Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,696
- 218,215
Shetani hajawahi kumshinda Mungu , nakuhakikishia kuna watu watakufa kabla kesi hii haijaisha .Leo shahidi wa sita naye kapita na mazaga zaga yake kama yale yale, ya wale wa awali.
Shahidi huyu anadai alipata barua ikimtaka kukagua silaha kama ilikuwa imesajiliwa nchini 25/11/2020. Akaijibu barua hiyo 15/3/2021, miezi 5 baadaye.