Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 41,019
- 70,802
Aminaa Ted Cruz hapa ndipo wanagongelea msumariKesi hiyo inaendelea kueleza:
“Kampuni ya Marekani, iliyojengwa katika misingi ya uhuru wa kujieleza unaolindwa na sheria za Marekani, ilichagua mapato yake nchini Tanzania badala ya haki za binadamu, uhuru na demokrasia.”
Aisee shule za kata zinazalisha vilaza kweli
Nilidhani una hoja ya kisheria yenye mashiko kumbe na wewe ni wale wale. Sidhani hata kama umekuwa na uwezo wa kusoma na kuelewa kesi inahusu nini.
Hizi shutuma Mange atazithibitisha vipi? Ngoja tuoneMawakili wa Kimambi wanadai Meta ilitoa kile ambacho Tanzania haikuweza kupata yenyewe — yaani kumyamazisha — kwa kufunga akaunti zake duniani kote, baada ya serikali kudaiwa kutishia kuzuia majukwaa ya kampuni hiyo nchini Tanzania.
Kahororo Secondary School na Dakawa High School sio shule za kata Dogo! Na utalijua vizuri hilo hukumu itakapotoka.Aisee shule za kata zinazalisha vilaza kweli
Ahahahahaha!!! Let's sit 'n watch!Nilidhani una hoja ya kisheria yenye mashiko kumbe na wewe ni wale wale. Sidhani hata kama umekuwa na uwezo wa kusoma na kuelewa kesi inahusu nini.
Wao wanafikiri Mange (mzamiajiwa Kibongo) USA ana akili na uelewa kuliko META iliyoanzishwa na kuendeshwa na Wamarekani wenyewe! Ahahahahaha!!!Nimewaza hivyo pia, META wanawezaje kukurupuka kufungia ACC yake kwa pressure ya serikali tena ya kiafrika, haiingii akilini.
Na unadhani mange mjinga kuifungulia kesi?Kwahiyo unafikiri hao META walikurupuka kufunga hizo accounts sio? Kwamba kampuni inaendeshwa na "chawa" sio?
Kwahiyo META kampuni ya Kimarekani ndio wajinga baada ya kufuata maelekezo sio? NIMEKUSOMA!👍👍👍👍Na unadhani mange mjinga kuifungulia kesi?
Kule hakuna maelekezo
Hapa issue ni sheriaKwahiyo META kampuni ya Kimarekani ndio wajinga baada ya kufuata maelekezo sio? NIMEKUSOMA!👍👍👍👍
HahahaChawa was,mboga mboga wanadhani kila nchi, inaendeshwa km wanavyofahamu wao.
Good! Let's wait 'n see!Hapa issue ni sheria
Muda utaongea uzuri kule sio bongo
Tuchekiane weekendDuh😁
Tusaidie tusio na hilo jicho la kuona basi
Sawa bossTuchekiane weekend
Boss ni Mungu peke yake 😃Sawa boss
Akilimaliza nje ya mahakama tumwiteje?Meta will chose to settle this out of court. In which case she is getting a good cut for loss and damages. And perhaps her socials reinstated. We are so back 🔥🔥
😂😂😂Yaani wewe kila mtu unagombana nae kama kichaa vile😂
Hizo ni shule za kata binti yanguKahororo Secondary School na Dakawa High School sio shule za kata Dogo! Na utalijua vizuri hilo hukumu itakapotoka.
Mpaka wajukuu wa wajukuu zako HAWAWEZI kukanyaga huko kwa maana vilaza hawasomi huko.Hizo ni shule za kata binti yangu