Joshua (), also known as Yehoshua (Hebrew: יְהוֹשֻׁעַ Yəhōšuaʿ, Tiberian: Yŏhōšuaʿ, lit. 'Yahweh is salvation') or Josue, functioned as Moses' assistant in the books of Exodus and Numbers, and later succeeded Moses as leader of the Israelite tribes in the Book of Joshua of the Hebrew Bible. His name was Hoshea (הוֹשֵׁעַ Hōšēaʿ, lit. 'Save') the son of Nun, of the tribe of Ephraim, but Moses called him "Yehoshua" (translated as "Joshua" in English), the name by which he is commonly known in English. According to the Bible, he was born in Egypt prior to the Exodus.
The Hebrew Bible identifies Joshua as one of the twelve spies of Israel sent by Moses to explore the land of Canaan. In Numbers 13:1 and after the death of Moses, he led the Israelite tribes in the conquest of Canaan, and allocated lands to the tribes. According to biblical chronology, Joshua lived some time in the Bronze Age. According to Joshua 24:29 Joshua died at the age of 110.
Joshua holds a position of respect among Muslims, who also see him as the leader of the faithful following the death of Moses. In Islam, it is also believed that Yusha bin Nun (Joshua) was the "attendant" of Moses mentioned in the Quran before Moses meets Khidr. Joshua plays a role in Islamic literature, with significant narration in the hadith.
chapa
Bingwa wa zamani wa uzito wa juu, Anthony Joshua amefanikiwa kumpiga kwa Knock Out (K.O) Francis Ngannou bingwa wa zamani wa UFC wa uzito wa juu katika pambano lililofanyika Riyadh nchini Saudi Arabia.
Joshua alimwangusha Ngannou katika raundi ya kwanza ya mchezo na baadaye katika dakika...
Wengi wetu tunamkumbuka TB Joshua na huduma yake ya ki kanisa.
TB Joshua aliaminika na watu wengi sana Africa na duniani kama nabii wa Mungu.
Mimi kama mfatiliaji sana wa biblia, TB Joshua alikuwa nabii wa uongo. TB Joshua amechangia pakubwa sana kuharibu ufalme wa Mungu.
Biblia inasema wazi...
Documentary iliyoachiliwa na Shirika la habari Duniani (BBC) ikionesha mashahidi wanaoonesha maovu dhidi ya Mtumishi wa Mungu mwendazake T.B Joshua ni ishara tosha kuwa nguvu ya Imani na ukuaji wa kiroho Afrika ni tishio Kwa kikundi fulani cha watu kutekeleza ajenda zao.
Ukweli ni kwamba Afrika...
Tuhuma zinazomkabili TB JOSHUA zinaweza kuwa za kweli japo hakuna ushahidi wawazi.
Ila ushahidi wa kwamba alikuwa nabii wa uongo upo wazi. TB Joshua amedanganya watu wengi Sana na ndiyo muasisi mkubwa wa haya mafundisho ya mafuta ya upako, maji ya upako, nk.
Yeye ndiyo aliezalisha watu kama...
Mwamposa anadai waliotoa tuhuma kuhusu TB Joshua ni wale waliowahi kufukuzwa kwenye kanisa hilo. Kama wangetaka kujua ukweli wangefuata watoto wa TB Joshua.
Anaongeza kuwa, hata mtu atakayefukuzwa katika kanisa lake la Rise and Shine hawezi kusema mazuri kuhusu kanisa lake baada ya kufukuzwa...
BBC Wahini Tanzania mtupe ubuyu wa wanaojiita mitume na manabii wanao wabebesha watu maji, mafuta, vitambaa, sabuni na vyupi vya upako.
Naamini BBC kama chombo cha udaku cha kimataifa kitalifanyia kazi ombi hili na kutupa ubuyu
MUNGU ALIMTUMIA NABII T.B JOSHUA KAMA ALIVYOMTUMIA MTUME PAULO.
USHUHUDA WA MKE WANGU KUPONA COVID 19 BAADA YA KUMUOMBEA KWA KUTUMIA MEDIUM YA NEW ANNOINTING WATER YA TB JOSHUA.
Leo 22:30hrs 20/01/2021
Bwana Yesu atukuzwe ndugu zangu,Namshukuru Mungu kwa sababu ya neema yake kuu juu yangu na...
Wakati huu ambapo Shetani anajaribu kuingiza Agenda yake ya technologia ya kuingiziwa chip watu kwebye mapaji ya uso na mikononi (666) ili kufanya manunuzi kwanza anataka auchafue ukristo ambapo amemchafua Baba mkuwa wa imani ya Kinabii Prophet TB Joshua ili ukristo udharauliwe na kutukanwa...
Kampuni ya televisheni ya Afrika Kusini ya Multichoice Africa imetangaza kuwa itasitisha matangazo ya Emmanuel TV, kituo cha kidini inayomilikiwa na marehemu Nabii Temitope Babatunde Joshua, mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations, kuanzia Januari 17, 2024.
Uamuzi huo unafuatia...
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Kama kuna jambo kwenye karne hii ya 21 linalowafanya Waafrika wafedheheke huko ulimwenguni basi ni haya mambo ya dini.Dini siyo tatizo ila tatizo ni Dini!.
Narudia tena " DINI SIYO TATIZO ILA TATIZO NI DINI"
Yawezekana members wenye akili nusu...
Madai ya kituo cha utangazaji cha BBC dhidi ya mtumishi wa Mungu marehemu TB Joshua, kama kanisa hatupaswi kuyanyamanzia
Ndugu zangu wakristo, hizi ni zama za kufunuliwa kwa yule mwana wa kuasi mpinga Kristo aliye tabiriwa na maandiko
Uzishi na uongo ambao umeripotiwa na kituo hiki cha BBC...
Haya makanisa yanasiri kubwa sana. Nimesikia Leo asubuhi BBC nimrbaki kinywa wazi. Najivunia kusali kanisa moja takatifu katoliki na la mitume. Haya makanisa mengine ni utapeli na ujanja wa namna ya kuishi tu. Hata Hawa akina mwamposa, gwajima, gamanywa nk siku wakifa tutasikia mengi.
Ushahidi wa unyanyasaji ulionea na mateso kutoka kwa mwanzilishi wa mojawapo ya makanisa makubwa ya kiinjili ya Kikristo duniani umefichuliwa na BBC.
Makumi ya waumini wa zamani wa Kanisa la Synagogue Church of all Nations - watano Waingereza - wanadai ukatili, ikiwa ni pamoja na ubakaji na...
Breaking News: BBC inatazamia kuchapisha nakala ya uchunguzi wa kuacha vinywa wazi inayoeleza matukio ya kikatili, Miujiza ya Kughushi, uhalifu, na ubakaji uliofanywa na Marehemu Mchungaji Temitope Balogun Joshua, almaarufu Nabii TB Joshua!!!
Kupitia page ya twitter ya Sahara Reporters...
Just a few hours before the new year, DStv consumers were very alarmed to see a termination notice put up on Emmanuel TV. A christian television channel founded by the former TB Joshua is set to go dark various DStv and GOtv platforms across the country from January 17.
Emmanuel TV is currently...
Huku mjadala wa Joshua Mollel ukiendelea kufanywa, baada ya interview ya baba mzazi kuzidi kuwachanganya watanzania, kuna vitu taarifa chache nimeweza kuzipata.
Naendelea kutoa pole kwa familia ya Mollel. Ndugu Ephata Nanyaro amefanya kazi nzuri sana ya kusaidia kuelezea na kufisha conspiracy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.