Hii topic ya nini hapa ktk tarehe hizi au ni kwa vile kilango amelazwa hospital wakuu?
Kweli tumetoka mbali sana
Hakuna aliyevuliwa uanachama. CCM ni ileile, tutarajie makubwa zaidi ya hayo ya kina chenge mwska huu na mwakani.Mzee mwenzangu.. siyo usangoma....na kilichohusishwa siyo ulozi wa kiafrika mzee.. hakuna uchawi wa kiafrika hapo isipokuwa wa kizungu. Tangu nimeandika na kusema futeni ushirikina... na jaribu kuweka ushirikina wa kisayansi.... mtaelewa jambo hili na uzito wake. Kuna mtu atavuliwa uanachama muda si mrefu.....!
AaahaaaHakuna aliyevuliwa uanachama. CCM ni ileile, tutarajie makubwa zaidi ya hayo ya kina chenge mwska huu na mwakani.