Kwa wanaume: Dressing table yako ina nini na nini?

Kwa wanaume: Dressing table yako ina nini na nini?

Wengi dressing table ni kitu kinawasumbua kwa sababu mmezoea madem ndo wanatumia, ukimuuliza jina la sehemu anaweka mafuta ya kujipaka na perfume na mashine ya kunyoa ndevu au vuzi atasema kabati...ng'ombe ww sema dressing table tu...unafungaje tai bila kioo...tatizo ni ushamba. Kuna jamaa analalaga kwenye nyumba za wageni kwa sababu guest house ni za wazinzi,😂😂😂
 
Wengi dressing table ni kitu kinawasumbua kwa sababu mmezoea madem ndo wanatumia, ukimuuliza jina la sehemu anaweka mafuta ya kujipaka na perfume na mashine ya kunyoa ndevu au vuzi atasema kabati...ng'ombe ww sema dressing table tu...unafungaje tai bila kioo...tatizo ni ushamba. Kuna jamaa analalaga kwenye nyumba za wageni kwa sababu guest house ni za wazinzi,😂😂😂
Kama kutokuwa dressing table ni ushamba acha tu niwe nao .. vinasaba vyangu haviruhusu kabisa kuwa dressing table.
 
Back
Top Bottom