MC44
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 2,170
- 3,270
Mara nyingi zinategemea ukandaHabari wana jamvi. nataka kujua mbegu bora kwa kilimo cha mahindi maana mbegu zingne naona maindi yana kuwa madogo madogo sana.
View attachment 1705841
Mara nyingi zinategemea ukandaHabari wana jamvi. nataka kujua mbegu bora kwa kilimo cha mahindi maana mbegu zingne naona maindi yana kuwa madogo madogo sana.
View attachment 1705841
ASANTE SANA MKUU NGOJA NIWAONE HAO BIBI/BWANA SHAMBA SI WANAPATIKANA KTK HALMASHAUIRIKuna seedco,Pannar n.k Cha msingi angalia hali ya hewa na udongo wa mkoa unaopanda mahindi. Ni vizuri zaidi ukamuona Bibi/bwana shamba wa eneo husika akupe ushauri mzuri.
Sasa ndo uandike kwa maherufi makubwa?HABAARI
WADAU WA KILIMO NATAKA KUFAHAMU JE NI MBEGU GANI BORA KWA MAHINDI YA KISASA WENGI WAMENISHAURI NIPANDE D1 JE INI BORA NISAIDIENI?
Hahahaaaaa nilijua utakuja mpk huku duuuu hapo niliweka msisitizoSasa ndo uandike kwa maherufi makubwa?
morogoro mkuu nasubiria mvua ianze ndo nianze kupanda ila bado sijapata mbegu ndo nataka mnifahamishe iliyo boraUpo mkoa gani Mkuu maana mbegu hutofautiana kutokana na hali ya hewa. Nitajie mkoa wako alafu nikushauri Mkuu
Tumia mbegu ya DKC 80-33 Mkuu inafanya vizuli kwenye ukanda wa joto pia inavumilia ukame, inakomaa badaa ya siku 100 endepo ikitunzwa vizurimorogoro mkuu nasubiria mvua ianze ndo nianze kupanda ila bado sijapata mbegu ndo nataka mnifahamishe iliyo bora
IringaWakuu kwema? Naomba msaada kwa wenye kufahamu kuhusu kilimo cha zao la mahindi ni mikoa gani ambayo mvua haisumbui sana na zao hili hustawi vizuri ???