Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Hii ndio sababu kubwa napinga kubaki na no za x wako, unamtunza kama spare tu hakuna cha urafiki wala biashara hapo! urafiki gani huku mnachapana? :AYOOO:
Ila mi naona inategemea mmeachana kwa staili gani, kuna wengine wanaachana kwa matusi na kejeli kubwa, then kuna wengine unakuta ni ishu ndogo ndogo zinazoweza kusolviwa hapo siku za mbeleni
 
Unaweza kuachana na Ex wako ukaoa au kuolewa ukaingia kwenye ndoa na mtu mwenye gubu, kejeli, dharau au asiyejali ukajikuta automatically unammiss Ex wako
Ndio mjifunze kuchukulia watu, unamuacha mwanamke mnyonge kwa dharau zako unakutana na moto mkali vinakushinda unaanza kucheat, huyo ex naye atakuwa hajitambui sio siri, mwanaume ana choose mtu mwingine kumuoa over you halafu vikimshinda anakutafuta kipozeo wewe umpe 🐱 alambe! 🚮
 
Ndio mjifunze kuchukulia watu, unamuacha mwanamke mnyonge kwa dharau zako unakutana na moto mkali vinakushinda unaanza kucheat, huyo ex naye atakuwa hajitambui sio siri, mwanaume ana choose mtu mwingine kumuoa over you halafu vikimshinda anakutafuta kipozeo wewe umpe 🐱 alambe! 🚮
😆 Upendo wa kweli ni kama sumaku muda wowote ukikutana na chuma unavutana automatically
 
Mwanamke Huwa haachwi anapunguzwa kutoka kuwa important person,Kisha unamfanya kuwa Sex partner

Siku yoyote unaweza kushikwa na genye nayeye akakupa utelezi

So mae-x zangu wengi hatukuachana Kwa ubaya so Kwa style hiyo ni rahisi ukitaka kupasha kiporo unapewa tu ,

Haya mambo ya kugombana na maex Mimi nimekuja kuyaona miaka hii ya vitoto vya 2000

Sisi millennium ma-ex zetu Tulikuwa tunaishi nao vizuri tu na anytime tukitaka kugusanisha vikojoleo tunagusanishana
 
Mwanamke Huwa haachwi anapunguzwa kutoka kuwa important person,Kisha unamfanya kuwa Sex partner

Siku yoyote unaweza kushikwa na genye nayeye akakupa utelezi

So mae-x zangu wengi hatukuachana Kwa ubaya so Kwa style hiyo ni rahisi ukitaka kupasha kiporo unapewa tu ,

Haya mambo ya kugombana na maex Mimi nimekuja kuyaona miaka hii ya vitoto vya 2000

Sisi millennium ma-ex zetu Tulikuwa tunaishi nao vizuri tu na anytime tukitaka kugusanisha vikojoleo tunagusanishana
Basi Sena wazi kuwa hunaga ex
 
Back
Top Bottom