Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,334
Unapiga mazao yote mzeeJe mbolea hii ni kwa mahindi tu au hata mazao mengine ya jamii ya kunde kama vile dengu maharage nk?
Unapiga mazao yote mzeeJe mbolea hii ni kwa mahindi tu au hata mazao mengine ya jamii ya kunde kama vile dengu maharage nk?
Sasa kama huyu na fedha zake zooote anapiga kwa hekari 1 gunia 35-50Ni sisi tu tusio na mitaji tunahangaika, nimeuliza mtu anaefanya kazi pale na haya ndio majibu .. Tani 3.5 hadi 6 kwa heka..na kuna boss mpya (mzungu) anadai wanaweza sogea hadi 8View attachment 1326717
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin yuko JF??Kuna dogo analima hekari 400 Sumbawanga wala hakuomba ushauri JF. Jitafakari
Hivi we upo!? Nadhani utakuwa umekua kuaInjinia mwenye paso katika ubora wako
Kwahyo bagamoyo hawalimi zao jingine zaidi ya nanasi????
Hio DAB ina utofauti na DAP?Hahahaa sio kwa sana kamanda, DAB ni mbolea ya kupandia ina rangi nyeusi.
Nipo dogo,njoo nkukaze
Unapiga mazao yote mzee
Duh ww kiboko...mbegu madukan kilo moja 12000!inakuwia nn ugumu kununia mbegu mpya? Duh...kwel ww wa zaman sana!..ten ile sijui wanaita tumbili na meru513 mbegu nzuri sana 60days unakula mahindi...
Mane inawezekana akawa sahihi nimeona wengi wanafanya hii ya kuhifadhi Mbegu na wanapata mahindi mengi tu.
Okay,
Umeshakosea. Waliolima na kupanda toka mvua za mwanzoni za vuli yaani novemba wanavuna sasa au mwezi ujao. Gunia ya mahindi ya kilo 100 haipungui laki moja huko huko shamba. Unajua kilimo ni kamari? halafu ama jirani zako na wenyeji hawalimi watavuna kwako mfano wa nyani. N wanavizia na kuvuna yale makubwa hahaha. Hao hao unaowachukua kupalilia kupanda nkcwatavuna. NiaminiHahahah.mwaka huu nataka nione je yaliyomo yamo kwenye kilimo?maana maneno yamekua meng sana
Achaga kutoa siri za kambi mkuuKitu nimegundua,mahindi ya njano kwa kuchoma ni mazuri kwerikweri
Karibu...nitalima mwezi wa 5Unatarajia kuanza kilimo tena lini? nitakuja kukutembelea nipo lugoba hapa