Utafungaje uzi wakati mimi sija commentUzi ufungwe
Utafungaje uzi wakati mimi sija commentUzi ufungwe
😅😅😅Utafungaje uzi wakati mimi sija comment
Mimi siachi doa lolote! yani nakutoa akilini na assume u never existed in my life.. sio chuki/bifu just kila mtu atafute ustaarabu wake! kwasababu tutaongea nini tusiishie flirting, nikaze uone nakudharau? ukiachana na mtu basi, hajashikilia hatma ya maisha yako!Same here, sina No hata moja, kwa kawaida huwa sishiki namba za watu kichwani ever (zaidi ya No ya mama yangu).
Tukiachana namna yangu ya kumove on ni huwa nassume ume-dead, then kwenye simu yangu nafuta kila kitu 😎
Nishawahi kuachana na mtu nikahama na mkoa, najijua hasa kama mtu nilimpenda.Mimi siachi doa lolote! yani nakutoa akilini na assume u never existed in my life.. sio chuki/bifu just kila mtu atafute ustaarabu wake! kwasababu tutaongea nini tusiishie flirting, nikaze uone nakudharau? ukiachana na mtu basi, hajashikilia hatma ya maisha yako!
Mimi huwa nahama mtaa nablock kila sehemu! Nashukuru huwa sikutani nao tena!Nishawahi kuachana na mtu nikahama na mkoa, najijua hasa kama mtu nilimpenda.
Sitaki mazoea kabisa na maEx.
Kama nimeandika vizuri basi zishukuriwe Kiko nilizovuta asubuhi hii 🤪Uzi ufungwe
Sawa sawaUzi ufungwe
😀😀😀mi sina ex ndo maana nasubiri kusoma comment zenu😅
Asante mkongwe Kwa ushauri makiniEndeleeni kutunza namba za simu za maex wenu ili waje kuwavunjia mahusiano yenu mapya, na ili;
Waje kuwaambukiza magonjwa, mlitengana na ex wenu mkiwa negative miaka 5 iliyopita
Leo miaka 5 baadaye mwenzio kaukwaa then anakutafuta mje kupasha kiporo
Alikuona hauna Uchumi mzuri wa kuweza kuishi naye, leo hii miaka 7 baadaye umefanikiwa kununua gari yako ya kwanza, huku uwanja wako wa Makongo mafundi wapo site, anakuja mpashe kiporo
Kama hakuna sababu za maana za kutunza mtoto/watoto pamoja msitunze namba za ma-ex wenu
Kwa utafiti usio rasmi, kwa Kila ma-ex 10 wanaotafutana kupasha viporo, 9 kati ya 10 wanakubali
Na kwa Kila maambukizi mapya 10 ya HIV, 4 hutokana na viporo vya ma-ex girlfriend/boyfriend/wife/husband 🙌
Hata sijui kwaniniNaomba jibu
Ex ni simu Moja tuuh anakujaNaomba jibu
Endeleeni kutunza namba za simu za maex wenu ili waje kuwavunjia mahusiano yenu mapya, na ili;
Waje kuwaambukiza magonjwa, mlitengana na ex wenu mkiwa negative miaka 5 iliyopita
Leo miaka 5 baadaye mwenzio kaukwaa then anakutafuta mje kupasha kiporo
Alikuona hauna Uchumi mzuri wa kuweza kuishi naye, leo hii miaka 7 baadaye umefanikiwa kununua gari yako ya kwanza, huku uwanja wako wa Makongo mafundi wapo site, anakuja mpashe kiporo
Kama hakuna sababu za maana za kutunza mtoto/watoto pamoja msitunze namba za ma-ex wenu
Kwa utafiti usio rasmi, kwa Kila ma-ex 10 wanaotafutana kupasha viporo, 9 kati ya 10 wanakubali
Na kwa Kila maambukizi mapya 10 ya HIV, 4 hutokana na viporo vya ma-ex girlfriend/boyfriend/wife/husband 🙌
Tena unakuta ana mtu wake serious na wanaofanyaga hiv ni wale unakuta ulimpenda sana mpaka akajiona huwez ishi bila yeye...baads ya kuachana akiona humlilii umemove on unanawir unapendeza una furaha wanaanza usumbufuMimi siachi doa lolote! yani nakutoa akilini na assume u never existed in my life.. sio chuki/bifu just kila mtu atafute ustaarabu wake! kwasababu tutaongea nini tusiishie flirting, nikaze uone nakudharau? ukiachana na mtu basi, hajashikilia hatma ya maisha yako!
Ni hawapendi kabisa upendeze, wanaumia kichizi! Raha yake akutumie anapojisikia na kukuona hukubaliki popote! sasa tu wa hivi unabaki naye kufanya nini? utendelea kumpelekea mnofu in the name of eti hatuna bifu wacha tu tuendelee kuwasiliana mpaka usikie anaoa ndio utulize wenge na presha juu, mimi akale anapopelekaga mboga aisee!Tena unakuta ana mtu wake serious na wanaofanyaga hiv ni wale unakuta ulimpenda sana mpaka akajiona huwez ishi bila yeye...baads ya kuachana akiona humlilii umemove on unanawir unapendeza una furaha wanaanza usumbufu
Dawa ni kukaa nao mbali tuNi hawapendi kabisa upendeze, wanaumia kichizi! Raha yake akutumie anapojisikia na kukuona hukubaliki popote! sasa tu wa hivi unabaki naye kufanya nini? utendelea kumpelekea mnofu in the name of eti hatuna bifu wacha tu tuendelee kuwasiliana mpaka usikie anaoa ndio utulize wenge na presha juu, mimi akale anapopelekaga mboga aisee!
Ni rahisi sana kupasha kiporo ma-ex wakikutanaBinafsi nkiachana na mtu nafuta mawasiliano yake sitakag ukaribu au mazoea na maex