biabia
Senior Member
- Nov 18, 2023
- 193
- 242
Huku mjadala wa Joshua Mollel ukiendelea kufanywa, baada ya interview ya baba mzazi kuzidi kuwachanganya watanzania, kuna vitu taarifa chache nimeweza kuzipata.
Naendelea kutoa pole kwa familia ya Mollel. Ndugu Ephata Nanyaro amefanya kazi nzuri sana ya kusaidia kuelezea na kufisha conspiracy zilizokuwa zinaenezwa mtandaoni.
Vyombo vya habari pia vimejitahidi kuleta hili jambo kwenye center stage.
Nina ombi moja kabla sijaeleza kitu chochote. Sisi ni watanzania, tunaunganishwa na lugha moja pamoja na uzalendo. Dini zimeletwa na falme na mataifa mageni na yasitufanye tuwe na uadui.
Mtanzania mwenzetu ameuawa kikatili na hata kama wewe ni pro whatever, unaweza ukatoa pole tu kwa familia. Sio kuanza kuleta theory za ajabu ili kuhalalisha upande unaoupenda.
Juzi kati katika pita pita zangu nikakutana na site moja iliyokuwa na picha/video zaidi ya zile tulizoziona.
Kiufupi video moja inaonyesha yupo nyuma ya pickup, huku miguu yake imekaa namna si ya kawaida, ni kama disfigured huku akiwa hana vazi lake la kujistiri. Sitaleta link kuonyesha hivi vitu. Nilitaka nieleze tu mjue nilichoweza kuona.
Kwa ambao bado mnabisha kuwa Joshua ni mgambo, nimepata ig account yake anaitwa joh_maker_og. Tumkumbuke Enzi za uhai wake akiwa na furaha.
Last but not least, inasemekana kuna wabongo wenzake waliokuwa wote bado wapo. Ushahidi ni picha alizokuwa anapiga ni kama mtu mwingine kampiga picha na sio yeye mwenyewe. Hawa watu wako wapi?
Ezekiel Kitiku alijieleza kwenye ishu ya Clemence mbona hao wengine kimya?
Nina uhakika wengine ni members wa JamiiForums. Nyie mwenzenu anafanyiwa character assassination mnakaa kimya tu.
Jitokezeni mueleze picha nzima kwa sababu hata mimi nina sintofahamu.
Nimemaliza
Nimetag picha ili muone watu wanavyodanganya
Naendelea kutoa pole kwa familia ya Mollel. Ndugu Ephata Nanyaro amefanya kazi nzuri sana ya kusaidia kuelezea na kufisha conspiracy zilizokuwa zinaenezwa mtandaoni.
Vyombo vya habari pia vimejitahidi kuleta hili jambo kwenye center stage.
Nina ombi moja kabla sijaeleza kitu chochote. Sisi ni watanzania, tunaunganishwa na lugha moja pamoja na uzalendo. Dini zimeletwa na falme na mataifa mageni na yasitufanye tuwe na uadui.
Mtanzania mwenzetu ameuawa kikatili na hata kama wewe ni pro whatever, unaweza ukatoa pole tu kwa familia. Sio kuanza kuleta theory za ajabu ili kuhalalisha upande unaoupenda.
Juzi kati katika pita pita zangu nikakutana na site moja iliyokuwa na picha/video zaidi ya zile tulizoziona.
Kiufupi video moja inaonyesha yupo nyuma ya pickup, huku miguu yake imekaa namna si ya kawaida, ni kama disfigured huku akiwa hana vazi lake la kujistiri. Sitaleta link kuonyesha hivi vitu. Nilitaka nieleze tu mjue nilichoweza kuona.
Kwa ambao bado mnabisha kuwa Joshua ni mgambo, nimepata ig account yake anaitwa joh_maker_og. Tumkumbuke Enzi za uhai wake akiwa na furaha.
Last but not least, inasemekana kuna wabongo wenzake waliokuwa wote bado wapo. Ushahidi ni picha alizokuwa anapiga ni kama mtu mwingine kampiga picha na sio yeye mwenyewe. Hawa watu wako wapi?
Ezekiel Kitiku alijieleza kwenye ishu ya Clemence mbona hao wengine kimya?
Nina uhakika wengine ni members wa JamiiForums. Nyie mwenzenu anafanyiwa character assassination mnakaa kimya tu.
Jitokezeni mueleze picha nzima kwa sababu hata mimi nina sintofahamu.
Nimemaliza
Nimetag picha ili muone watu wanavyodanganya