Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Kwanini Bado una namba ya EX wako?

Ni kwa sababu amewai kuwa sehemu ya furaha yangu hivo ni mtu ambae alinisaidia kupiga hatua Moja mbele na kunipa experience ya maisha ya mapenzi. Japo aliniumiza badae.
 
Mara nyingi watu wakiachana wanakuwa hawapendi kuwasiliana tena na kila mtu anajaribu kuendelea na maisha yake, kujijenga upya na kuacha yaliyopita yabaki kuwa sehemu ya historia yao na wengine huenda mbali hadi kufuta namba za wapenzi ili kujipoza na maumivu haraka. Sasa tukija upande wako kwanini bado una namba ya ex wako

Naomba jibu
Networking
 
Mtunze namba mi Kuna Mmoja tuliachana kwa ugomvi mkubwa nilifuta namba zake, ikapita miaka kama minne hivi tukaonana akaomba namba Tena nikampa ila sikuwahi pokea akipiga, juzi kati nimekutana na rafiki yake ndo ananipa habari kwamba alifariki miaka mitatu iliyopita na Bora tuliachana maana ningekuwa mjane saizi
 
Mtunze namba mi Kuna Mmoja tuliachana kwa ugomvi mkubwa nilifuta namba zake, ikapita miaka kama minne hivi tukaonana akaomba namba Tena nikampa ila sikuwahi pokea akipiga, juzi kati nimekutana na rafiki yake ndo ananipa habari kwamba alifariki miaka mitatu iliyopita na Bora tuliachana maana ningekuwa mjane saizi
Duhh hatari!
 
Mi ex zangu wote huwa tukiachana hatugombani karibia wote ninao namba zao na wananikubali hadi leo kitu ambacho nafurahi nikiomba game hakuna anaekataa basi hapo urafiki wetu umekuwa kama ndugu
 
Mi ex zangu wote huwa tukiachana hatugombani karibia wote ninao namba zao na wananikubali hadi leo kitu ambacho nafurahi nikiomba game hakuna anaekataa basi hapo urafiki wetu umekuwa kama ndugu
Duuuh
 
Back
Top Bottom