William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,397
Wakuu wangu heshima mbele kama kawa, ninaomba kuweka mpya kutoka Dodoma:-
1. Leo asubuhi Mbunge Chenge, alichukuliwa na polisi na kuepelekwa kituo cha polisi Dodoma mjini, kwa mahojiano ya muda wa karibu masaaa matatu kuhusiana na kitendo alichokifanya majuzi cha kujaribu kuweka "Uchawi" kwa baadhi ya wabunge wenziwe ndani ya bunge, kitendo ambacho kilikamatwa na vinasa picha vya jengo vilivyomo ndani ya jengo la bunge, Dodoma.
2. Mheshimiwa Mkapa, kwa mara ya kwanza leo amehudhuria kikao cha siri cha NEC, kinachoendelea toka jana usiku, mjini Dodoma, ameonekana akiwa hoi na amechoka sana, wachunguzi wa siasa hawaelewi ni kwa nini baada ya Mkapa kukataa kwa makusudi kuhudhuria vikao mbali mbali vya cc na NEC vilivyopita, safari hii ametokea bila ya taaarifa kuhudhuria kikao hiki, ambacho kimeitwa ghafla sana.
3. Gavana wa Benki kuuu Bwana Ndulu, kwa mara nyingine aliiitwa mbele ya kikao hiki kutoa maelezo mazito sana, kuhusiana na ishu za EPA, na zingine za ufisadi, according to the dataz ni kwamba alishambuliwa sana kwa maswali ya wajumbe huko ndani.
4. Hali ya Mbunge Shujaaa Mwakyembe, sio mbaya sana lakini sio nzuri pia, sasa hvii ninapooandika yumo njiani kuepelekwa Dar, kwenda kuangaliwa zaidi kiafya na wataaalamu wa juu wa afya nchini, inasemekana kuwa chanzo ni sangoma ya Chenge.
5. Kwa niaba ya wananchi wengi hapa, tumewasiliana na Mbunge Kimaro, ili aweze kuja na kutupa yanayojiri kulingana na haitma yake kiuongozi na all the ishus za siasa za taifa kwa ujumla, tunategmea kupata jibu rasmi baadaye kuhusu kupatikana kwake na siku, then tutawasilaina na wakulu wengine hapa na hasa mkulu MMMJ.
Ahsante Wakuu, na Mods naomba ikisha expire iepelekwe popote, ni kuhabarishana tu kinachoendelea kwenye siasa za taifa letu!!
1. Leo asubuhi Mbunge Chenge, alichukuliwa na polisi na kuepelekwa kituo cha polisi Dodoma mjini, kwa mahojiano ya muda wa karibu masaaa matatu kuhusiana na kitendo alichokifanya majuzi cha kujaribu kuweka "Uchawi" kwa baadhi ya wabunge wenziwe ndani ya bunge, kitendo ambacho kilikamatwa na vinasa picha vya jengo vilivyomo ndani ya jengo la bunge, Dodoma.
2. Mheshimiwa Mkapa, kwa mara ya kwanza leo amehudhuria kikao cha siri cha NEC, kinachoendelea toka jana usiku, mjini Dodoma, ameonekana akiwa hoi na amechoka sana, wachunguzi wa siasa hawaelewi ni kwa nini baada ya Mkapa kukataa kwa makusudi kuhudhuria vikao mbali mbali vya cc na NEC vilivyopita, safari hii ametokea bila ya taaarifa kuhudhuria kikao hiki, ambacho kimeitwa ghafla sana.
3. Gavana wa Benki kuuu Bwana Ndulu, kwa mara nyingine aliiitwa mbele ya kikao hiki kutoa maelezo mazito sana, kuhusiana na ishu za EPA, na zingine za ufisadi, according to the dataz ni kwamba alishambuliwa sana kwa maswali ya wajumbe huko ndani.
4. Hali ya Mbunge Shujaaa Mwakyembe, sio mbaya sana lakini sio nzuri pia, sasa hvii ninapooandika yumo njiani kuepelekwa Dar, kwenda kuangaliwa zaidi kiafya na wataaalamu wa juu wa afya nchini, inasemekana kuwa chanzo ni sangoma ya Chenge.
5. Kwa niaba ya wananchi wengi hapa, tumewasiliana na Mbunge Kimaro, ili aweze kuja na kutupa yanayojiri kulingana na haitma yake kiuongozi na all the ishus za siasa za taifa kwa ujumla, tunategmea kupata jibu rasmi baadaye kuhusu kupatikana kwake na siku, then tutawasilaina na wakulu wengine hapa na hasa mkulu MMMJ.
Ahsante Wakuu, na Mods naomba ikisha expire iepelekwe popote, ni kuhabarishana tu kinachoendelea kwenye siasa za taifa letu!!