Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,681
- 11,122
Unalimia wapi mkuu?Inategemea na mbegu uliyopanda, haliyahewa na huduma. Tembo natoa wastani 31.
Sent using Jamii Forums mobile app
God save us
Unalimia wapi mkuu?Inategemea na mbegu uliyopanda, haliyahewa na huduma. Tembo natoa wastani 31.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza amini hapa hakuna mbolea iliyotumika?View attachment 1401316View attachment 1401317
God save us
Unaweza amini hapa hakuna mbolea iliyotumika?View attachment 1401316View attachment 1401317
God save us
Hapo nimetudishia kupanda maana mvua ilikuwa imrsimama. Kwa ujumla hizo ni Heka 20 imebidi nipande alizeti ndani yake.Kilimo hiki utachelewa mkuu, mahindi yanahesabika hivo shambani na hayakui uniformly! Mahindi yanatakiwa yashone, lengo uvune kwawingi iwezekanavyo katika kila sqmt!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ulitumia kipimo gani mmea hadi mmea na mstari hadi mstari?
Hapo nimetudishia kupanda maana mvua ilikuwa imrsimama. Kwa ujumla hizo ni Heka 20 imebidi nipande alizeti ndani yake.
Hizo kwenye picha ni heka 35 zenyewe ziliota vizuri japo nimeamka kuweka alizeti pia. Kitu kilicho sababisha ni upandaji maana nilikuwa nimechelewa na nguvu kazi ikiwa shida hivyo nilitupia mbegu
God save us
Vipi ulitumia kipimo gani mmea hadi mmea na mstari hadi mstari?
Napenda nije niijatibu hiyo mbegu
God save us
ShukraniMmea hadi mmea futi moja, futi mbili mstari kwa mstari. Hiyo hapo juu ni Tembo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapataga plant population ya ngapi kwa eka, na je unatumiaga mifuko mingapi ya mbolea kupandia??Mmea hadi mmea futi moja, futi mbili mstari kwa mstari. Hiyo hapo juu ni Tembo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maharage na mahindi hayawezi kukomaa kwa mpigo hata siku moja.
Yani hii January mapema nimelima tena mahindi yako usawa wa ugoko lakini maharage hayafiki mwezi wa pili tarehe 10+ nimeshavuna.
.
Mahindi navuna kwa uchache huo kwa sababu kwanza tunakula sana yakiwa bado yako shambani pia tunakata na kuwauzia wale wanaochoma barabarani hili lakuniambia nisichanganye mazao lilisababisha nitake kumkata panga bwana shamba
Kwakweli nimeskia kuhusu Manyara tuYaani manyara ndio kupo vizuri kwa kilimo cha mahindi! Iringa je?
Asante kwa ushauriMahindi ni zao ambalo mikoa mingi sana hapa Tz unaeza kupata mazao mengi, Njombe,Songea na Mbeya ni baadhi tu ya sehemu kilomo cha mahindi kinalimwa kibiashara kwa kiasi kikubwa sana izo ekari 50 unazotaja Songea watu wanalima sana,
na soko wanategemea mikoa ya Lindi na Mtwara ndio wanunuzi wakubwa kwasababu wapo karibu na iyo mikoa wanalima kwa ajili ya chakula tu kwa hiyo wakiishiwa kimbilio Songea
Mahindi ni zao ambalo mikoa mingi sana hapa Tz unaeza kupata mazao mengi, Njombe,Songea na Mbeya ni baadhi tu ya sehemu kilomo cha mahindi kinalimwa kibiashara kwa kiasi kikubwa sana izo ekari 50 unazotaja Songea watu wanalima sana,
na soko wanategemea mikoa ya Lindi na Mtwara ndio wanunuzi wakubwa kwasababu wapo karibu na iyo mikoa wanalima kwa ajili ya chakula tu kwa hiyo wakiishiwa kimbilio Songea
nijuavyo mimi ni yalopukuchuliwaHivi jamani Bro naomba kuuliza jamani ..et wakisema kwa hekari gunia 30 hadi 40 ..wengne et gunia 10 hadi 15 ni wanamaanisha Yale Mahindi yaloPukuchuliwa tayari au ni mahindi na Magunzi yake yanapakiwa kwenye magunia hivhvo ....
Naomba unsaidie hapo plz