakuja mpashe kiporo

Kama hakuna sababu za maana za kutunza mtoto/watoto pamoja msitunze namba za ma-ex wenu


Kwa utafiti usio rasmi, kwa Kila ma-ex 10 wanaotafutana kupasha viporo, 9 kati ya 10 wanakubali

Na kwa Kila maambukizi mapya 10 ya HIV, 4 hutokana na viporo vya ma-ex girlfriend/boyfriend/wife/husband 🙌
Uzi ufungwe
 
Mimi sina na sitaki! Uwe tulizaa au la!
Same here, sina No hata moja, kwa kawaida huwa sishiki namba za watu kichwani ever (zaidi ya No ya mama yangu).
Tukiachana namna yangu ya kumove on ni huwa nassume ume-dead, then kwenye simu yangu nafuta kila kitu 😎
 
Back
Top Bottom