Mtoto wa miaka mitatu awekwa unyumba na Baba yake mzazi

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,305
Kuna msemo unaosema ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni, tukio la Baba mzazi mkazi wa mtaa wa Mafisa, Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kudaiwa kumuweka unyumba mtoto wake wa kike wa miaka mitatu limewachukiza wengi huku baadhi ya wananchi wakiiomba serikali kuchukua hatua kali zaidi kwa mtuhumiwa huyo ili iwe fundisho kwa wengine

Mtoto huyo wa miaka mitatu ambaye jina lake limehifadhiwa, inaelezwa ameanza kupitia maswaibu angali bado akiwa kinda (mdogo sana) ambapo majirani wanasema taratibu walianza kumuona Baba wa mtoto huyo akioga na mwanaye mara kwa mara na hatimaye kuanza kumfanyia ukatili, huku wakisema licha ya Mama kupenyezewa taarifa hizo lakini hakujali.

Mwenyekiti wa mtaa wa Mafisa, Salum Hamadi amesema tayari wameshamfikisha Baba huyo mikononi mwa Jeshi la Polisi, ambapo Jeshi hilo mkoani Morogoro limekiri kumshikilia Baba wa mtoto huyo kwa uchunguzi zaidi.

Source - JamboTv
 
Ukiachana na laana, bado nawaza hivi hawa watu huwaga wanazo akili au na ushirikina sometimes 🤔🤔... Maana huku kwetu leo zinatembea za chinichini mwenyekiti wa jumuiya kambaka kichaa,, halafu ni mbaba mstaafu anaheshimika karibu na kila mtu na mke wake ni mrembo hatari
 
Ukiachana na laana, bado nawaza hivi hawa watu huwaga wanazo akili au na ushirikina sometimes 🤔🤔... Maana huku kwetu leo zinatembea za chinichini mwenyekiti wa jumuiya kambaka kichaa,, halafu ni mbaba mstaafu anaheshimika karibu na kila mtu na mke wake ni mrembo hatari
ushirikina(ndumba) offcoz,maanake haiingii akilini mtu timamu kufanya tendo la hivyo Kama hilo..
Ujinga wa kutafuta Mali kwa masharti ya mganga ndio huo,watanzania baadhi madish yameyumba,kupenda short cut tu !
 
ushirikina(ndumba) offcoz,maanake haiingii akilini mtu timamu kufanya tendo la hivyo Kama hilo..
Ujinga wa kutafuta Mali kwa masharti ya mganga ndio huo,watanzania baadhi madish yameyumba,kupenda short cut tu !
Inafikirisha sanaa na haileti majibu, em imagine mtoto kama huyo inapitaje 🤔
 
ushirikina(ndumba) offcoz,maanake haiingii akilini mtu timamu kufanya tendo la hivyo Kama hilo..
Ujinga wa kutafuta Mali kwa masharti ya mganga ndio huo,watanzania baadhi madish yameyumba,kupenda short cut tu !
Na kinachoshangaza saa ingine huyo aliyemshauri kwamba atapata hizo mali ni kapuku wa kutupwa.
 
Kuna msemo unaosema ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni, tukio la Baba mzazi mkazi wa mtaa wa Mafisa, Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kudaiwa kumuweka unyumba mtoto wake wa kike wa miaka mitatu limewachukiza wengi huku baadhi ya wananchi wakiiomba serikali kuchukua hatua kali zaidi kwa mtuhumiwa huyo ili iwe fundisho kwa wengine

Mtoto huyo wa miaka mitatu ambaye jina lake limehifadhiwa, inaelezwa ameanza kupitia maswaibu angali bado akiwa kinda (mdogo sana) ambapo majirani wanasema taratibu walianza kumuona Baba wa mtoto huyo akioga na mwanaye mara kwa mara na hatimaye kuanza kumfanyia ukatili, huku wakisema licha ya Mama kupenyezewa taarifa hizo lakini hakujali.

Mwenyekiti wa mtaa wa Mafisa, Salum Hamadi amesema tayari wameshamfikisha Baba huyo mikononi mwa Jeshi la Polisi, ambapo Jeshi hilo mkoani Morogoro limekiri kumshikilia Baba wa mtoto huyo kwa uchunguzi zaidi.

Source - JamboTv
Waganga wanatambuliwa na serikali. Waganga ndio wanaaoshauri watu kubaka ili kufanikiwa kibiashara. Waganga wanakingiwa kifua na wafanya biashara.
Angekuwa mchungaji ama shehe anaagiza mtu abake ingekuwa issue nyingine ila kwa mganga haguswi.
 
Ukiachana na laana, bado nawaza hivi hawa watu huwaga wanazo akili au na ushirikina sometimes ... Maana huku kwetu leo zinatembea za chinichini mwenyekiti wa jumuiya kambaka kichaa,, halafu ni mbaba mstaafu anaheshimika karibu na kila mtu na mke wake ni mrembo hatari
mambo ya kishirikina.
 
Ajabu sana
 

Attachments

  • 20240217_062116.jpg
    20240217_062116.jpg
    202 KB · Views: 2
Back
Top Bottom