Sijawahi hata siku moja kutamka popote au kuandika hata humu kama Babu Seya kaonewa.
Kawaida yenu BAK kila siku unakana misimamo ya chama kwa kujisafisha sijawahi fanya hiki sijawahi fanya kile
Mwalimu Nyerere;"Mtu akishafirisika kifikra kichwani huanza kujihalalisha kwa UDINI"Chadema sasa mnajiegemeza kwa viongozi wa Bakwata!
Zile pesa walishafanyia kampeni. Madini yalikuwa ya ccm yale.Hapa CCM wakitaka kushinda kwa hila! watoe hongo ya yale madini ya Mmasai Laizer kwa mabeberu tu hakuna namna.
Mtakoma mwaka huuMwalimu Nyerere;"Mtu akishafirisika kifikra kichwani huanza kujihalalisha kwa UDINI"
Wewe ni chadema?? Toka lini??Huyu ndio amekuja kuharibu kabisa, maana huwa ana itikadi za kutokupenda amani ya nchi yetu, kwa ujumla Chadema tumebugi sana.
Mtakoma mwaka huu. Huyu ni Lissu anavuta hisia za kila mtanzaniaYamkini mtakusanya kila garasa, kuanguka Oct 28 kupo pale pale. JPM tano tena.
Huyo ni mamluki kishashtukiwa na kila mtuWewe ni chadema?? Toka lini??
Mtakoma mwaka huu.
Ilishafeli hiyoUgaidi
Lissu anapendwa jamani acheni nyie.Kwa hali ilivyo kadri siku zinavyosogea kila upande unajaribu kutumia mbinu ya kubadilisha upepo wa Uchaguzi ili kujihakikishia ushindi kwa kura nyingi
Baada ya kuonekana kama kuna mbinu ya kuegemea taasisi za dini inatumika katika kubadilisha hali ya mambo kama tulivyo sikia matamko kutoka Mtwara kupitia BAKWATA kwamba watamuunga mkono yule
Mara tukaona na mapicha akiwa msikitini huku ikiombewa dua kana kwamba tulikua tunapewa ujumbe kuwa huyu ni wa BAKWATA apewe kura na waislam
Kwa bahati mbaya walisahau kuwa BAKWATA ina upinzani mkubwa sana katika jumuiya ya kiislam
Kwa mbinu hii CDM ni kama tayari mmebadilisha upepo wa uchaguzi na kujihakikishia ushindi mkubwa utakao washing azam watu.View attachment 1603506
Noma sana🤣🤣Mwili umenisisimka kwa furaha kubwa na isiyoweza kuelezeka,ccm wameshindwa kumnunua Shekh Ponda. Hakika huyu ni Shekh anayesimamia miiko na maadili ya Uislam na kuyaishi!
Kura zote kwa Lissu!
Who are you by the way ?Rukeni Sarakasi za kila aina, pigeni kelele za kila aina, lakini October 28 kipigo cha mbwa koko kipo pale pale.
JPM ushindi 95%.
ahahaaaa mlifikiri mtaachwa hivi hivi kama mlivyozoeaeeee? Siyo safari hii mazee, safari hii ni jino kwa jino hakuna kupeana tena shavu la kulia baada ya kututandika la kushoto, mapema sana mlitahadharishwa kabisa kuwa safari hii mnyama atachinjwa kutokana na uelekeo aliojielekeza hata kama uelekeo siyo kiblah atachinjwa tu hivo hivo.UDINI ni dalili ya mtu anayekaribia kufa kisiasa.
WATANZANIA wenzangu, huyu Mgombea hatufai hata kidogo. Ukishaona Mgombea tena wa Urais wa Jamhuri anaanza kujinasibu kwa UDINI, huyo ni wa kumwogopa kama UKOMA. Madhara ya UDINI ni makubwa mno mno mno.
Mwalimu Nyerere alishasema, mtu akishafirisika kabisa kabisa kifikra huanza kujihalalisha kwa UDINI. Hii haikubaliki hata kidogo.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Serikali,Asasi, Makundi mbalimbali pamoja na Watanzania wote tunatakiwa kupaza sauti kukemea jambo hili.
Lakini, naomba hii iwe ndo tiketi pekee ya kuwanyima kura ifikapo October 28.
Tukiwapa Nchi hawa watatugawa vipande vipande kwa DINI zetu, kwa MAKABILA yetu na kwa KANDA zetu.
NB.Mtu anaye entertain UDINI si wa kumwonea haya hata kidogo.
Vyombo vinavyohusika vichukue hatua za haraka dhidi ya watu hawa.
Wishful thinkingRukeni Sarakasi za kila aina, pigeni kelele za kila aina, lakini October 28 kipigo cha mbwa koko kipo pale pale.
JPM ushindi 95%.
Kura huwa zinaibwaje??????Na safari hii wakijaribu kuiba kura watakoma, Lissu hataki ujinga, wafadhili/mabeberu nao hawataki ujinga, na wanaomuunga mkono Lissu wote nao hawataki ujinga, CCM itabidi wajue wataibaje hizo kura kwa akili vinginevyo kazi wanayo.
Jamaa anaweza kujenga hoja zenye ushawishi. Sio wa kumuachia kundi la watu wamsikilize hata dk1.Tanzania mpya hoyee
Tundu Lissu : Ama zake ama Zangu, Jiwe Amechoka Amekwisha