Hahaaa hebu usinichekeshe shem nyie wanaume hamna lips kumbe mbona mi wangu anazo nene hizo😂Labda ameita jina la kizungu.
Ila ndio uweke nail cater na lip gloss kweli? .
Kwan Sisi wanaume kucha zinarefuka na kwan tuna Lips sisi 😂😂😂😂
Alaf Tweezer ni nini?.
Eti shem Seran
Duh sema swala la kupaka tako mafuta kwa mtoto wa kiume lina ukakasi sana.Mwanaume una dressing table serios au wewe mvula mwanaume unamka unaoga tena bafuni dakika tano nyingi unatoka uko unapaka mafuta unavaa nguo wife ndio anakwambia baba chacha ebu njoo anakurekebisha kidogo au baba nyangema hiyo seruali au hilo shati au hicho kiatu au vipi hapana unatoka zako uyo kwenye mishe saa mwanaume unapaka mafuta umevua nguo zote, unajiangalia kwenue kioo, unapaka poda haaa haaa mambo ya mapooda aaah mnaferi wapi wazee
Nakazia 😀😀😀😀🙌Sisi hata kuoga hujifuti na taulo bali unajikisa kama mbwa alonyeshewa unavaa unaenda zako.
Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
So what am I missing here?
- Perfume
- Nail cutter
- Lotion
- Body spray
- Lip gloss
- Aftershave
- Tweezers
- bila kusahau mafuta ya nywele
nahisi ni kikaangio cha chapati,😁😂Jambo na vijambio 😂
Familiya yangu dressing table ndiyo nini na inafanya kazi gani kwa mwanaume? 😂🙌
Selikavu Intelligent businessman dosho12 adriz
Dah you guys mna dressing table 🤣Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
So what am I missing here?
- Perfume
- Nail cutter
- Lotion
- Body spray
- Lip gloss
- Aftershave
- Tweezers
- bila kusahau mafuta ya nywele
Nimeona kuna tweezer ni nini hicho😁Jambo na vijambio 😂
Familiya yangu dressing table ndiyo nini na inafanya kazi gani kwa mwanaume? 😂🙌
Selikavu Intelligent businessman dosho12 adriz
Cha kujifanyia usafi😆Dah sasa hiki kidude mwanaume unakuwa nacho cha nini 😁😁😁😁
Nimeipenda hiiAfu night kali mazee! Wanaume tunawaza ada mwenzetu anawaza unyunyu na kupaka Lipstick 💄!
Dah! Kweli bongo nyoso..
Kuwa na dressing table sio dhambi mkuu. Wengine baba zetu wa miaka ya 60s wana dressing table. Hapo labda lip gloss ndo changamoto kidogo.Siku hizi kende hazina mamlaka kabisa🥺🥺 vidume vyote mmemuacha huyu azulule nazo. A aliyemfanyia tohara anajutia sana kojo lililomlowanisha bure.
🥺🥺 Legeza mwili kwanza kijana utaanguka, haya pole pole Mimi nimesemaje😊🤣🤣Kuwa na dressing table sio dhambi mkuu. Wengine baba zetu wa miaka ya 60s wana dressing table. Hapo labda lip gloss ndo changamoto kidogo.
Lengo sio ubishi. Nilikuwa nakuelekeza tu mkuu maanake najua una ushamba wa kikurya😉🥺🥺 Legeza mwili kwanza kijana utaanguka, haya pole pole Mimi nimesemaje😊🤣🤣