Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,446
- 977
Bora wafe kuliko tufanye uchaguzi wakuporwa kura na polisccm
Nyinyi mtafungwa bila kupelekwa court!!??Nimejificha huku pande za kapri point Rock city nataka "ni mtundu lissu"Mama SSH akikatiza tu.
Bahati Mbaya tu itokee hayaaaNimejificha huku pande za kapri point Rock city nataka "ni mtundu lissu"Mama SSH akikatiza tu.
No, ni Jaji MkuuAnafata waziri mkuu ...
😂😂😂😂AU LAMEK
Hivi ndiyo katiba inavyosema au ni mtazamo wako binafsi ?No, ni Jaji Mkuu
Kama naye atakufa siku moja na Rais na Deputy wake, anayefuata kikatiba ni Spika wa Binge anaweza kushika madaraka ya urais ktk kipindi cha mpito uchaguzi mwingine ukiandaliwa...
Ikitokea wote wanakufa siku moja; Rais, Makamu, Chief Justice na Spika wa Binge basi PM hapo anashika madaraka ya Urais...
Ikitokea wote hawa wote wanakufa siku moja i.e Rais, makamu, Chief Justice, Spika wa bunge na PM, hapo katiba imenyamaza kimya....
Nadhani haraka haraka Itaundwa serikali ya mpito chini ya Jeshi na kuandaa uchaguzi mwingine ili kupata uongozi wa kiraia...
Hata hivyo, ni rare sana tukio kama hili kutokea. Na sina hakika kama kuna nchi duniani imewahi kupatwa na kisanga cha namna hii...!!
Hii katiba ya Mwaka gani ?Somo la uraia siku hizi halifundishwi mashuleni??View attachment 1929139
Kwa uelewa wangu mdogo Nchi itakuwa chini ya waziri mkuuKwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Sidhani kama bongo huyo mtu yupo, sana sana nchi atapewa jaji mkuuKuna mtu anaitwa designated survivor, huyo ndiye anayechukua mikoba.
Unadhani kuna ninachojua ?Kifungu gani cha katiba kinasema hivi mkuu?
Tema chini! Sabufa itahama jengo!Kwa Mungu kila kitu kinawezekana acha kujifanya unajua kila kitu.
Hivi Katiba imetoa maelezo gani kama ikitokea Mungu ameamua kuwachukua Rais wa JMT na makamu wake wote kwa pamoja kwa siku moja?
Tukio kama hili likitokea kikatiba hali inakuaje ndani ya nchi yetu?
Kama inawezekana familia moja kufiwa na watu zaidi ya watatu kwa pamoja na kwa saa moja,au kampuni au taasisi kufiwa na wafanyakazi wake zaidi ya watano kwa pamoja kwa siku moja. Sasa itashindikanaje Rais wa nchi na makamu wake kufa siku moja? Kwani Mungu ndiye apangae.
Yapi maelekezo ya Katiba yetu ya 1977 kama endapo hili likitokea?
Au ndio tutajua siku hiyo hiyo likitokea
Hilo analijua tayari. Ameuliza ambalo hajui.Kwanini usitake kujua wewe ukifa mkeo na mtoto nani atawarithi?
🤣 🤣 🤣 🤣Hivi kwa nini watu wamempa jina hili?Tema chini! Sabufa itahama jengo!