Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Wakuu,
Baada ya habari mbaya za Mchungaji mmoja kusababisha vifo vya zaidi ya watu 40, Nchi ya Kenya imekumbwa na tukio lingine baya linalosikitisha sana.
Kutokana na jinsi video hiyo ilivyo sensitive sitaweza kuiweka hapa. Lakini inamuonesha mama akimchoma visu zaidi ya 100 mwanaye mwenye umri wa miaka 2.
Tukio hilo linaonekana kufanyika sebuleni, huku mama huyo akiwa uchi na kamkandamiza mtoto sakafuni. Wakati huo milango imefungwa na kuna wanaume wanaonekana nje wakijaribu kuvunja mlango waingie kuokoa, na mmoja akipiga kelele kumsihi mwanamke huyo asifanye unyama huo.
Sijajua kama yule ndiye baba wa mtoto au ni jirani, lakini taarifa zaidi zinasema mama huyo baada ya kutekeleza tukio hilo, alikula utumbo na figo za mtoto.
Chanzo kinadaiwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi kati ya mama na baba mtoto ambao umewafanya watengane.
Moyo wangu umevuja damu.
====
Olivia Naseren (27) mkazi wa Kitengela, Kaunti ya Kajiado, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua kwa kumchoa visu binti yake Glory Njeri (2) kisha kula sehemu ya viungo vya mwili wake kufuatia mgogoro wa kimapenzi uliosababisha kuvunjika kwa uhusiano kati yake na baba wa Mtoto.
Kwa mujibu wa ripoti ya Polisi, Mwanamke huyo alikuwa amejifungia ndani akicheza na mwanaye kabla majirani hawajasikia sauti tata zilizoashiria mambo kutokuwa sawa ndani ya nyumba hiyo.
Sehemu nyingine ya ripoti ya polisi inadai mwanamke huyo alianza kuvunja kwanza TV, kisha kumchoma visu mwanaye ambaye baada ya kufariki alikula pia sehemu ya utumbo na figo zake.
Hadi majirani wanafanikiwa kuvunja nyumba na kuingia ndani, tayari mtoto huyo alikuwa kachomwa zaidi ya visu 100, mwili wake unahifadhiwa kwenye Mochwari za moja ya hospitali iliyopo Kaunti ya Kitengela kwa uchunguzi wa kitabibu.
Chanzo: TV47
Baada ya habari mbaya za Mchungaji mmoja kusababisha vifo vya zaidi ya watu 40, Nchi ya Kenya imekumbwa na tukio lingine baya linalosikitisha sana.
Kutokana na jinsi video hiyo ilivyo sensitive sitaweza kuiweka hapa. Lakini inamuonesha mama akimchoma visu zaidi ya 100 mwanaye mwenye umri wa miaka 2.
Tukio hilo linaonekana kufanyika sebuleni, huku mama huyo akiwa uchi na kamkandamiza mtoto sakafuni. Wakati huo milango imefungwa na kuna wanaume wanaonekana nje wakijaribu kuvunja mlango waingie kuokoa, na mmoja akipiga kelele kumsihi mwanamke huyo asifanye unyama huo.
Sijajua kama yule ndiye baba wa mtoto au ni jirani, lakini taarifa zaidi zinasema mama huyo baada ya kutekeleza tukio hilo, alikula utumbo na figo za mtoto.
Chanzo kinadaiwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi kati ya mama na baba mtoto ambao umewafanya watengane.
Moyo wangu umevuja damu.
====
Olivia Naseren (27) mkazi wa Kitengela, Kaunti ya Kajiado, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua kwa kumchoa visu binti yake Glory Njeri (2) kisha kula sehemu ya viungo vya mwili wake kufuatia mgogoro wa kimapenzi uliosababisha kuvunjika kwa uhusiano kati yake na baba wa Mtoto.
Kwa mujibu wa ripoti ya Polisi, Mwanamke huyo alikuwa amejifungia ndani akicheza na mwanaye kabla majirani hawajasikia sauti tata zilizoashiria mambo kutokuwa sawa ndani ya nyumba hiyo.
Sehemu nyingine ya ripoti ya polisi inadai mwanamke huyo alianza kuvunja kwanza TV, kisha kumchoma visu mwanaye ambaye baada ya kufariki alikula pia sehemu ya utumbo na figo zake.
Hadi majirani wanafanikiwa kuvunja nyumba na kuingia ndani, tayari mtoto huyo alikuwa kachomwa zaidi ya visu 100, mwili wake unahifadhiwa kwenye Mochwari za moja ya hospitali iliyopo Kaunti ya Kitengela kwa uchunguzi wa kitabibu.
Chanzo: TV47