Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

mkuu kumbuka tangu walipozuia mahnd kwenda nje soko lake limekua adimu sana, unless otherwise kama ulikua unalifaham hilo bas utakua umejipanga, mwisho huu uzi watauhamishia jukwaa la kilimo halaf watauunganisha,
 
Mahindi ???
Labda kwaajili ya soko la mahindi mabichi.


Ngoja waje watakupa mchanganuo.

Mbona uandishi wako kama vile.....
 
mkuu kumbuka tangu walipozuia mahnd kwenda nje soko lake limekua adimu sana, unless otherwise kama ulikua unalifaham hilo bas utakua umejipanga, mwisho huu uzi watauhamishia jukwaa la kilimo halaf watauunganisha,
Asnt
 
Wazo zuri ila fanya utafiti vizuri wa eneo, kuhusu masoko, namna ya kupanda, palizi na kuvuna subiri wakuu waje. Nipo kama wewe ila sijamaliza utafiti ili kujiridhisha kabisa
 
Kiukweli binafsi nimekata tamaa na kilimo cha mahindi,Nina gunia 400 cjui pakuuza maana kila siku bei zinazidi kuporomoka Leo mahind 1kg=180 Songea Mjini
 
Kiukweli binafsi nimekata tamaa na kilimo cha mahindi,Nina gunia 400 cjui pakuuza maana kila siku bei zinazidi kuporomoka Leo mahind 1kg=180 Songea Mjini
Tengeneza chakula cha mifugo! Na mwaka ujao mtanyooka na hivi mmemteka tajiri wenu, mtajuta kuzaliwa Tanzania! Waulize wakulima wa mbaazi, walitamani kuzigawa bure!
 
Wakuu nmesikia leo katik mjadal wa bunge kwamba mahindi yameruhusiwa kuuzwa nj ya nchii ,je wale ambao mpo mnauza mahindi yenu hali ikoje huko sokoni??
 
Cjui ni uoga au uzembe.... au nini cjui.......

Hivi kweli umekaa katika kazi miaka 10... ukaona msoto afu unataka ujikomboe kwa heka 3.

Inakuja akilini kweli....
Sio ndio unajiongezea matatizo......

Ukiamua kutupa jiwe... litupe mbaali hata likirudi chini lisikupige.... next time tupa karibu uone km halikugongi kichwani
Wewe unafanya nini cha msingi? Mtu akijaribu kujitoa kufight unamdhihaki...kuwa na akili, siyo kila mtu amepewa talanta kumi,mile kidogo alichonacho mwenzio amefanyia kazi...tutiane moyo mtu anapofanya hatua ya msingi mkuu.
 
Watu sana mahindi kibao yamedoda nchin nzima we unataka ukalime duh pole sana ,mkuu achana na mahindi Lima maharage
 
Wewe unafanya nini cha msingi? Mtu akijaribu kujitoa kufight unamdhihaki...kuwa na akili, siyo kila mtu amepewa talanta kumi,mile kidogo alichonacho mwenzio amefanyia kazi...tutiane moyo mtu anapofanya hatua ya msingi mkuu.
Mi ni mkulima.... Nimekulia katika ukulima... Hakuna anayemdhihaki.. Ni upeo wako tu wa kufikiri umewaza hvyo...

Huwez kuacha kazi kwa heka 3 .

Heka tatu gharama zake kuandaaa ni laki 7 hadi million inategemea na mkoa...

Na mapato yako huweza kuwa chini ya hapo au zaid kidogo ila kwa muda wa miezi nane mbele...

Unaacha vipi kazi sasa.

Alafu annajibiwa unasema namkebeh.... Basi aache akalime heka tatu atarudi teena kusimulia hapa.
 
Back
Top Bottom