Kutoka Dodoma!

Kutoka Dodoma!

Asante kwa wosia!Sasa hivi CCM ina kazi ya kushughulikia mafisadi ndani ya chama!

Kumbe una acknowledge kuna mafisadi ndani ya chama? First right step. Now go a step further and acknowledge that those fisadis have hijacked the party.
 
NAOMBA KUTOA MAREKEBISHO HAPO...MZEE OBAMA ..ambaye alikwenda marekani kwa scholarship ya serikali ya marekani na akabahatika kupendana na binti mrembo wa kimarekani aliyekuja kuwa mama yake BARRACK..aliiingia kwenye wimbi la ULEVI...na baada ya kutalikiana na mama yake barrack aliamua kurudi kenya akiwa moja ya engeneers wa kwanza kenya wazalendo..aliporudi kenya hakuweza kutumika ipasavyo kwani aliendelea kuwa mlevi sana...hadi bahati mbaya akaja kugongwa na gari...inasadikiwa aligongwa akiwa amelewa....." soma kitabu cha BARRACK OBAMA kinaitwa MEMORIES OF MY FATHER.

PM,
An important correction. Obama Sr alianza ulevi baada ya kupoteza kazi yake muhimu katika wizara ya fedha enzi za Kenyatta kwa sababu ya Ujaluo wake. Remember this guy was a PHD. Hakurudi tena katika kazi ya kiserikali mpaka baada ya kifo cha Kenyatta. By then the psychological damage had been done.
 
Mkuu FEMS Hishma mbele kama unavyopendelea kusema!
Kwasasa KIKWETE NA YEYE NI FISADI Hivyo tunaomba uache kuzungusha maneno

Mkuu Mushi,

Heshima yako bro, unaposema niache kuzungusha maneno, exactly una maana gani unaweza kunisaidia kuelewa hapa, ili niweze kukujibu ipasavyo?

Ahsante Mkuu!
 
ONA NA MANENO YA CHILIGATI, ANASEMA JAMBO HILO HALIKUFANYIKA KWA SIRI KWANI KUNAWABUNGE WAWILI WALIONA

...Hawa waliona kila kitu

2008-06-16 18:12:54
Na Mwandishi Wetu, Jijini

Wakati sakata la ushirikiana lililotinga bungeni likiendelea kuvuma, kuna habari kuwa wabunge wawili wanadaiwa kushuhudia `live` tukio hilo ambalo limekuwa gumzo kwenye vyombo vya habari.

Kwa mujibu wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kapteni John Chiligati, ni kwamba walioshuhudia tukio hilo ni Mbunge wa Longido (CCM), Mhe. Lekule Laizer na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Anna Abdallah.

Kapten Chiligati amenukuliwa na vyombo vya habari leo asubuhi kuwa waheshimiwa Anna Abdallah na Lekule Leizer, walikuwepo na hawakuona kitu kinachohusishwa na imani ya ushirikina kikifanyika ndani ya Bunge.

Amekaririwa akitoa ufafanuzi huo wakati akizungumza na waandishi kuhusiana na yale yaliyojiri kwenye kikao cha Kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na kuulizwa swali linalohusiana na sakata hilo.

Akasema wabunge hao, walisema mbunge mmoja alikuwa ameongozana na ofisa wa Bunge kwa ajili ya kuonyeshwa kiti cha kukaa.

Akaeleza zaidi Kapteni Chiligati kuwa mbunge huyo aliyeonekana akizunguka kwenye viti amefanya hivyo kwa sababu awali alikuwa akikaa kiti cha mbele.

Hata hivyo, Kapteni Chiligati amekaririwa akisema kuwa tukio hilo hivi sasa linachunguzwa zaidi na vyombo vya dola.

``Tukio la mtu kunyunyuzia vitu ndani ya Bunge linachuzungumzwa...bado linachunguzwa, Spika (Samuel Sitta) alitoa taarifa. Hivyo tunasubiri matokeo ya uchunguzi ,`` akasema Chiligati.

* SOURCE: Alasiri

watu wengine bana! kha!

sasa kama wapo wabunge walioona tukio ni nini kinawakwaza kutaja jina la hao manjemba wawili walioonekana badala yake wanaishia kusema "mbunge huyo aliyeonekana akizunguka kwenye viti amefanya hivyo kwa sababu awali alikuwa akikaa kiti cha mbele"

inasikitisha kuliko.
 
Kuna Mambo Mengi Sana Yametokea Katika Nchi Nyingi Hata Tanzania Ambayo Hayajaandikwa Na Yanafichwa. Kwa Sababu History Mara Nyingi Inaandikwa Na Watu Walio Katika Madaraka Kwa Hiyo Wanaandika The Way Wanavyotaka Wao. Nimesoma Mambo Mengi Sana Hapa Jf Na I Wish Tungekuwa Na Wikipedia Or Something Like That Ile Kitu Watu Wanajaza Kama Unajua Kitu Fulani Nadhani Watu Wa Jf Wangeandika Historia Nzuri Na Ya Ukweli Kuhusu Tanzania Kwa Sababu Majina Mengi Sana Yanakosekana Katika Historia Zetu. Ingawa Turudi Kwenye ''kutoka Dodoma''
 
mbunge huyo aliyeonekana akizunguka kwenye viti amefanya hivyo kwa sababu awali alikuwa akikaa kiti cha mbele"

inasikitisha kuliko.
Masikini Tanzania! Inaudhiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mkuu Mushi,

Heshima yako bro, unaposema niache kuzungusha maneno, exactly una maana gani unaweza kunisaidia kuelewa hapa, ili niweze kukujibu ipasavyo?

Ahsante Mkuu!

Mkuu huu ujumbe wako hapa unaelekea kumpa favor Muungwana wakti sisi tushamuweka kwenye kundi la MFISADI!
Originally Posted by Field Marshall ES
Wakuu heshima mbele, ndio kwanza tumepata the dataz lakini bado tuko kwenye kujaribu kuzi-verify, then tutazimwaga ila kwa haraka tu ni kwamba jana moto mzito uliwaka ndani ya kikao,

na kwa mara ya kwanza toka awe rais wa jamhuri,
muungwana made it very clear kwa mafisadi mbele ya wajumbe wote wa kikao hicho kuwa hatawakinga tena na kwamba hakuna sheria yoyote inayowalinda wasifikishwe kwenye mkondo wa sheria kama ambavyo amekuwa akisikia sana kwenye media, narudia alisema kuwa hakuna aliye juu ya sheria, kwamba mafisadi wote watakaobainika kuwa wamevunja sheria kwa kuwa mafisadi, wajitayarishe kusimama mbele ya sheria za jamhuri, kwamba hatamtetea yoyote yule hata awe nani?

Na muungwana amekubali kama mwenyekiti, mafisadi wote kuchukuliwa hatua za kichama kama ilivyotakiwa na wabunge, lakini amehimiza wajumbe kusubiri matokeo ya kamati ya Waziri Mkuu, ile ya miezi mitatu na kwamba watakaohukumiwa na CCM, lazima wapatikane na makosa kweli.

Ahsante Wakuu, Baaadaye itakapowezekana tena, na samahani kwamba hatuwezi kutoa zote unajua ni mpaka tuzithibitishe kwanza kwa wajumbe zaidi ya wanne ndio tuzibandike ili kuheshimu ukweli wake, kama hatuamini kuwa zina ukweli basi ni kuzitupa tu kwenye garbage cane, na pia samahani sana kwa kuchukua muda mrefu kama nilivyosema jana tuko safarini!
 
Mkuu FMES

Asante sana kwa hizi habari tunazifuatilia kwa karibu sana na BRAVO kwa kuweka mambo hadharani hapa hadi pale Tanzania itakapokuwa free kutoka kwenye mikono ya MAFISADI.

One day tutawafikisha kwenye mkono wa sheria ndipo kutakapokuwa na vilio na kusaga meno.
 
Mlikuwa mikjadili hapa na yeye Kikwete kutetewa na kina Zitto na MKJJ na MWK na sasa wewe!
Hayo mambo ya CCM myajadili wenyewe humo ndani ya chama chenu.
Na kama hamtaki kuwashughulikia mafisadi wote hii ikiwa ni pamoja na Kikwete,Mkapa,Chenge,Mramba,Ballali,Karamagi,Rosta m Aziz,Makamba na CCM yote top ambayo sasa wanataka ATTENTION kabla hata hawajawakamata mafisadi...Zaidi ya kuwapa muda na kuendelea na conspirations za kimafioso na kichawi.

Unajua mkuu naona unataka kuwa kama huyo jamaa aliyetuvamia hii forum hivi karibuni, nilipokusikia kwenye Radio ulionekana kuwa na akili sana, lakini ukija kwenye kuandika inakuwaje mkuu?

Aliyoyafanya Rais kwenye mkutano wa chama chake yaani CCM, ameyafanya na aliyosema amesema, sasa tukizipata ni lazima zisemwe wazi kama zilivyopatikana, and then yanakuja maoni yetu wananchi hapa, hapo sasa ndipo wewe au mtu yoyote hapa anaweza kumshambulia mwingine kutokana na mchango alioutoa katika kujadili kilicholetwa hapa, kutoka kwenye mkutano,

Mbona unakuwa kama mtoto wa shule ya vidudu bro, wakati ulipoongea kwenye Radio ulionekana kama mtu mzima? Toka awe rais muuungwana kuna mazuri na mabaya aliyoyafanya, sasa kama unataka kuwa fair naye ni lazima basi ukuseme na mazuri aliyoyafanya, ingawa siko hapa kumtetea!

Usitafute umaarufu kwa nguvu kwa vile tulikupa angalua sifa kidogo kuwa ulikuwa na hoja nyingi muhimu kwa taifa kwenye ishu ya kifo cha Balali, lakini hapa uko off kabisa ya topic, kwa sababu kama yote unayorusha ni kweli then ilikuwaje Lowassa akatolewa u-PM? Halafu ilikuwaje Mama Meghji ambaye ni hawara wa Rostam, akatolewa uwaziri? Mramba mbona yuko nje?

Mkuu jaribu kufikiri kidogo nje ya box lako, kwa sababu ukifanya hivyo then utaweka taifa mbele na kusahau maneno ya vyama, na ndipo utagundua kuwa toka Mheshimiwa Zitto, aanzishe moto wakati wa ile ishu ya Mkataba wa Buzwagi, mpaka leo mafisadi hawajawa na raha kama waliyokuwa nayo kabla, na since then moto haujazimika bado unaendelea kuwaka, ukisoma vitu vipya jaribu kutafakari kwanza mkuu kabla ya kukurupuka, kuna mabao tunajua kuwa yanayofanyika sasa sio speed ambayo tungependa yafanyike, lakini sio madogo pia, bongo sio ulaya mkuu jaribu kutenganisha hilo,

Tunapohangaika kutafuta dataz tunajaribu kuangalia what is there kwenye huo mkutano kwa ajili ya taifa letu, na sio maneno ya vyama kila wakati kwenye ishus zilizotokea kwenye mkutano huu maneno ya uchama yanaisha, period kama una akili timamu, na naomba nikueleze kuwa sisi tunaripoti exactly kilichotokea bila kujali nani atafurahi au nani atachukia, ila wewe kama unataka kunishambulia mimi basi nishambulie kwa maoni yangu binafsi on the ishu, lakini sio kwa ripoti niliyoileta hapa kama ilivyo toka kwenye mkutano,

Jaribu kuwa mtu mzima kidogo mkuu, kabla hujarisha tu maneno na ijaribu kufikiri kwanza!

Ahsante Bro!
 
Mkuu huu ujumbe wako hapa unaelekea kumpa favor Muungwana wakti sisi tushamuweka kwenye kundi la MFISADI!
Originally Posted by Field Marshall ES
Wakuu heshima mbele, ndio kwanza tumepata the dataz lakini bado tuko kwenye kujaribu kuzi-verify, then tutazimwaga ila kwa haraka tu ni kwamba jana moto mzito uliwaka ndani ya kikao,

na kwa mara ya kwanza toka awe rais wa jamhuri, muungwana made it very clear kwa mafisadi mbele ya wajumbe wote wa kikao hicho kuwa hatawakinga tena na kwamba hakuna sheria yoyote inayowalinda wasifikishwe kwenye mkondo wa sheria kama ambavyo amekuwa akisikia sana kwenye media, narudia alisema kuwa hakuna aliye juu ya sheria, kwamba mafisadi wote watakaobainika kuwa wamevunja sheria kwa kuwa mafisadi, wajitayarishe kusimama mbele ya sheria za jamhuri, kwamba hatamtetea yoyote yule hata awe nani?

Na muungwana amekubali kama mwenyekiti, mafisadi wote kuchukuliwa hatua za kichama kama ilivyotakiwa na wabunge, lakini amehimiza wajumbe kusubiri matokeo ya kamati ya Waziri Mkuu, ile ya miezi mitatu na kwamba watakaohukumiwa na CCM, lazima wapatikane na makosa kweli.

Ahsante Wakuu, Baaadaye itakapowezekana tena, na samahani kwamba hatuwezi kutoa zote unajua ni mpaka tuzithibitishe kwanza kwa wajumbe zaidi ya wanne ndio tuzibandike ili kuheshimu ukweli wake, kama hatuamini kuwa zina ukweli basi ni kuzitupa tu kwenye garbage cane, na pia samahani sana kwa kuchukua muda mrefu kama nilivyosema jana tuko safarini!

Kila siku anatudanganya kuwa atawakamata na huku akijua either wanauana ama wanafichana!
Kikwete ni FISADI ndugu zangu hilo muweke kichwani!
Halafu hapo kwenye nyekundu ndiyo pabaya zaidi kwasababu anasema eti wakipatikana na makosa!
Makosa mara ngapi?
Hizo pesa wanazozirudisha zilizochotwa EPA si ndio ushahidi tosha?
Ernest & Young report ilitosha kuwakamata na kuwafungulia mashtaka!
Wapi kamati ya kina Zitto ya madini ambayo nayo imeundiwa kamati nyingine ya kiaina kuijadili kabla ya Muungwana kujijadilia yenye mwenyewe na kuikalia kwa muda na baadaye kumpigia simu SNCLAIR kabla hajatuambia sisi wadau wa nchi ili asimuudhi?
Na sisi tukalie kwenye uchawi wakati yeye anajaua kila kitu na ameshiriki kuiuza nchi?
 
Unajua mkuu naona unataka kuwa kama huyo jamaa aliyetuvamia hii forum hivi karibuni, nilipokusikia kwenye Radio ulionekana kuwa na akili sana, lakini ukija kwenye kuandika inakuwaje mkuu?

Aliyoyafanya Rais kwenye mkutano wa chama chake yaani CCM, ameyafanya na aliyosema amesema, sasa tukizipata ni lazima zisemwe wazi kama zilivyopatikana, and then yanakuja maoni yetu wananchi hapa, hapo sasa ndipo wewe au mtu yoyote hapa anaweza kumshambulia mwingine kutokana na mchango alioutoa katika kujadili kilicholetwa hapa, kutoka kwenye mkutano,

Mbona unakuwa kama mtoto wa shule ya vidudu bro, wakati ulipoongea kwenye Radio ulionekana kama mtu mzima? Toka awe rais muuungwana kuna mazuri na mabaya aliyoyafanya, sasa kama unataka kuwa fair naye ni lazima basi ukuseme na mazuri aliyoyafanya, ingawa siko hapa kumtetea!

Usitafute umaarufu kwa nguvu kwa vile tulikupa angalua sifa kidogo kuwa ulikuwa na hoja nyingi muhimu kwa taifa kwenye ishu ya kifo cha Balali, lakini hapa uko off kabisa ya topic, kwa sababu kama yote unayorusha ni kweli then ilikuwaje Lowassa akatolewa u-PM? Halafu ilikuwaje Mama Meghji ambaye ni hawara wa Rostam, akatolewa uwaziri? Mramba mbona yuko nje?

Mkuu jaribu kufikiri kidogo nje ya box lako, kwa sababu ukifanya hivyo then utaweka taifa mbele na kusahau maneno ya vyama, na ndipo utagundua kuwa toka Mheshimiwa Zitto, aanzishe moto wakati wa ile ishu ya Mkataba wa Buzwagi, mpaka leo mafisadi hawajawa na raha kama waliyokuwa nayo kabla, na since then moto haujazimika bado unaendelea kuwaka, ukisoma vitu vipya jaribu kutafakari kwanza mkuu kabla ya kukurupuka, kuna mabao tunajua kuwa yanayofanyika sasa sio speed ambayo tungependa yafanyike, lakini sio madogo pia, bongo sio ulaya mkuu jaribu kutenganisha hilo,

Tunapohangaika kutafuta dataz tunajaribu kuangalia what is there kwenye huo mkutano kwa ajili ya taifa letu, na sio maneno ya vyama kila wakati kwenye ishus zilizotokea kwenye mkutano huu maneno ya uchama yanaisha, period kama una akili timamu, na naomba nikueleze kuwa sisi tunaripoti exactly kilichotokea bila kujali nani atafurahi au nani atachukia, ila wewe kama unataka kunishambulia mimi basi nishambulie kwa maoni yangu binafsi on the ishu, lakini sio kwa ripoti niliyoileta hapa kama ilivyo toka kwenye mkutano,

Jaribu kuwa mtu mzima kidogo mkuu, kabla hujarisha tu maneno na ijaribu kufikiri kwanza!

Ahsante Bro!

Huna haja ya kunipa sifa na wala sizihitaji!
Hata MKJJ mwenyewe hakuposti majadilano hayo licha ya kwamba aliyatangaza kwa karibia mwezi mzima!
Aliamua kuyaposti ya wale wabunge peke yake!
Lakini sina haja ya kumuuliza kwasababu sina haja ya umaarufu!
Ila Habari zenu za uchawi huko CCM na umafioso unawasidia nini wananchi?
Hapa JF kuna member wengi sana wapya!
Watajua pande zote very soon!
 
Unajua mkuu naona unataka kuwa kama huyo jamaa aliyetuvamia hii forum hivi karibuni, nilipokusikia kwenye Radio ulionekana kuwa na akili sana, lakini ukija kwenye kuandika inakuwaje mkuu?

Aliyoyafanya Rais kwenye mkutano wa chama chake yaani CCM, ameyafanya na aliyosema amesema, sasa tukizipata ni lazima zisemwe wazi kama zilivyopatikana, and then yanakuja maoni yetu wananchi hapa, hapo sasa ndipo wewe au mtu yoyote hapa anaweza kumshambulia mwingine kutokana na mchango alioutoa katika kujadili kilicholetwa hapa, kutoka kwenye mkutano,

Mbona unakuwa kama mtoto wa shule ya vidudu bro, wakati ulipoongea kwenye Radio ulionekana kama mtu mzima? Toka awe rais muuungwana kuna mazuri na mabaya aliyoyafanya, sasa kama unataka kuwa fair naye ni lazima basi ukuseme na mazuri aliyoyafanya, ingawa siko hapa kumtetea!

Usitafute umaarufu kwa nguvu kwa vile tulikupa angalua sifa kidogo kuwa ulikuwa na hoja nyingi muhimu kwa taifa kwenye ishu ya kifo cha Balali, lakini hapa uko off kabisa ya topic, kwa sababu kama yote unayorusha ni kweli then ilikuwaje Lowassa akatolewa u-PM? Halafu ilikuwaje Mama Meghji ambaye ni hawara wa Rostam, akatolewa uwaziri? Mramba mbona yuko nje?

Mkuu jaribu kufikiri kidogo nje ya box lako, kwa sababu ukifanya hivyo then utaweka taifa mbele na kusahau maneno ya vyama, na ndipo utagundua kuwa toka Mheshimiwa Zitto, aanzishe moto wakati wa ile ishu ya Mkataba wa Buzwagi, mpaka leo mafisadi hawajawa na raha kama waliyokuwa nayo kabla, na since then moto haujazimika bado unaendelea kuwaka, ukisoma vitu vipya jaribu kutafakari kwanza mkuu kabla ya kukurupuka, kuna mabao tunajua kuwa yanayofanyika sasa sio speed ambayo tungependa yafanyike, lakini sio madogo pia, bongo sio ulaya mkuu jaribu kutenganisha hilo,

Tunapohangaika kutafuta dataz tunajaribu kuangalia what is there kwenye huo mkutano kwa ajili ya taifa letu, na sio maneno ya vyama kila wakati kwenye ishus zilizotokea kwenye mkutano huu maneno ya uchama yanaisha, period kama una akili timamu, na naomba nikueleze kuwa sisi tunaripoti exactly kilichotokea bila kujali nani atafurahi au nani atachukia, ila wewe kama unataka kunishambulia mimi basi nishambulie kwa maoni yangu binafsi on the ishu, lakini sio kwa ripoti niliyoileta hapa kama ilivyo toka kwenye mkutano,

Jaribu kuwa mtu mzima kidogo mkuu, kabla hujarisha tu maneno na ijaribu kufikiri kwanza!

Ahsante Bro!

Nakupata..Lakini this is just another roller coaster ride...
Huko kwenye huo mkutano kwa ajili ya Taifa letu kumeshaonyesha wasiwasi mkubwa sana tu!
Mnataka hizi issue za Taifa ziamuliwe uko kwenye vikao vya CCM?
Nyie ndio mna mpango wa kuirudishia CCM umaarufu?
Nasema hivi Mkuu....I will never back off the core of all these issues....KIKWETE NI FISADI!
Na kwahiyo wewe kussugest kuwa atajikamata yeye mwenyewe ama atakiangusha chama chake kilichoiba hizo pesa za EPA na kuzitumia kwenye ushindi wake wa TSUNAMI...Then una lako jambo na i swear to GOD ALUTA CONTINUA!
 
Mkuu huu ujumbe wako hapa unaelekea kumpa favor Muungwana wakti sisi tushamuweka kwenye kundi la MFISADI!

Mkuu Mushi umejifunza siasa lini? Unaposema "sisi" ni wewe na nani hasa? I mean kama wewe na wenzako mlishamuweka kwenye kundi la mfisadi mbona hamkututangazia hapa rasmi kuwa haitakiwi tena kumjadili kwa mazuri, ni lazima kumjadili kwa ubaya tu?

Mbona unakuwa na akili za box, yaani yale yale wewe unafikiria kwenye box lako na kuamua kuwa ni lazima dunia nzima inafikiria kama wewe! Mkuu naomba nikuambie kuwa kuna wananchi kama mimi ambao hatujakata tamaa, kwa sababu tumetoka mbali sana na serikali yetu na tunajua kuwa pamoja na michezo mingi ya kisiasa inayochezwa sasa, kuna tunaoamini kuwa mchezo unakaribia mwisho, the time is up lakini bina-adam sikuz ote ni mgumu kukubali mabadiliko, siku zote hupenda mabadiliko ya nguvu kuliko ya hiari,

Binafsi I am siya-overestimate haya maneno ya rais, lakini at the same token siya-underestimate pia, kwa sababu mimi niijuavyo siasa kama za kwetu, kinachotakiwa ni msimamo wa rais ili ku-badili anything, sasa kutokana na dataz za kutoka huko ndani ya mkutano, inaonekana kuwa rais alibanwa sana tena kwa mara ya kwanza, sidhani kama alishawahi kubanwa namna hii, na wabunge wamekuwa very serious wakaweka uozo wote mezani, alipozidiwa nguvu akanawa mikono, sasa hiyo ni one step tu lakini mambo yote ninaamini kuwa bado yanakuja, lakini pole pole,

Kwangu mimi ni kwamba sasa tunaanza kushika kidole, kesho tutashika miguu, na hata siku moja mimi siwezi kusema anything hapa cha kuwakatisha tamaa au nguvu kina Mwakyembe, Ole Sendeka, Anna Komu, Zitto, Mama Kilango, Ndesamburo, Seleli na wengineo, mimi sijali wametoka vyama gani lakini ninaaamini kuwa wabunge wako kwenye the right track, na I am proud of them kujua kwamba finally bungeni kuna wabunge wanaoweza kufikiri kama mimi, hilo halikuwepo huko nyuma Mushi!

Wakati unarusha haya maneno yasiyokuwa na anything ndani yake katika kujenga au kupongeza, ninaomba usome haya maneno hapa chini kwa makini:-

Baaada ya ripoti ya Mwakyembe, kuisha na kina spika kupewa nakala, Mwakyembe na wabunge wenziwe wachache walificha zingine na kubaki na copy zao, kule kwa Spika, zilichukuliwa kwa siri na mafisadi, wakatengeneza ripoti mpya tofauti na ile ya original ya kutoka kwa Mwakyembe, na kuisambaza kwa wabunge wakidhani kuwa wamefanikiwa, lakini wakahisi kuwa Mwakyembe lazima atakuwa na angalau original copy, kwa hiyo wakwa wanamuwinda kwa siri, mkuu wangu ilibidi mkuu atembee nayo mwilini na kulala nayo kitandani, na asitoke ndani ya nyumba yake mpaka kukiwa kumekucha na kwenda moja kwa moja bungeni bila kupitia mahali poipote ndipo alipoweza kuisoma ile iliyomtoa Lowassa kazi, ndio maana kama umeona video utaona lowassa na wenziwe wote wanaonekana wamechoka sana na wenye mshangao mkubwa Mwakyembe anaposoma ile ripoti, kwa sababu walifikiri hatakuwa nayo ile original,

Mushi kuna viongozi walioamua kupindisha sheria kwa makusudi na huku rais akijua, ili kuwaondoa Lowassa, Msabaha, na Karamagi na bado wako kazini mkuu, ile ripoti kisheria ninaambiwa haikutakiwa kusomwa pale yote kama ilivyo, lakini haya yote yalipindishwa kwa makusudi, sasa huwezi kuzi-underestimate hizi juhudi zote za baadhi ya viongozi wetu ambao huwezi sema wanafanya haya yote kwa sababu ya matumbo yao!

Kama wewe umeamua kuwa siasa kwako imeisha kwa sababu ulizozisema huko nyuma, sasa sielewi then unakuja hapa kufanya nini mkuu? Kwa hiyo kwa sababu wewe na wenzako mmeamua kuwa siasa zimeisha basi mmetuamulia wote sisi wananchi? Mkuu jaribu kuanza kufikiri nje ya hilo box lako!

Ahsante Mkuu!
 
Mkuu Mushi umejifunza siasa lini? Unaposema "sisi" ni wewe na nani hasa? I mean kama wewe na wenzako mlishamuweka kwenye kundi la mfisadi mbona hamkututangazia hapa rasmi kuwa haitakiwi tena kumjadili kwa mazuri, ni lazima kumjadili kwa ubaya tu?

Mbona unakuwa na akili za box, yaani yale yale wewe unafikiria kwenye box lako na kuamua kuwa ni lazima dunia nzima inafikiria kama wewe! Mkuu naomba nikuambie kuwa kuna wananchi kama mimi ambao hatujakata tamaa, kwa sababu tumetoka mbali sana na serikali yetu na tunajua kuwa pamoja na michezo mingi ya kisiasa inayochezwa sasa, kuna tunaoamini kuwa mchezo unakaribia mwisho, the time is up lakini bina-adam sikuz ote ni mgumu kukubali mabadiliko, siku zote hupenda mabadiliko ya nguvu kuliko ya hiari,

Binafsi I am siya-overestimate haya maneno ya rais, lakini at the same token siya-underestimate pia, kwa sababu mimi niijuavyo siasa kama za kwetu, kinachotakiwa ni msimamo wa rais ili ku-badili anything, sasa kutokana na dataz za kutoka huko ndani ya mkutano, inaonekana kuwa rais alibanwa sana tena kwa mara ya kwanza, sidhani kama alishawahi kubanwa namna hii, na wabunge wamekuwa very serious wakaweka uozo wote mezani, alipozidiwa nguvu akanawa mikono, sasa hiyo ni one step tu lakini mambo yote ninaamini kuwa bado yanakuja, lakini pole pole,

Kwangu mimi ni kwamba sasa tunaanza kushika kidole, kesho tutashika miguu, na hata siku moja mimi siwezi kusema anything hapa cha kuwakatisha tamaa au nguvu kina Mwakyembe, Ole Sendeka, Anna Komu, Zitto, Mama Kilango, Ndesamburo, Seleli na wengineo, mimi sijali wametoka vyama gani lakini ninaaamini kuwa wabunge wako kwenye the right track, na I am proud of them kujua kwamba finally bungeni kuna wabunge wanaoweza kufikiri kama mimi, hilo halikuwepo huko nyuma Mushi!

Wakati unarusha haya maneno yasiyokuwa na anything ndani yake katika kujenga au kupongeza, ninaomba usome haya maneno hapa chini kwa makini:-

Baaada ya ripoti ya Mwakyembe, kuisha na kina spika kupewa nakala, Mwakyembe na wabunge wenziwe wachache walificha zingine na kubaki na copy zao, kule kwa Spika, zilichukuliwa kwa siri na mafisadi, wakatengeneza ripoti mpya tofauti na ile ya original ya kutoka kwa Mwakyembe, na kuisambaza kwa wabunge wakidhani kuwa wamefanikiwa, lakini wakahisi kuwa Mwakyembe lazima atakuwa na angalau original copy, kwa hiyo wakwa wanamuwinda kwa siri, mkuu wangu ilibidi mkuu atembee nayo mwilini na kulala nayo kitandani, na asitoke ndani ya nyumba yake mpaka kukiwa kumekucha na kwenda moja kwa moja bungeni bila kupitia mahali poipote ndipo alipoweza kuisoma ile iliyomtoa Lowassa kazi, ndio maana kama umeona video utaona lowassa na wenziwe wote wanaonekana wamechoka sana na wenye mshangao mkubwa Mwakyembe anaposoma ile ripoti, kwa sababu walifikiri hatakuwa nayo ile original,

Mushi kuna viongozi walioamua kupindisha sheria kwa makusudi na huku rais akijua, ili kuwaondoa Lowassa, Msabaha, na Karamagi na bado wako kazini mkuu, ile ripoti kisheria ninaambiwa haikutakiwa kusomwa pale yote kama ilivyo, lakini haya yote yalipindishwa kwa makusudi, sasa huwezi kuzi-underestimate hizi juhudi zote za baadhi ya viongozi wetu ambao huwezi sema wanafanya haya yote kwa sababu ya matumbo yao!

Kama wewe umeamua kuwa siasa kwako imeisha kwa sababu ulizozisema huko nyuma, sasa sielewi then unakuja hapa kufanya nini mkuu? Kwa hiyo kwa sababu wewe na wenzako mmeamua kuwa siasa zimeisha basi mmetuamulia wote sisi wananchi? Mkuu jaribu kuanza kufikiri nje ya hilo box lako!

Ahsante Mkuu!

Kikwete ni FISADI!
Na anafurahishwa na kazi yako hapa!
Hata hivyo tell him kuna huyo Jmushi...
Hata kama ni watu wawili hapa JF wenye kuamini JK ni fisadi wana data za madai yao! Halafu wewe unataka kumsafisha kama ilivyokuwa huko nyuma kwa baadhi yetu hapa JF!
Nimeanzisha thread ya KIKWETE NI FISADI!
 
Wale wote wanaobisha Kikwete si FISADI kabla hata hajaonyesha mwelekeo wa kuwakamata MAFISADI HAO licha ya kwamba ushahidi uko wazi na wao ni MAFISADI TUU!
 
Linki hii hapa...https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=14441

Njoo umtetee maana Muungwana ana nguvu sana hapa JF kiasi cha kwamba thread zangu zote zenye kumbana zilihamishiwa kwenye udaku!

Lakini licha ya ukweli kuwekwa wazi watu bado wanasua sua na kuanza eti kusikiliza ni kivipi CCM itawakamata MAFISADI! na eti mara baada ya CHENGE KUFA NA KURUDI KUTOKA AHERA...Alirudi na uchawi na sasa wabunge hawataki hata kumuona let alone kuingia bungeni huku story zikiwa eti CCM inajizatiti kwa sababu uchaguzi mkuu hivyo tunaletewa habari kuwa sasa watawakamata mafisadi.... Wao kama CCM!

MAFIOSO HAO WA CCM walikwiba pesa hizo za wananchi chini ya wenyeviti Mkapa na Kikwete huku wakisaidiwa na kina Makamba na Rostam Azizi kwenye muendelezo wa awamu mpya ya umafioso huo wa KI CCM CCM! Huku Chenge na Lowassa wakiplay part zao na usawazishaji kumaliziwa na current biggest fisadi..... KIKWETE!
NA MKAPA SI ULISEMA ALIKUWEPO?Wameshapatana?Wameshakaa na kugundua kuwa Umafia umeshatimia?

Usanii mwingine bana...Halafu jamaa akapata hata nafasi ya kwenda kuangalia kabumbu huku nchi ikiongozwa KIMAFIOSO!
 
Nakupata..Lakini this is just another roller coaster ride...
Huko kwenye huo mkutano kwa ajili ya Taifa letu kumeshaonyesha wasiwasi mkubwa sana tu! Mnataka hizi issue za Taifa ziamuliwe uko kwenye vikao vya CCM? Nyie ndio mna mpango wa kuirudishia CCM umaarufu?

Sasa wasi wasi wa huko kwenye mkutano mimi unanihusu nini? Ishu za CCM ulitaka ziamuliwe wapi? Nyie kwa vipi mimi ninahusika vipi na hiyo mipango na wewe kwani unahusika vipi na chama chochote cha upinzani? Sasa kama huelewi kuwa mafisadi ni wanachama wa CCM tehna basi hapa tunapoteza muda hata kujadili na wew. Yaaani kweli hujui kuwa hawa viongozi mafisadi ni wanachama wa CCM, na kwamba CCM kama chama kina hali ya kuwajadili na kuwapa adahabu kama chama chao, yaani hii simple politics nayo inakupa shida kuielewa? Halafu bila hata ya aibu unakuja kutema sumu zako hapa as if una hoja nzito?

Nasema hivi Mkuu....I will never back off the core of all these issues....KIKWETE NI FISADI!

Sasa naomba unisaidie kuelewa mkuu, kuto-kuback off kwako naufisadi wa Kikwete, mimi kunanihusu nini? What do I have to with it? Angekuwa baba yangu ningekuelewa sasa mimi huu msimamo wako unanihusu nini?

Na kwahiyo wewe kussugest kuwa atajikamata yeye mwenyewe ama atakiangusha chama chake kilichoiba hizo pesa za EPA na kuzitumia kwenye ushindi wake wa TSUNAMI...Then una lako jambo na i swear to GOD ALUTA CONTINUA!

Hapa ndio unaonyesha uwezo wako mdogo wa kufikiri au kuelewa siasa na information, kwa hiyo ulitaka nisema kuwa the dataz ni kwamba rais ameamua kuwarudihsa kazini kina Lowaasa na wengine wote waliojiuzulu hivi karibuni?

Mkuu wacha huu umaaarufu wa cheap, tafuta hoja nzito, kama maneno yako haya ni kweli basi Rostam asingetoka kwenye uweka hazina wa CCM, Mama meghji asingetoka uwaziri wa pesa, Lowassa angekuwa bado PM, Msabaha bado angekuwa waziri, karamagi abdo angekuwa waziri, in the future jaribu kuwa na balance na unachokataa na kukubali, halafu sema ukweli wa pande zote mbili, so far inaoenkana hata huelewi kinachoendelea kabisaa mkuu!
 
Back
Top Bottom