Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,425
- 8,368
Lahaulaa! Hata mimi niliduaa kidogo.Lip nin?
Lahaulaa! Hata mimi niliduaa kidogo.Lip nin?
Hata mimi sikujua,kwamba kuna wanaume wanamiliki dressing table. Kweli Waswahili wanamsemo wa Tembea uone!Nimelia sana baada ya kuona mwanaume anawaza dressing table
Hiyo lip gloss ndio kitu gani?Dressing table ni kwa wanawake. Kwa wanaume, hivyo vitu vinakaa bafuni, kama huishi nyumba za kizamani, bafuni ndipo hivyo vitu vinakaa (kasoro lip gloss hiyo ni too much).
Mhm shemHahaaa hebu usinichekeshe shem nyie wanaume hamna lips kumbe mbona mi wangu anazo nene hizo😂
Tweezers zinatumika kutoa vivz vilivyootea kwa ndani🫢, zipo za kuwekea lashes kwa sisi wanawake sijajua za kiume kama zipo aiseeew🤔
Anafikirisha sana binafsi mwanaume wa aina hii sitawezana naye☹️
Bora huyo baba yake angepiga punyetoOtango Otango captain Ertugrul bey is speaking! One man down I repeat one down,the mission is aborted
🤣🤣🤣 Tumelea na kukuza vijana wengi kupitia JF.. na sasa mnaanza kutukonyeza. Wahenga tu hoiLengo sio ubishi. Nilikuwa nakuelekeza tu mkuu maanake najua una ushamba wa kikurya😉
Hahahahaha et mmelea, irya nigochire mono😅🤣🤣🤣 Tumelea na kukuza vijana wengi kupitia JF.. na sasa mnaanza kutukonyeza. Wahenga tu hoi
Tena ameweka na malip nini sijui huko na anaona hayamtoshi. Ukitaka kulia mpaka uzimie jaribu kumuuliza kabatini kwake kaweka vitu gani. Anaweza akaja na uzi wake wa vitu vya kabatini.Nimelia sana baada ya kuona mwanaume anawaza dressing table
Nan kakuuliza?Shemeji yangu huyu😅
Anko T type of sh!+Hiyo lip gloss ndio kitu gani?
Au ngoja niende Google nikaulizeHiyo lip gloss ndio kitu gani?
Duh mwanaume na dressing table ya nini? 53🐴🥳Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
So what am I missing here?
- Perfume
- Nail cutter
- Lotion
- Body spray
- Lip gloss
- Aftershave
- Tweezers
- bila kusahau mafuta ya nywele