Kutoka Dodoma!

Kutoka Dodoma!

Huu mjadala unatuaibisha kama jamii. Hivi sisi na hao waheshimiwa wanaoogopa kuingia bungeni kwa imani za kishirikina tuna tofauti gani na wale wanaoua vibibi kizee, albino, wanaouchuna ngozi n.k? Aibu tupu!

Mkuu Fundi hatuwezi kukwepa kujadili yanayojiri kwenye tifa letu kwa kuogopa aibu, yaliyotokea na tunayo yajadili ndio hasa uwezo wetu wa-Tanzania kiakili ulipo, kwa sababu look watu waliosoma Harvad kina Obama sasa wako wapi na hawa wenzetu waliosoma Harvad kina Chenge na Mungai walipo?

Hatuwezi ku-denial uwezo wetu wa kufikiri na kuona mambo kitaifa, mkuu Fundi haya tunayoayajadili yana-reflect us as a nation, kuyakwepa kwa sababu ni aibu ni kujaribu kuyafukia sio solution yatakuja kurudi tu mbele ya safari!
 
wapya na waliobadili majina
Bora kubadili majina kuliko kuwa na jina zaidi ya moja na yote unayatumia kuchangia mada hapa JF..Hii tabia ya kuwa na majina zaidi ya moja ni yakupigiwa kelele... ni moja ya kero kubwa kabisa hapa JF.
 
JMUSHI!

Ukiingia kwenye mjadala mada lazima ipoteza direction! Unaandika na kujijibu mno!!!!!!!!!!! Samahani Jmushi, naomba hii comment usiijibu kwa sababu utakuwa unaongeza tatizo! Ila uifanyie kazi!
 
Huyo jamaa inaonekana kadanganywa. Haya mambo ya imani yanachanganya sana yaani ni kama mchezo wa ZE KOMEDI ukijaribu kufuatilia zile clips za kule Bungeni . Anazidi tu kujiharibia Mr Vijisenti.
 
Mkuu Fundi hatuwezi kukwepa kujadili yanayojiri kwenye tifa letu kwa kuogopa aibu, yaliyotokea na tunayo yajadili ndio hasa uwezo wetu wa-Tanzania kiakili ulipo, kwa sababu look watu waliosoma Harvad kina Obama sasa wako wapi na hawa wenzetu waliosoma Harvad kina Chenge na Mungai walipo?

Hatuwezi ku-denial uwezo wetu wa kufikiri na kuona mambo kitaifa, mkuu Fundi haya tunayoayajadili yana-reflect us as a nation, kuyakwepa kwa sababu ni aibu ni kujaribu kuyafukia sio solution yatakuja kurudi tu mbele ya safari!

Marshall
Huu ndio ukweli uliouchi. Sijui na kwanini hatutaki kuukubali. Kila siku nasema ni lazima tukubali kuwa we (as a nation) are hopeless. If we appreciate this fact, it is when we will seriously start to deal with the mess we are in. Lazima tukubali kuna uozo na ufisadi, vinginevyo hatutaenda popote. Huwezi kuacha RA afaidi nchi peke yake halafu useme kila kitu kiko sawa, labda uwe mtu wa aajbu sana!
I salute you FMES, kweli lazima tuige mazuri tusiige mabaya!
 
Nimesoma issue za Mushi nyingi. Kijana kweli (inawezekana) ana habari nyingi sana kichwani na angelipenda sana kuchangia kwa wengine. Tatizo ni kuwa kwa haraka nasema jamaa HAFAI kuwa mwalimu maana uwezo wa kuyatoa mawazo yake hana. Ana Mpangilio mbaya sana. Ananikumbusha Prof. mmoja wa aliyekuwa na materials nyingi sana kichwani. Alikuwa akiacha topic siku zote na kurukia nyingine. Siku akifanya mtihani wake wa kupanda kuwa na PhD, alipewa dakika 20. Yeye alitumia dakika 15 kueleza nini atakieleza. Alipofikisha dakika 25 wakamuambia muda umeisha na hapo jamaa alianza kujikanyaga. Kila mtu alimkubali sana jamaa kuwa kichwa kina MAVITUZ ila uwezo na mpangilio wa kuyatoa ni mbovu sana. Mushi naomba uwe unaandika habari zako kwa kirefu na siyo fupi fupi kama unarusha coins kwenye mashine. Ukimaliza please zipitie tena utaona inabidi ufanye marekebisho na hapo habari yako itasomeka na kuvutia kwa wengi na mwisho USIBADILI MWELEKEO please!!!! Haya mambo ya kubadili mwelekeo yalipelekea ndege ya Korea itunguliwe Urusi miaka hiyo (Joke). Nafikiri wote watakubali kuwa Bin-Adamu siku zote twajifunza. Kwa namna moja au nyingine wote hapa tunapata somo.
 
Kweli JF imevamiwa! Sasa hao "wakuu" tunaotarajia wawe wanavinjari viwanja hivi waje wakute malumbano yasiyo kichwa wala miguu ni sawa?

Anyway ndio uzuri wa demokrasia let it takes it course....
 
Field Marshall ES;221584[FONT="Arial Black" said:
].... sasa tukizipata ni lazima zisemwe wazi kama zilivyopatikana, and then yanakuja maoni yetu wananchi hapa, hapo sasa ndipo wewe au mtu yoyote hapa anaweza kumshambulia mwingine kutokana na mchango alioutoa katika kujadili kilicholetwa hapa, kutoka kwenye mkutano,[/FONT]

Mkuu FMarshal,
Nadhani Jmushi haelewi point hapa. Please Jmushi concentrate na Quote above kwani nimetokea kukerwa na hoja zako juu ya FM. Heshima mbele
 
Itabidi waheshimiwa wazidishe ibada wanapokuwa bungeni. Badala ya kupambana na ufisadi mwelekeo unabadilika kuelekea kwenye mapambano dhidi ya usangoma. Kama walizoea basi wameumbuka. Kama ndiyo wanaanza washindwe na kunyong'onyea.
 
Duh,wakuu hongerni kwa mjadala.

Ila mkuu,Jmush hizo hasira zimezidi.Au mkuu unataka ufidie na hizo siku ulizokua off nini? (joke)


Hata hivyo,Mkuuu Jmush unataka kuniambia hizo nondoz za FMES tuzisusie mkuu? Hapo mkuu utakua umeenda mbali kwani unataka kusema Akina Anne Kilango,Selelii etc kwa sababu wao ni CCM wakileta madesa kwa akina Zitto na dr. Slaa wakatae kwa sababu wao ni opposition? Kwa mtindo huo hatufiki mbali mkuu kwani hata ukiangalia Bajeti mbadala iliyosomwa kiongozi wa upinzani alihimiza kutumia mazuri yaliyomo ndani ya hiyo bajeti na serikali ili wote walete maendeleo kwa Taifa.What i wanted to say ni kwamba lazima tuweke itikadi kando.

Haimaanishi mtu mzalendo akiwa katikati ya kundi la mafisadi ataacha kuwa mzalendo,jinsi ilivyo kwa mfisadi kama yupo katikati ya wazalendo haimaanisha outomatically ukahaba wake utaisha

Kuna hoja nyingi nimekubaliana na wewe mkuu lakini hii ya kukandia hizi nondoz basi hilo lengo la kuing'oa CCM litakua ndoto kama hatutashirikiana nao maanke hatutajua weakness zao mkuu.


Wakuu asanteni kwa ishus.

Btw: Huyu mtu wa pwani hataki kurudi ku-withdraw uzushi wake against Zitto
 
Hiyo speed aliyonayo Muungwana ndiyo ambayo inatufanya sisi wengi ambao tulimpa kiti tuwe na mashaka na mwelekeo wake...maana sasa kila kukicha habari tunazosikia,tunazozisoma ni ufusadi hakuna tena maendeleo,elimu au kilimo bali ni ufisadi tuuuu.



Je ina maana hapo mbeleni alikuwa akiwalinda?Tujiulize



Hapa si tunazugwa tu,Mimi nilidhani walishapatikana na makosa sasa tusubiri makosa gani mengine?

Na inasikitisha zaidi tunaposikia Muungwana badala ya kukemea anajaribu kupooza.

NEC nayo inajaribu kuwasafisha wameanza na Lowasa na tunasubiri na hawo wengineo




Jamani hebu nisaidieni yaani mimi ndio nazidi kuchanganyikiwa haya mabo yatkwisha lini kweli kuna dalili hapa ya kiongozi kuwajibishwa?Mungu ibariki TANZANIA

Mkuu kama unataka yaishe dawa ni moja tuu kuhakikisha wabunge wote wenye Njaa za kifisadi na wasiojua MANUFAA YA MASLAHI YA TAIFA waondolewe kama itawezekana vinginevyo Tufuate Mrengo wa Pili (VYAMA PINZANI/SHINDANI). SUALA LA MTU KUWAJIBISHWA KUTOKANA NA HAYA TUSAHAU. FULL STOP.
 
Kama huu mjadala unataka tuwasikilize CCM...Halafu CCM ndio waliozichota pesa za EPA...Na mimi naunogesha mjadala ili waongelee kuwa pesa za EPA za wananchi walizifanyia nini na si UPUUZI WA NGUVU ZA GIZA!Kama ni issuez zikatwe kwa minajili ya wananchi na si maslahi ya KIMAFIOSO!
 
Kama huu mjadala unataka tuwasikilize CCM...Halafu CCM ndio waliozichota pesa za EPA...Na mimi naunogesha mjadala ili waongelee kuwa pesa za EPA za wananchi walizifanyia nini na si UPUUZI WA NGUVU ZA GIZA!Kama ni issuez zikatwe kwa minajili ya wananchi na si maslahi ya KIMAFIOSO!

Sawa mkuu,

Hapo una point kubwa sana.Labda mjadala uelekeee huko.Issuez iwe kwamba walizitumia vipi kwa manufaa ya wananchi,ambapo obviously hawatakua na jibu la kututosheleza
 
Wakuu heshima mbele, in another one hour tutawaletea hitimisho la dataz za mkutano wa CCM Dodoma, kama tulivyoahidi na hizi zitakuwa ni dataz za conclusion, yaani za mwisho kuhusiana na kikao hicho kilichoisha tayari, lakini ni muhimu kutimiza ahadi.

Ahsante Wakuu!
 
Tafadhali Mama, ningependa kuipata na mimi hiyo report lakini nimejaribu kufungua katika hiyo link haifunguki.... kuna thread imewekwa kama attachment?

unaitaka ipi, hapo nilimaanisha ya EPA
 
Na haya mambo ya urogi..Usije shangaa tukaambiwa imepotea kwa uchawi!
 
Back
Top Bottom