Mno bwashee, kukopa tu ndio sitaki😀Wanakuungisha bwashee
Safi sana mleuMno bwashee, kukopa tu ndio sitaki😀
Sio mabibi wote wako hivyo, mama yangu mfano mzuri tu, nilimshauri kwasababu hakuwahi ona huyo mtoto, na akiomba kumuona naambiwa sina simu tuma ela ninunue umuone! hakuwahi muona mpaka mwaka mzima unaisha, na mwisho kabisa mtoto hakuwepo!Seran, hiyo ya kupeleka mtoto kwa bibi yake, ulimshauri vibaya mshikaji. 😊
Angemwacha kwa mama yake; ila awe bandidu, hela itumwe ila isiwe nongwa!
Mimi huwa siamini sana malezi ya mabibi, wanadekeza sana watoto. 😊
simple and clear😅Sina
saundi tu? au kuna malupulupu 🤪Hujapigwa saundi wewe, watu wanasaundi. 😊
Mnaweza kuachana lakini bado Mkabaki kwenye good terms na mambo mengine yakaendaMna share ikiwa una mahusiano mengine mapya!
Ndio mnataka muendelee ku exist iili nini?Samahani kidogo hivi ukiachana na mtu ni lazima muwe maadui?
uwii mama angu hatakagi hizi habari, ndio shida ya kuwaletea wajukuu wazazi bado hawajazeekaHii ya kupeleka watoto Kwa wazee wetu sio fair
Tuwaache wazee wafurahie uzee wao.
Me nikija kuzeeka sitaki kulea mjukuu huku wazazi wake wakiwa hai
Just kama marafiki tu wa kawaida kwani haiwezekani mtu akawa rafiki na Ex wake?Ndio mnataka muendelee ku exist iili nini?
Yeah🤣🤣simple and clear😅
🤣🤣🤣Ukitoa yule mwehu wa kwanza kunionjesha wengine wote hamna nliechana nae sema tu maisha yameamua tuwe mbali, tuchuniane, tubalance shobo kwa muda tu, siku yeyote lolote linaweza kutokea.
inawezekana🤔 ila haina umuhimu kiasi hicho!Just kama marafiki tu wa kawaida kwani haiwezekani mtu akawa rafiki na Ex wake?
Penati ausiyo
Haya maisha kuna siku unaweza kuwa umechafukwa, EX wako akawa mfariji wakoinawezekana🤔 ila haina umuhimu kiasi hicho!
Hii ndio sababu kubwa napinga kubaki na no za x wako, unamtunza kama spare tu hakuna cha urafiki wala biashara hapo! urafiki gani huku mnachapana?Haya maisha kuna siku unaweza kuwa umechafukwa, EX wako akawa mfariji wako
