magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 13,822
- 33,719
Hahah hatari sana.Huyu ni mahi wetu, alishaga tuambia wanawake wa JF tuna sura mbaya hatumfikii ye mzuri akaweka na picha 😀
Hahah hatari sana.Huyu ni mahi wetu, alishaga tuambia wanawake wa JF tuna sura mbaya hatumfikii ye mzuri akaweka na picha 😀
Utakuwa gay wewe!Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
So what am I missing here?
- Perfume
- Nail cutter
- Lotion
- Body spray
- Lip gloss
- Aftershave
- Tweezers
- bila kusahau mafuta ya nywele
Vya nini sasa kwa mwanaume hivo?Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
So what am I missing here?
- Perfume
- Nail cutter
- Lotion
- Body spray
- Lip gloss
- Aftershave
- Tweezers
- bila kusahau mafuta ya nywele
Wewe unazidi kujidhihirisha kwamba wewe ni gay siyo bure! Mwanaume unataka sura nzuri, sura laini ili ugundue nini huko? Utakuwa unapumuliwa hutaki kupoteza soko!wewe lazima utakua na sura mbaya
😹😹😹😹 Sasa mtu ana lip gloss ndo ashindwe kumiliki michupi 😹Huyu hakosi fuko la chupi color mbali mbali
Mafuta ni usoni mikononi.Tena ukipaka mafuta ni marufuku kupaka kwny makalio.
We ni mchafu a.k.a msela nya! Nyie ndio mnaonuka vikwapa kwenye daladalaMwanaume una dressing table serios au wewe mvula mwanaume unamka unaoga tena bafuni dakika tano nyingi unatoka uko unapaka mafuta unavaa nguo wife ndio anakwambia baba chacha ebu njoo anakurekebisha kidogo au baba nyangema hiyo seruali au hilo shati au hicho kiatu au vipi hapana unatoka zako uyo kwenye mishe saa mwanaume unapaka mafuta umevua nguo zote, unajiangalia kwenue kioo, unapaka poda haaa haaa mambo ya mapooda aaah mnaferi wapi wazee
Ila huyu jamaa...!
Mtoto wa kiume unataka unukie upake poda ili iweje astakafururahi kunuka ni ugonjwa siyo uchafuWe ni mchafu a.k.a msela nya! Nyie ndio mnaonuka vikwapa kwenye daladala
Hapo no. 6 niaje?Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
So what am I missing here?
- Perfume
- Nail cutter
- Lotion
- Body spray
- Lip gloss
- Aftershave
- Tweezers
- bila kusahau mafuta ya nywele
haszu my wangu nilijua umekufa 29/10, usisahau ahadi yangu ya kugharamia birthday party yako ya mwaka huu ipo palepale uje na mashost zako wote wakina ELI COHEN Chizi Maarifa Castle_Lite Kinyungu Echolima1 Yoda hamis77 loose Nut
Wanaume wanapunguaNataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
So what am I missing here?
- Perfume
- Nail cutter
- Lotion
- Body spray
- Lip gloss
- Aftershave
- Tweezers
- bila kusahau mafuta ya nywele
Wanaume kumbe wana dressing table....